Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Global TV Online: Wasafiri Wahaha Kukosekana kwa Mabasi Ubungo

Global Publishers

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kero za wasafiri Kituo cha Mabasi Ubungo

Januari 21 mwaka jana iliendeshwa operesheni ya kubomoa majengo kwenye kituo cha mabasi yaendayo nje ya mkoa cha Ubungo, (Ubungo Bus Terminal Stand, UBS). 

 

10 years ago

Mwananchi

Madereva wagoma Mbeya, wasafiri wahaha kituoni

Wasafiri wanaotoka na kuingia katika wilaya za Mbarali, Rungwe na Kyela mkoani hapa, juzi walishindwa kusafiri kwa muda wa saa saba baada ya madereva wa mabasi kugoma kufanya kazi kwa madai kwamba wamechoshwa kunyanyaswa na maofisa wa Mamlaka ya Usafirishaji wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra).

 

11 years ago

GPL

KAMERA YA GLOBAL YAMULIKA UBOMOAJI WA KITUO CHA MABASI, FOLENI UBUNGO

    Mafundi wakivunja vibanda vya kukatia tiketi.     Nguzo za umeme wa nguvu kubwa ‘zikipita’ juu ya wabomoaji.…

 

11 years ago

Michuzi

Wasafiri wa treni waliokwama Manyoni wasafirishwa kwa mabasi kuja Dar

Uongozi wa Kampuni ya Reli Tanzania – TRL unawaarifu wananchi kwa jumla kuwa imefanikiwa kuwasafirisha kuja Dar abiria takriban 678 waliokwama katika Stesheni ya Manyoni. Zoezi hilo linaloendeshwa kwa awamu mbili tofauti lilianza usiku wa manane hadi saa 10 usiku wa kuamkia leo .
Kwa mujibu wa taarifa ya uongozi zoezi la pili litaanza tena kuanzia saa asubuhi ya leo kwa abiria wapatao 699 waliosalia kutegemeana na kupatikana mabasi mengine zaidi ya 11 yanayohitajika.
Kukwama kwa...

 

10 years ago

GPL

MGOMO WA MABASI, WASAFIRI MJINI BUKOBA WAKWAMA

Mabasi katika kituo cha mabasi mjini Bukoba, Kagera yakiwa yameegeshwa kufuatia mgomo wa mabasi nchi nzima uliotekelezwa na madereva wa mabasi hayo. Bajaji zikibeba abiria. Abiria wakitahamaki baada ya kuona mabasi hayatembei hivyo kukoswa usafiri wa kuwafikisha sehemu mbalimbali wanakoelekea.…

 

11 years ago

GPL

GLOBAL FUND ROUND 9 YATOA MABASI 6 KWA WIZARA YA AFYA

Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Charles Pallangyo akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). …akipanda ndani ya basi.…

 

10 years ago

GPL

MGOMO WA MABASI STENDI YA UBUNGO

Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba katika stendi ya Ubungo jijini Dar es Salaam kuna mgomo wa madereva waendeshayo mabasi yaendayo mikoani. Mgomo huo umeanza leo kama ambavyo muungano wa madereva wa vyombo vya usafiri waliahidi wakidai kutotatuliwa kero zao na serikali. Taarifa zaidi pamoja na picha vitawajia hivi punde.

 

10 years ago

GPL

KWA HABARI ZA MASTAA: ANGALIA GLOBAL TV ONLINE

BONYEZA HAPA ===>GLOBAL TV ONLINE

 

9 years ago

Global Publishers

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani