Justin Bierber achunguzwa kwa kosa la wizi
Mwanamuziki wa kimataifa wa mtindo wa Pop Justin Bieber anachunguzwa na polisi kwa madai yakumuibia mwanamke simu yake
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili11 Nov
Mchezaji achunguzwa kwa kuchokoza mbwa
11 years ago
BBCSwahili20 Jun
Achunguzwa kwa kupewa mke kama zawadi
10 years ago
Habarileo01 Oct
Polisi achunguzwa kwa kutorosha binti kidato 3
JESHI la Polisi mkoani Kilimanjaro linachunguza tukio la askari wake (jina tunalo), iwapo alimtorosha na kumweka kinyumba mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari Okaoni, wilayani Moshi Vijijini.
9 years ago
MillardAyo07 Jan
Kutana na video ya goli la Simba Vs URA na kosa kosa za mchezo huo Mapinduzi Cup 2016 …
Mtu wangu wa nguvu bado ninazo headlines za michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa mwaka 2016, naomba nikusogezee video ya goli la Simba dhidi ya URA ya Uganda. Goli ambalo lilifungwa na Ibrahim Ajib dakika ya 37, baada ya kupokea pasi safi kutoka kwa Mwinyi Kazimoto. Mtu wangu wa nguvu hii ni video ya sehemu ya […]
The post Kutana na video ya goli la Simba Vs URA na kosa kosa za mchezo huo Mapinduzi Cup 2016 … appeared first on TZA_MillardAyo.
11 years ago
Habarileo02 Apr
Jela miaka 30 kwa kosa la kubaka
MAHAKAMA Wilaya ya Mpanda mkoani Katavi imemtia hatiani mkazi wa Kijiji cha Mpimbwe wilayani Mlele , John Joseph ( 30) na kumhukumu kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kumbaka mwanamke mwenye umri wa miaka 65.
11 years ago
BBCSwahili20 May
Miaka 17 jela kwa kosa ambalo hakufanya
11 years ago
BBCSwahili24 Mar
Wamuua binti kwa 'kosa la ndoa' India
10 years ago
Habarileo27 Jan
Baba, mwana kizimbani kwa kosa la unyang’anyi
WATU wanne akiwamo baba mzazi na mwanawe wa kiume wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa kwa makosa ya unyang’anyi wa kutumia silaha.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-UZfru-goepo/XpC1KcOwvvI/AAAAAAALmu8/zJr3O_0wlqsXZsg5EKZVXOpUIskYB4DWwCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200410-WA0016.jpg)
Ahukumiwa maisha jela kwa kosa la kubaka na kulawiti
Na Amiri kilagalila,Njombe
Mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Njombe imemuhukumu Hezron Ndone ( 44) mkazi wa joshoni kata ya mji mwema mjini Njombe kwenda jela kifungo cha maisha kwa kosa kumbaka na kumlawiti mtoto wake wa kumzaa ambaye ni mwanafunzi darasa la tano mwenye umri wa miaka 10.
Akisoma hukumu ya kesi namba 14 ya mwaka 2020 hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama ya mkoa Njombe Hassan Mkakube alisema mtuhumiwaalishtakiwa kwa makosa manne mawili ya kuzini na maalimu kinyume na...