Baba, mwana kizimbani kwa kosa la unyang’anyi
WATU wanne akiwamo baba mzazi na mwanawe wa kiume wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa kwa makosa ya unyang’anyi wa kutumia silaha.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
Miaka 30 jela kwa unyang’anyi
MAHAKAMA ya Wilaya ya Musoma, mkoani Mara, imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela pamoja na kuchapwa viboko 10, mkazi wa Mtakuja, Makarani Wambura (25) baada ya kupatikana na hatia ya...
11 years ago
Habarileo12 Apr
Atupwa miaka 30 jela kwa unyang’anyi
MWANAUME mmoja amehukumiwa na mahakama ya wilaya ya Musoma mkoani Mara, kifungo cha miaka 30 jela na kuchapwa viboko 10, baada ya kupatikana na hatia ya unyang’anyi wa kutumia silaha.
11 years ago
Habarileo27 Dec
Jela miaka 30 kwa unyang’anyi wa silaha
WAKAZI wawili wa vijiji vya Nyabisaga Kata ya Pemba wilayani Tarime mkoani Mara, Mhoni Chacha Ng’wena (25) na Isack Magawi Meng’anyi (30), wamehukumiwa kwenda jela miaka 30 kila mmoja baada ya kupatikana na hatia ya unyang’anyi wa kutumia silaha.
11 years ago
Mwananchi03 Feb
‘Mbwamwitu’ mahakamani kwa wizi, unyang’anyi
10 years ago
Mwananchi28 Dec
Afungwa jela miaka 30 kwa unyang’anyi wa kutumia silaha
10 years ago
Habarileo15 Aug
Jela miaka 30 unyang’anyi wa silaha
MKAZI wa Magomeni Makuti, Omary Ayub (25) amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela baada ya kupatikana na hatia ya unyang’anyi kwa kutumia silaha.
10 years ago
Mtanzania05 Jun
Matukio ya unyang’anyi 653 yatokea nchini
Na Debora Sanja, Dodoma
JUMLA ya matukio 653 ya unyang’anyi wa kutumia silaha yametokea katika kipindi cha mwaka 2010 hadi Februari, mwaka huu.
Taarifa hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Pereira Ame Silima, wakati akijibu swali la Mbunge wa Muhambwe, Felix Mkosamali (NCCR-Mageuzi).
Katika swali lake, Mkosamali alitaka kujua idadi ya matukio hayo tangu kipindi hicho, sababu zake na hatua zinazochukuliwa na Serikali.
Silima alisema matukio hayo ya kutumia silaha ni...
5 years ago
MichuziMSANII WA VICHEKESHO, IDRIS SULTAN KIZIMBANI KWA KOSA LA KUCHAPISHA MAUDHUI MTANDAONI
Washitakiwa wengine katika kesi hiyo ni Doctor Ulimwengu na Isihaka Mwinyimvua ambapo wote kwa pamoja walifikishwa mahakamani hapo jana na kusomewa...