Ulinzi uimarishwe kesi ya Zitto, CHADEMA leo
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam leo inatarajia kutoa uamuzi wa kesi iliyofunguliwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, dhidi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi13 Feb
Kesi ya Zitto dhidi ya Chadema kutajwa leo Mahakama Kuu Dar
11 years ago
Habarileo24 Jan
Chadema yaomba Mahakama kutupa kesi ya Zitto
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimeomba Mahakama kutupilia mbali kesi ya madai, iliyofunguliwa na aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa chama hicho, Zitto Kabwe dhidi yao kwa kuwa haina msingi kisheria. Walidai hayo katika pingamizi la awali, walilowasilisha juzi katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, kupitia kwa mawakili wao, Peter Kibatala na Tundu Lissu.
11 years ago
Habarileo13 Feb
Kesi ya Zitto kutajwa leo
KESI ya madai iliyofunguliwa na aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chadema, Zitto Kabwe dhidi ya chama hicho, itatajwa leo katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam.
11 years ago
Michuzi
Kesi ya Zitto Kabwe dhidi ya Baraza la Wadhamini la CHADEMA,Dkt. Slaa kusikilizwa Julai 31

MAHAKAMA Kuu Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, imepanga kusikiliza mapingamizi ya awali ya pande zote mbili katika kesi iliyofunguliwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe dhidi ya Baraza la Wadhamini la Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na Katibu Mkuu, Willbrod Slaa, Julai 31, mwaka huu.
Mheshimiwa, Jaji John Utamwa alisema kesi ilipangwa jana kwa ajili ya kutajwa na kwamba itasikilizwa mapongamizi ya awali ya pande zote mbili...
11 years ago
Tanzania Daima06 Jan
Mwisho wa Zitto CHADEMA leo?
HATIMA ya safari ya kisiasa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe huenda ikaanza kuonekana leo pale Mahakama Kuu itakapotoa uamuzi katika...
10 years ago
Michuzi
JUST IN: MAHAKAMA KUU imeifutilia mbali kesi ya Zitto Kabwe dhidi ya Kamati Kuu ya Chadema

Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imeifutilia mbali kesi iliyofunguliwa na Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe dhidi ya Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), baada ya kukubali mapingamizi yaliwasilishwa na chama hicho.
Uamuzi huo umetolewa na Jaji Richard Mziray baada ya kupitia hoja za pande zote mbili kuhusu mapingamizi ya Chadema.
Mapema Saa 3:20 asubuhi Jaji Mziray alisoma uamuzi huo mbele ya wanaodaiwa kuwa wanachama huku upande...
11 years ago
Michuzi24 Sep
KESI WAFUASI WA CHADEMA KUVAMIA POLISI YASOMWA LEO MAHAKAMANI
Kadhalika, washtakiwa hao Ngaiza Kamugisha (28) dereva, mkazi wa Vingunguti, Benito Mwapinga (30) Fundi nguo mkazi wa Mtoni kwa Azizi Ally na Eliasante Bugeji (51) Mhasibu wa CCBRT mkazi wa Komakoma Kinondoni, Dar es Salaam, wanadaiwa...
10 years ago
Mtanzania09 May
Ulinzi wazidi kuimarishwa kesi za ugaidi
NA ELIYA MBONEA, ARUSHA
JESHI la Magereza mkoani hapa limezidi kuimarisha ulinzi ndani na nje ya majengo ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, wakati wa kesi za watuhumiwa 60 wa matukio tofauti ya kigaidi.
Wakati ulinzi ukiimarishwa, mtuhumiwa mpya wa matukio ya kigaidi, Buchumi Hassan, amepandishwa kizimbani kusomewa mashtaka yake na kuunganishwa na watuhumiwa wenzake 60 na kufanya idadi yao kufikia 61.
Kwa wiki kadhaa sasa kulikuwa na ulinzi mkali wa askari magereza eneo hilo wakati wa...