Polisi achunguzwa kwa kutorosha binti kidato 3
JESHI la Polisi mkoani Kilimanjaro linachunguza tukio la askari wake (jina tunalo), iwapo alimtorosha na kumweka kinyumba mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari Okaoni, wilayani Moshi Vijijini.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi10 Nov
KAMANDA WA POLISI MKOA WA MBEYA AHMED .Z. MSANGI-SACP ANAWATANGAZIA WAHITIMU WA KIDATO CHA SITA MWAKA 2014 NA KIDATO CHA NNE MWAKA 2013 WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA NA JESHI LA POLISI BAADA YA USAILI KUKAMILIKA
Maelekezo Muhimu.Wahitimu wa kidato cha sita mwaka 2014, kidato cha nne mwaka 2013 na JKT Mafinga, Mlale, Ruvu, Mgambo, Bulombola, Kanembwa, Itende, Nachingwea, Mbweni, Maramba, Chita, Makutupola, Mtabila, Msange, Mgulani, Oljoro, Rwankoma na Kimbiji wamechaguliwa kujiunga na mafunzo ya awali ya Jeshi la Polisi.Wahitimu hawa waliochaguliwa wanatakiwa kuripoti tarehe 28/11/2014 kwa Makamanda wa Polisi wa Mikoa kama ilivyooneshwa kwenye jedwali hapa chini ili...
11 years ago
BBCSwahili22 May
Moyes achunguzwa na polisi
Aliyekuwa kocha wa Manchester United David Moyes anachunguzwa na polisi kusu madai alimpiga mteja kwenye baa
11 years ago
Habarileo18 Jul
Baba wa binti aliyefanya vyema kidato cha 6 atoa ya moyoni
BABA wa mwanafunzi aliyefanya vizuri katika mtihani wa kidato cha sita na kushika nafasi ya pili kitaifa masomo ya sayansi, Doris Noah amesema mtoto wake ana ndoto ya kuwa rubani lakini bado hakubaliani na maamuzi yake.
11 years ago
Michuzi17 Mar
Taarifa Kwa Wahitimu Wa Kidato cha Sita 2014 ya Kujiunga na Jeshi la Polisi Nchini
![](https://4.bp.blogspot.com/-4Yiax1JDMTE/UyYNa54A5PI/AAAAAAACr14/_Ym-C60Upe8/s1600/wwwwww.jpg)
Baada ya kujazwa kikamilifu wakabidhi fomu kwa wakuu wa shule ambao watazirejeshe kwa Makamada wa Polisi wa mikoa kabla ya tarehe 17.03.2014. Wahitimu wa kidato cha nne...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-v2_XIJ9S1Ug/VeARqSfYtZI/AAAAAAAH0l8/ZYMzXcWZXHc/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-08-28%2Bat%2B10.44.17%2BAM.png)
Tangazo kwa wahitimu wa kidato cha nne, sita na JKT ambao wamechaguliwa kujiunga na mafunzo ya awali ya Polisi
![](http://1.bp.blogspot.com/-v2_XIJ9S1Ug/VeARqSfYtZI/AAAAAAAH0l8/ZYMzXcWZXHc/s640/Screen%2BShot%2B2015-08-28%2Bat%2B10.44.17%2BAM.png)
KILA MMOJA ATATAKIWA KUWA NA NAULI YA KUMWEZESHA KUSAFIRI TOKA MAKAO MAKUU YA MKOA ANAKOANZIA KUSAFIRI HADI SHULE YA POLISI MOSHI NA ATAREJESHEWA NAULI ATAKAPOFIKA...
9 years ago
BBCSwahili11 Nov
Mchezaji achunguzwa kwa kuchokoza mbwa
Mchezaji mmoja wa Oakland Raiders anachunguzwa na maafisa wa polisi kwa ‘kubweka’ na kujipiga kifua mbele ya mbwa wa polisi.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6LjPLZ8wv3dLELrZZ2YrcKTe7J6xAJITfNqZ6R0aXLdqGKr7j1ertJV-XMPN2GeQuT6O2O83MYgxotpUe1DQTdkexbfb6NvW/binti.jpg?width=650)
BINTI ADAI KUBAKWA NA POLISI
Stori: gabriel ng’osha DUNIA ina maajabu jamani! Msichana wa miaka 14 (jina limehifadhiwa) amebakwa huku mwenzake aitwaye Mecy (11) akipigwa na kuporwa simu na mtu aliyedai kuwa ni askari polisi (kituo hakijulikani).
Kwa mujibu wa Mecy (pichani)ambaye ni mkazi wa Kinondoni Msiriri jijini Dar, tukio hilo lilijiri hivi karibuni ambapo wote walijikuta wakipata dhahama hiyo baada ya kukutana na afande huyo na kuwafanyia...
11 years ago
BBCSwahili14 May
Justin Bierber achunguzwa kwa kosa la wizi
Mwanamuziki wa kimataifa wa mtindo wa Pop Justin Bieber anachunguzwa na polisi kwa madai yakumuibia mwanamke simu yake
11 years ago
BBCSwahili20 Jun
Achunguzwa kwa kupewa mke kama zawadi
Uchunguzi umeanzishwa nchini Afrika Kusini kuhusu madai kuwa mkuu wa shirika la habari la SABC alikabidhiwa msichana kama zawadi.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania