Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mchezaji achunguzwa kwa kuchokoza mbwa

Mchezaji mmoja wa Oakland Raiders anachunguzwa na maafisa wa polisi kwa ‘kubweka’ na kujipiga kifua mbele ya mbwa wa polisi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

MCHEZAJI WA STAND UNITED AKABIDHIWA KITITA CHAKE KWA KUIBUKA MCHEZAJI BORA WA MWEZI OKTOBA WA LIGI KUU YA VODACOM TANZANIA BARA

Elias Maguli Mchezaji wa timu ya Stand United, amekabidhiwa hundi yake yenye thamani ya shilingi Milioni 1/= na wadhamni wakuu wa Ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara(Vodacom Tanzania) kwa kuibuka mchezaji bora wa mwezi Oktoba wa Ligi hiyo.
Mchezaji huyo alikabidhiwa hundi hiyo wakati wa mazoezi yaliyokuwa yanafanywa na timu yake katika viwanja vya JKM Park ya kujiandaa na mchezo dhidi ya Yanga hapo kesho.Ofisa Udhamini na Matukio wa Vodacom Tanzania,Ibrahim Kaude(kushoto)akimkabidhi Mchezaji...

 

11 years ago

BBCSwahili

Achunguzwa kwa kupewa mke kama zawadi

Uchunguzi umeanzishwa nchini Afrika Kusini kuhusu madai kuwa mkuu wa shirika la habari la SABC alikabidhiwa msichana kama zawadi.

 

11 years ago

BBCSwahili

Justin Bierber achunguzwa kwa kosa la wizi

Mwanamuziki wa kimataifa wa mtindo wa Pop Justin Bieber anachunguzwa na polisi kwa madai yakumuibia mwanamke simu yake

 

11 years ago

Habarileo

Polisi achunguzwa kwa kutorosha binti kidato 3

Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro, Moita KokaJESHI la Polisi mkoani Kilimanjaro linachunguza tukio la askari wake (jina tunalo), iwapo alimtorosha na kumweka kinyumba mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari Okaoni, wilayani Moshi Vijijini.

 

11 years ago

Habarileo

Mbwa mwitu, watoto wa mbwa, panya road kutokomezwa

JESHI la Polisi nchini limewaagiza Makamanda wa Polisi wa Mikoa, kuhakikisha wanavidhibiti na kuvitokomeza vikundi vyote vinavyojihusisha na vitendo vya uhalifu, ikiwemo uporaji, unyang’anyi na kujeruhi watu katika maeneo mbalimbali.

 

11 years ago

Mwananchi

Tuwadhibiti panya road, mbwa mwitu, watoto wa mbwa

Dar es Salaam kumezuka tafrani, umeibuka mtindo mpya wa vibaka kupora kwa makundi kwa kufanya operesheni maalumu katika baadhi ya maeneo. Hivi sasa pamoja na kuwa uhalifu umekithiri nchi nzima, lakini kila eneo kuna uhalifu wa aina yake na huu ulioibuka Dar es Salaam unatisha.

 

9 years ago

Dewji Blog

Wenger athibitisha kusajili mchezaji ndani ya siku 10 zijazo, jina la mchezaji anayesajiliwa lipo hapa

Arsene 22

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Vinara wa msimamo wa Ligi Kuu ya Uingereza, Arsenal wanatarajia kufanya usajili mpya katika kikosi chao ndani ya siku 10, kocha Arsene Wenger (pichani) kathibitisha.

Akizungumza na waandishi wa habari baada ya mchezo wa ligi kuu dhidi ya Newcastle ambao Arsenal iliibuka na ushindi wa goli 1 kwa bila, Wenger alisema anategemea kusajili mchezaji mpya ndani ya siku 10 zinazokuja.

“Ninatumai ndani ya siku 10 zijazo tunaweza kufanya jambo,” Wenger aliwaambia waandishi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Mbwa anayegundua saratani kwa binaadamu

Watafiti wa Marekani wanasema kuwa mbwa amefanikiwa kunusa ugonjwa wa saratani ya koromeo, yaani thyroid,ambayo ilikuwa imejificha

 

5 years ago

BBCSwahili

Je, ni hatia kwa mwanamke kumiliki mbwa?

Sahba Barakzai, familia yake na mbwa wao wa miezi saba kwa jina Aseman, hutembea kukwea milima karibu na nyumba yao huko Magharibi mwa Afghanastan

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani