Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Justin Bierber achunguzwa kwa kosa la wizi

Mwanamuziki wa kimataifa wa mtindo wa Pop Justin Bieber anachunguzwa na polisi kwa madai yakumuibia mwanamke simu yake

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBCSwahili

Mchezaji achunguzwa kwa kuchokoza mbwa

Mchezaji mmoja wa Oakland Raiders anachunguzwa na maafisa wa polisi kwa ‘kubweka’ na kujipiga kifua mbele ya mbwa wa polisi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Achunguzwa kwa kupewa mke kama zawadi

Uchunguzi umeanzishwa nchini Afrika Kusini kuhusu madai kuwa mkuu wa shirika la habari la SABC alikabidhiwa msichana kama zawadi.

 

10 years ago

Habarileo

Polisi achunguzwa kwa kutorosha binti kidato 3

Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro, Moita KokaJESHI la Polisi mkoani Kilimanjaro linachunguza tukio la askari wake (jina tunalo), iwapo alimtorosha na kumweka kinyumba mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari Okaoni, wilayani Moshi Vijijini.

 

9 years ago

MillardAyo

Kutana na video ya goli la Simba Vs URA na kosa kosa za mchezo huo Mapinduzi Cup 2016 …

Mtu wangu wa nguvu bado ninazo headlines za michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa mwaka 2016, naomba nikusogezee video ya goli la Simba dhidi ya URA ya Uganda. Goli ambalo lilifungwa na Ibrahim Ajib dakika ya 37, baada ya kupokea pasi safi kutoka kwa Mwinyi Kazimoto. Mtu wangu wa nguvu hii ni video ya sehemu ya […]

The post Kutana na video ya goli la Simba Vs URA na kosa kosa za mchezo huo Mapinduzi Cup 2016 … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

11 years ago

Habarileo

Jela miaka 30 kwa kosa la kubaka

MAHAKAMA Wilaya ya Mpanda mkoani Katavi imemtia hatiani mkazi wa Kijiji cha Mpimbwe wilayani Mlele , John Joseph ( 30) na kumhukumu kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kumbaka mwanamke mwenye umri wa miaka 65.

 

11 years ago

BBCSwahili

Miaka 17 jela kwa kosa ambalo hakufanya

Mwanamume aliyefungwa jela kwa miaka kumi na saba kimakosa kwa madai ya ubakaji ameombwa radhi nchini Uingereza.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wamuua binti kwa 'kosa la ndoa' India

Wazazi wa mwanamke mmoja nchini India, wamekiri kwa polisi kumuua binti yao kwa sababu aliolewa kinyume na matakwa yao.

 

10 years ago

Habarileo

Baba, mwana kizimbani kwa kosa la unyang’anyi

WATU wanne akiwamo baba mzazi na mwanawe wa kiume wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa kwa makosa ya unyang’anyi wa kutumia silaha.

 

5 years ago

Michuzi

Ahukumiwa maisha jela kwa kosa la kubaka na kulawiti



Na Amiri kilagalila,Njombe

Mahakama ya hakimu mkazi mkoa wa Njombe imemuhukumu Hezron Ndone ( 44) mkazi wa joshoni kata ya mji mwema mjini Njombe kwenda jela kifungo cha maisha kwa kosa kumbaka na kumlawiti mtoto wake wa kumzaa ambaye ni mwanafunzi darasa la tano mwenye umri wa miaka 10.

Akisoma hukumu ya kesi namba 14 ya mwaka 2020 hakimu mkazi mfawidhi wa mahakama ya mkoa Njombe Hassan Mkakube alisema mtuhumiwaalishtakiwa kwa makosa manne mawili ya kuzini na maalimu kinyume na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani