Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Orijino Komedi kutunisha mfuko wa Imetosha Foundation

orijino komediNA MWANDISHI WETU

USHIRIKIANO wa Imetosha Foundation na Orijino Komedi, unatarajia kutoa burudani ya vichekesho vyenye lengo ya kuchangisha fedha za ujenzi wa kituo kitakachoendesha shughuli za ujasiriamali kwa watu wenye ualbino.

Burudani hiyo kwa ajili ya kuchangia kituo hicho kitakachoitwa Santa Lucia ambacho kitajengwa huko Bumbuli Lushoto mkoani Tanga, itafanyika Septemba 11 katika usiku maalumu uliopewa jina la Ucheshi na muziki katika ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

TANZANIA DISTILLERIES LTD WACHANGIA MILIONI 10 MFUKO WA IMETOSHA FOUNDATION

Kampuni ya Tanzania Distilleries LTD (TDL),imechangia kiasi cha sh.milioni 10 kwa harakati ya Imetosha inayopiga vita mauaji ya watu wenye Ualbino,ambayo itafanya matembezi ya hisani machi 29 mwaka huu yatakayofanyika kuanzia katika viwanja vya Biafra na kuishia katika Viwanja vya Leaders Klabu,Kinondoni jijjni Dar es Salaam.
Akizunguma na waandishi wa habari wakati kutangaza kutoa mchango huo,Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni hiyo,David Mgwassa amesema kupinga mauaji ya watu wenye ulemavu ni...

 

10 years ago

Michuzi

10 years ago

Michuzi

9 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

ORIJINO KOMEDI WATINGA NDANI YA JEMBE FM 93.7 MWANZA.

Kundi la Orijino Komedi likipata picha ya pamoja na ma-Jembe dJz kulia ni Dj Davy, kushoto ni Dj K-Flip, katika studio za Jembe Fm 93.7 Mwanza, Orijino Komedi Kesho jumapili wataungana na Yamoto Band katika Sunday Bonanza ya Familia na marafiki itakalopigwa Jembe Beach Malimbe kwa kiingilio cha shilingi 5000/=.Usiku wa leo (Jumamosi) uko pale pale ni SkyMotto, bendi ya Skylight itakisanukisha ikiwa sambamba na Yamoto Band ambapo kiingilio ni shilingi 10,000/= tu!!Dj Frank on one & two at...

 

10 years ago

Michuzi

NSSF YAKABIDHI NYUMBA KWA WASANII WA ORIJINO KOMEDI

Meneja Mipango na Uwekezaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Abdallah Mselly (kulia) akimkabidhi msanii wa Orijino Komedi, Mjuni Silvery 'Mpoki funguo ya moja ya nyumba za gharama nafuu walizokopeshwa wasanii  wa kikundi hicho na NSSF wakati wa hafla fupi ya kukabidhi wasanii hao zilizopo Mtoni Kijichi jijini Dar es Salaam hivi karibuni, mkopo huo utalipwa kwa kipindi cha miaka 15. (Na Mpiga Picha Wetu)Baadhi ya nyumba za gharama nafuu zilizojengwa na Shirika la Taifa la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani