Madereva wagoma Mbeya, wasafiri wahaha kituoni
Wasafiri wanaotoka na kuingia katika wilaya za Mbarali, Rungwe na Kyela mkoani hapa, juzi walishindwa kusafiri kwa muda wa saa saba baada ya madereva wa mabasi kugoma kufanya kazi kwa madai kwamba wamechoshwa kunyanyaswa na maofisa wa Mamlaka ya Usafirishaji wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzimadereva wa daladala jijini Mbeya wagoma kusafirisha abiria leo
9 years ago
Global Publishers23 Dec
10 years ago
Habarileo20 Oct
Madereva UDA wagoma
MGOMO uliokuwa umeanza leo wa madereva wa Shirika la Usafiri Dar es Salaam (UDA) umezimwa baada ya uongozi wa shirika hilo kukubali kushughulikia malalamiko ya madereva hao.
11 years ago
Habarileo30 Jun
Madereva wa mabasi wagoma
ABIRIA waliokuwa wanasafiri kwa mabasi kutoka Kanda ya Ziwa kuelekea mikoa ya Pwani na Kaskazini, juzi walijikuta wakilazimika kuchelewa kufika mjini Singida kwa zaidi ya saa tatu kutokana na mgomo wa madereva wao.
11 years ago
BBCSwahili07 Jun
Madereva wa umma wagoma Brazil
11 years ago
Mwananchi20 May
Madereva wa daladala za Tegeta wagoma
10 years ago
Mwananchi21 Oct
Madereva mabasi ya Uda wagoma
10 years ago
Tanzania Daima21 Oct
Madereva UDA wagoma tena
BAADHI ya madereva wa Kampuni ya Usafiri Dar es Salaam (UDA), jana waligoma kufanya kazi kwa muda wakipinga agizo la kupeleka hesabu ya sh. 205,000 wakidai kuwa haziwezi kupatikana kutokana...
11 years ago
BBCSwahili29 Apr
Madereva wa treni wagoma Uingereza