Global TV Online: Wasafiri Wahaha Kukosekana kwa Mabasi Ubungo
Global Publishers
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi12 Sep
Kero za wasafiri Kituo cha Mabasi Ubungo
Januari 21 mwaka jana iliendeshwa operesheni ya kubomoa majengo kwenye kituo cha mabasi yaendayo nje ya mkoa cha Ubungo, (Ubungo Bus Terminal Stand, UBS).Â
10 years ago
Mwananchi17 Apr
Madereva wagoma Mbeya, wasafiri wahaha kituoni
Wasafiri wanaotoka na kuingia katika wilaya za Mbarali, Rungwe na Kyela mkoani hapa, juzi walishindwa kusafiri kwa muda wa saa saba baada ya madereva wa mabasi kugoma kufanya kazi kwa madai kwamba wamechoshwa kunyanyaswa na maofisa wa Mamlaka ya Usafirishaji wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra).
11 years ago
GPLKAMERA YA GLOBAL YAMULIKA UBOMOAJI WA KITUO CHA MABASI, FOLENI UBUNGO
  Mafundi wakivunja vibanda vya kukatia tiketi.   Nguzo za umeme wa nguvu kubwa ‘zikipita’ juu ya wabomoaji.…
11 years ago
Michuzi
Wasafiri wa treni waliokwama Manyoni wasafirishwa kwa mabasi kuja Dar

Kwa mujibu wa taarifa ya uongozi zoezi la pili litaanza tena kuanzia saa asubuhi ya leo kwa abiria wapatao 699 waliosalia kutegemeana na kupatikana mabasi mengine zaidi ya 11 yanayohitajika.
Kukwama kwa...
10 years ago
GPL
MGOMO WA MABASI, WASAFIRI MJINI BUKOBA WAKWAMA
Mabasi katika kituo cha mabasi mjini Bukoba, Kagera yakiwa yameegeshwa kufuatia mgomo wa mabasi nchi nzima uliotekelezwa na madereva wa mabasi hayo. Bajaji zikibeba abiria. Abiria wakitahamaki baada ya kuona mabasi hayatembei hivyo kukoswa usafiri wa kuwafikisha sehemu mbalimbali wanakoelekea.…
11 years ago
GPLGLOBAL FUND ROUND 9 YATOA MABASI 6 KWA WIZARA YA AFYA
Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya, Charles Pallangyo akizungumza na wanahabari (hawapo pichani). …akipanda ndani ya basi.…
10 years ago
GPL
MGOMO WA MABASI STENDI YA UBUNGO
Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba katika stendi ya Ubungo jijini Dar es Salaam kuna mgomo wa madereva waendeshayo mabasi yaendayo mikoani. Mgomo huo umeanza leo kama ambavyo muungano wa madereva wa vyombo vya usafiri waliahidi wakidai kutotatuliwa kero zao na serikali. Taarifa zaidi pamoja na picha vitawajia hivi punde.
10 years ago
GPL
9 years ago
Global Publishers15 Dec
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
07-May-2025 in Tanzania