Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mshitakiwa adai kuteswa, kudhalilishwa polisi

MSHITAKIWA katika kesi ya ugaidi, Abdallah Maginga, ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, kumruhusu kutohudhuria siku za kesi na abaki magereza, kutokana na maumivu makali anayodai anayapata sehemu za siri alikominywa na polisi na kuingiziwa mti kwenye haja kubwa.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MTOTO AAJIRIWA, ADAI KUTESWA

Stori: Shani Ramadhani Mbaya! Mtoto mwenye umri wa miaka (14) anadaiwa kuajiriwa akiwa na umri mdogo kinyume cha sheria za kazi kisha kupokea kipigo na manyanyaso kutoka kwa mtu anayedai ni bosi wake aliyemtaja kwa jina moja la Agness. Mtoto mwenye umri wa miaka (14) ambaye ni mwenyeji wa Rombo mkoani Kilimanjaro anayeripoti manyanyaso kutoka kwa mtu anayedaiwa kuwa bosi wake. Kwa mujibu wa mashuhuda, mbali na kuwepo kwa...

 

9 years ago

Habarileo

Mshitakiwa akana maelezo, adai alipigwa

MSHITAKIWA katika kesi ya kuisababishia hasara kampuni ya kitalii ya sh milioni 800, Charles Minja (36) amekana maelezo yake na kusema alilazimishwa kuyaandika. Mshitakiwa huyo anashitakiwa na mwajiri wake wa zamani kampuni ya Utalii ya Leopard Tours kwa kuisababishia hasara ya Sh milioni 800 na kutoa risiti feki za kuonesha malipo.

 

10 years ago

Vijimambo

*MTIKILA AMSHITAKI MOKIWA, ADAI FIDIA YA SH BILIONI 1 KWA KUDHALILISHWA

Mchungaji Christopher Mtikila, amefungua kesi katika mahakama ya hakimu mkazi Kisutu kumshitaki Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglican Tanzania Dk. Valentino Mokiwa.Msingi wa kesi ni kwamba Askofu Mokiwa alimshika makalio Mtikila na kwamba kitendo hicho kilichotokea Juni 25 mwaka jana walipokutana maeneo ya Ilala, kimemdhalilisha.Mtikila alikuwa ameitwa na Askofu kujadili tamko la la Mtikila kwamba Kanisa la Anglican linajihusisha na ufisadi, ukiwemo wizi wa vifaa vya Hospitali ya Mission ya...

 

11 years ago

Habarileo

Mshitakiwa aua polisi kwa jiwe

ASKARI Polisi amekufa baada ya kujeruhiwa vibaya kwa jiwe kichwani na mshitakiwa wa kesi ya uvunjaji wa nyumba, Njoke ole Kiripi (34), mkazi wa Olebomba, wilayani longido.

 

11 years ago

GPL

BINTI ADAI KUBAKWA NA POLISI

Stori: gabriel ng’osha DUNIA ina maajabu jamani! Msichana wa miaka 14 (jina limehifadhiwa) amebakwa huku mwenzake aitwaye Mecy (11) akipigwa na kuporwa simu na mtu aliyedai kuwa ni askari polisi (kituo hakijulikani).
Kwa mujibu wa Mecy (pichani)ambaye ni mkazi wa Kinondoni Msiriri jijini Dar, tukio hilo lilijiri hivi karibuni ambapo wote walijikuta wakipata dhahama hiyo baada ya kukutana na afande huyo na kuwafanyia...

 

11 years ago

GPL

DEREVA ADAI KUVUNJWA MKONO NA ASKARI POLISI

Dereva wa basi la Princes Munaa Hamidu Juma akionyesha sehemu ya mkono aliyoumia. Sehemu ya mkono wa kushoto ulioumia.…

 

11 years ago

Habarileo

Mshitakiwa- Msiponiachia najiua

MSHITAKIWA Makongoro Nyerere anayekabiliwa na kesi ya mauaji ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imuachie huru akaishi na watoto wake au ajiue.

 

10 years ago

Mwananchi

Mlatha ahamaki wasichana kudhalilishwa

Mbunge wa Viti Maalumu, Martha Mlatha amemtaka Naibu Waziri wa Nchi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Aggrey Mwanri kuwaomba radhi wasichana nchini nzima kwa kuwadhalilisha.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mshitakiwa kesi ya twiga bado utata

MATUMAINI ya kumpata mshitakiwa namba moja katika kesi ya kusafirisha wanyama hai wakiwamo twiga wanne kwenda nchini Qatar, Kamran Ahmed, yameyeyuka baada ya jana mshitakiwa huyo kutofika tena mahakamani. Mshitakiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani