BINTI ADAI KUBAKWA NA POLISI
![](http://api.ning.com:80/files/6LjPLZ8wv3dLELrZZ2YrcKTe7J6xAJITfNqZ6R0aXLdqGKr7j1ertJV-XMPN2GeQuT6O2O83MYgxotpUe1DQTdkexbfb6NvW/binti.jpg?width=650)
Stori: gabriel ng’osha DUNIA ina maajabu jamani! Msichana wa miaka 14 (jina limehifadhiwa) amebakwa huku mwenzake aitwaye Mecy (11) akipigwa na kuporwa simu na mtu aliyedai kuwa ni askari polisi (kituo hakijulikani). Kwa mujibu wa Mecy (pichani)ambaye ni mkazi wa Kinondoni Msiriri jijini Dar, tukio hilo lilijiri hivi karibuni ambapo wote walijikuta wakipata dhahama hiyo baada ya kukutana na afande huyo na kuwafanyia...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo01 Oct
Polisi achunguzwa kwa kutorosha binti kidato 3
JESHI la Polisi mkoani Kilimanjaro linachunguza tukio la askari wake (jina tunalo), iwapo alimtorosha na kumweka kinyumba mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari Okaoni, wilayani Moshi Vijijini.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-hwEeqCyyzek6j9gSPKLNPVdxhsQIbu3rUA6PS*oD2m2wd7rUKsuDQODZNo2yoJJk*J74gwPT4*Uwz206fbi1UhinbEEEDcN/polisitexas3.jpg?width=650)
POLISI ALIYENASWA AKIMNYANYASA BINTI MWEUSI TEXAS AACHIA NGAZI
10 years ago
Habarileo18 Sep
Mshitakiwa adai kuteswa, kudhalilishwa polisi
MSHITAKIWA katika kesi ya ugaidi, Abdallah Maginga, ameiomba Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, kumruhusu kutohudhuria siku za kesi na abaki magereza, kutokana na maumivu makali anayodai anayapata sehemu za siri alikominywa na polisi na kuingiziwa mti kwenye haja kubwa.
11 years ago
GPLDEREVA ADAI KUVUNJWA MKONO NA ASKARI POLISI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pog920fjmi8mtuYwT7X4pXfuAdzb4lHR8z-EYt9GUlB3XXIHudT6lUAy7277dh-UA-YxOiIOiR*SDrmugcqIZYIpebJqa9tt/mremboo.jpg)
MREMBO CHUPUCHUPU KUBAKWA
11 years ago
Tanzania Daima20 Mar
Mtoto afa kwa kubakwa
MTOTO wa kike mwenye umri wa miaka 13, mkazi wa Kijiji cha Nyangoto, wilayani Tarime, amefariki dunia baada ya kubakwa. Kamanda wa Polisi Tarime na Rorya, Justus Kamugisha, alisema jana...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0PKyB0rYTqrczGFnqqfm1MHta7oLvEG8Iog358i-*TNU1AY2*XIEQMVdutykDSjO3nYTMZAPwt0oixiBYcJf9hNMgtIEmMj*/amandaaaa.jpg?width=650)
UKWELI SKENDO YA AMANDA KUBAKWA
10 years ago
Tanzania Daima09 Sep
Busega walaani mwalimu kubakwa
JUMUIYA ya Maendeleo ya Wanabusega (Budeco), imelaani tukio la kubakwa mwalimu wa shule ya Busega mkoani Simiyu. Tukio hilo lililotokea Agosti 23 mwaka huu, ambako majambazi wakiwa na silaha walivamia...
10 years ago
Tanzania Daima12 Sep
Wanabusega walaani mwalimu kubakwa
JUMUIYA ya Maendeleo ya Wanabusega (Budeco), imelaani tukio la kubakwa mwalimu wa shule ya Busega mkoani Simiyu. Tukio hilo lilitokea Agosti 23 mwaka huu, ambako watu wanaotuhumiwa majambazi walivamia nyumba...