POLISI KILIMANJARO YABAINI MBINU MPYA INAYOTUMIKA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA .
Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro ,SACP,Robert Boaz akitoa dawa za kulevya katika mikoba ya kike ambayo imekamatwa katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro KIA.
Kamanda wa Polisi mkoa wa Kilimanjaro ,SACP,Robert Boaz akiwaonesha waandishi wa habari(hawako pichani)moja ya mikoba iliyotumika kufichia dawa za kulevya kwa ustadi mkubwa.
Dawa za Kulevya ambazo hazijafahamika ni aina gani zikiwa katika mifuko maalumu.
Baadhi ya waandishi wa habari mkoa wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-maIKnwOORpc/XlACbZ6UL_I/AAAAAAALewI/VEwoSWtymVoUImdmIh3ax6NhkoadtapIwCLcBGAsYHQ/s72-c/PIX%2B01.jpg)
WASAFIRISHAJI DAWA ZA KULEVYA WABUNI MBINU MPYA MOROGORO
![](https://1.bp.blogspot.com/-maIKnwOORpc/XlACbZ6UL_I/AAAAAAALewI/VEwoSWtymVoUImdmIh3ax6NhkoadtapIwCLcBGAsYHQ/s640/PIX%2B01.jpg)
Jafari Idd Mshana Mkazi Wa Dar Es Salaam (Wakwanza kulia ) anayetuhumiwa kusafirisha wahamiaji haramu,akiwa na wahamiaji hao Raia wa Ethopia.
![](https://1.bp.blogspot.com/-lq6lyZqtRg4/XlACbfYhKNI/AAAAAAALewM/vyYzejwwlPQ0UXImffy5SOjJU2wo_VUgQCLcBGAsYHQ/s640/PIX%2B02.jpg)
Gari aina ya prado lililotumika kusafirishia dawa za kulevya aina ya Bhangi.
NA FARIDA SAIDY MOROGORO
Kutokana na msako mkubwa unaofanywa na Jeshi la Polisi nchini waharifu wa makosa mbalimbali wakiwemo wasafirishaji wa dawa za kulevya wamebuni mbinu mpya za kusafirisha wa dawa hizo,ambapo wanatumia Madumu ya lita 20 kama kifungashio cha kubebea...
10 years ago
Dewji Blog03 Sep
Serikali yabaini kilogram 6,428.12 za dawa za kulevya mwaka 2013
Mkurugenzi wa Idara ya Sayansi ya Makosa ya Jinai na Vinasaba kutoka Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali Bi.Gloria Omari akiongea na waandishi wa Habari( Hawapo pichani) kuhusu Hali ya Dawa za Kulevya kwa Mwaka 2013 nchini ambapo amesema jumla ya majalada 208 yalipokelewa na kufanyiwa uchunguzi, wakati wa mkutano jana Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Bi. Zamaradi Kawawa.
Mkuu wa kitengo cha Sayansi ya Makosa ya Jinai Kemia kutoka Ofisi ya Mkemia...
9 years ago
Mwananchi09 Nov
Kesi saba za kusafirisha dawa za kulevya zaiva
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/8ZYHw2_ACb4/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-7eSrINH3cgM/VPc2Y3VzKRI/AAAAAAAHHuw/SVUFJFXyBhE/s72-c/UN%2B(2).jpg)
AFRIKA KUSINI YATAJWA KUWA NA NJIA NYINGI ZA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA
Imeelezwa kuwa nchi ya Afrika Kusini katika bara la Afrika ndio inayoongoza kwa kuwa na njia nyingi za usafirishaji wa dawa za kulevya aina ya Cocaine na Heroine .
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo,Afisa Habari wa Kituo Cha Habari wa Umoja wa Mataifa (UNIC),Stella Vuzo alisema kuwa hilo limetokana na ripoti ya Bodi ya Kupambana na Dawa za Kulevya ya Umoja wa Mataifa imeweka mkazo katika kwa nchi mwanachama kuweka mikakati katika...
10 years ago
Mwananchi01 Jun
Mbinu hizi hutumiwa na wasafirishaji dawa za kulevya
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5FmTVwt37AI/XvX2fDMVBAI/AAAAAAALvko/btmRVnzIerYSUZyWdeh95oeqhBYmp0XMQCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-26%2Bat%2B2.17.25%2BPM%2B%25281%2529.jpeg)
MKAZI WA JIJINI DAR KORTINI KWA TUHUMA ZA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA GRAMU 1523.25
Katika hati ya mashtaka iliyosomwa na Wakili wa Serikali Janet Magoho leo Juni 26, 2020 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Richard Kabate imedai kuwa, Aprili 9, 2011 huko katika uwanja wa Ndege wa Mwalimu JK Nyerere ndani ya Wilaya ya Ilala Dar es Salaam, mshtakiwa alikutwa akisafirisha...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-i2agun98gWY/Xl5dotg8QhI/AAAAAAALgv0/KKWHkXefr6oYfm87SSQUDuVjtrH72c_XACLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-03%2Bat%2B14.33.40.jpeg)
WAKAZI WATATU DAR WAFIKISHWA KORTINI WAKIKABILIWA NA SHTAKA LA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA AINA YA HEROINE
WAKAZI watatu wa jijini Dar es Salaam Jimmy Mlaki (23), mkazi wa Kinondoni Moscow, Stanley Ngowi maarufu kama Sultani (24), mkazi wa Tabata Segera na Issa Omari (29) wa Kimara wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na shtaka la kusafirisha dawa za kulevya aina ya Heroine.
![](https://1.bp.blogspot.com/-i2agun98gWY/Xl5dotg8QhI/AAAAAAALgv0/KKWHkXefr6oYfm87SSQUDuVjtrH72c_XACLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-03%2Bat%2B14.33.40.jpeg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-TlZuy_yX7iw/XrWMFT12naI/AAAAAAALphM/er39MqVCxU0WPndFnZpMvBWNq7y6Zv19gCLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
AHUKUMIWA KIFUNGO MIAKA 30 GEREZANI KWA KOSA LA KUSAFIRISHA DAWA ZA KULEVYA AINA YA HEROINE ZENYE UZITO WA GRAMU 306.6
Mahakama Kuu Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu uchumi, imemuhukumu Islem Shebe Islem (50) raia wa Tanzania mwenye asili ya kiarabu, kutumikia kifungo cha miaka 30 gerezani baada ya kupatikana na hatia katika kosa la kusafirisha dawa za kulevya aina ya heroine zenye uzito wa gramu 306.32.
Hukumu hiyo imesomwa leo Mei 8 2020 mbele Jaji Elinaza Luvanda baada upande wa mashtaka kupitia mashahidi wake saba na vielelezo mbali mbali zikiwemo dawa hizo kuweza...