Zitto akomalia demokrasia Chadema
MBUNGE wa jimbo la Kigoma Kaskazini mkoani Kigoma, Kabwe Zitto amesema kuwa ataendelea kupigania haki yake ya kidemokrasia na uwajibikaji ndani ya chama chake hadi dakika za mwisho.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-iQ6E7KpUEew/VQwwur3Vt0I/AAAAAAAHLp0/3QgR5XuY8kY/s72-c/zitto.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-NwOkgm-8rbs/Va7s7o37ZVI/AAAAAAAATXY/-_YS_LwBmnw/s72-c/Jimbo%2Bla%2BKinondoni-page-001.jpg)
10 years ago
Vijimambo22 Jul
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA, kimetoa ratiba rasmi ya kura za maoni
Ifuatayo ni ratiba za kura hizo katika majimbo ya Tanzania Bara
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/R9XIwqbdD--DSnfuTV6yb0QoLFEshf4CbQ6kxkLxnMcImTXT6RBExz-RbukYHGTCgHcQJt8eqPeiEinyQ2y*3gjgeAHWiD0K/06ZITTO5.jpg?width=650)
ZITTO AICHAKAZA CHADEMA
11 years ago
Tanzania Daima11 Dec
Zitto aibuka CHADEMA
WAKATI mashabiki na wanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wakihoji uamuzi wa Kamati Kuu ya chama hicho kumvua nafasi zote za uongozi Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe,...
10 years ago
Habarileo17 Sep
Mnyika amrithi Zitto Chadema
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimemteua tena Dk Willibrod Slaa kuwa Katibu Mkuu wa chama hicho kikuu cha upinzani kwa sasa nchini. Hii ina maana kwamba Dk Slaa mwenye umri wa miaka 65, atashika wadhifa huo hadi mwaka 2019. Alianza kushika nafasi hiyo mwaka 2002, akitoka kuwa Makamu Mwenyekiti wa Taifa wa Chadema, nafasi aliyoishika kuanzia mwaka 1998.
10 years ago
Mtanzania11 Mar
Chadema wamtimua rasmi Zitto
Na Waandishi Wetu, Dar es Salaam
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimemvua rasmi uanachama Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe.
Hatua hiyo ya Chadema imekuja baada ya Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam kutupa kesi iliyofunguliwa na Zitto dhidi ya Bodi ya Udhamini ya chama hicho na Katibu wake, Dk. Willibrod Slaa.
Kesi hiyo ilitupwa jana na Jaji Richard Mziray baada ya kupitia hoja za mapingamizi matano yaliyowasilishwa na mawakili wa Chadema.
Baada ya kutolewa kwa uamuzi huo...
10 years ago
IPPmedia11 Mar
Zitto loses case against Chadema
IPPmedia
IPPmedia
The High Court in Dar es Salaam yesterday ruled in favour of Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) after it threw out a case filed by the party's former Deputy Secretary General, Zitto Kabwe against Chadema Board of Trustees and the Secretary ...
Zitto loses court battle, axed from ChademaDaily News
all 2
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Apuk65MO0R0qbajhq766P24tX0dpu3RhxwmtVdvIDfnRD45IKQpnHa3U6c4h6DgDlulwzIBMMsMp1jUMY2L7abzQFKhxsWS2/ZittoKabwe.jpg?width=650)
ZITTO AWABWAGA CHADEMA MAHAKAMANI