‘Mbwamwitu’ mahakamani kwa wizi, unyang’anyi
>Wakazi Saba wa jiji la Dar es Salaam, ‘Mbwa mwitu’ au “Kundi la Waasiâ€Â wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala kujibu shtaka la unyang’anyi wa kutumia silaha.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima12 Apr
Miaka 30 jela kwa unyang’anyi
MAHAKAMA ya Wilaya ya Musoma, mkoani Mara, imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela pamoja na kuchapwa viboko 10, mkazi wa Mtakuja, Makarani Wambura (25) baada ya kupatikana na hatia ya...
11 years ago
Habarileo27 Dec
Jela miaka 30 kwa unyang’anyi wa silaha
WAKAZI wawili wa vijiji vya Nyabisaga Kata ya Pemba wilayani Tarime mkoani Mara, Mhoni Chacha Ng’wena (25) na Isack Magawi Meng’anyi (30), wamehukumiwa kwenda jela miaka 30 kila mmoja baada ya kupatikana na hatia ya unyang’anyi wa kutumia silaha.
11 years ago
Habarileo12 Apr
Atupwa miaka 30 jela kwa unyang’anyi
MWANAUME mmoja amehukumiwa na mahakama ya wilaya ya Musoma mkoani Mara, kifungo cha miaka 30 jela na kuchapwa viboko 10, baada ya kupatikana na hatia ya unyang’anyi wa kutumia silaha.
10 years ago
Habarileo27 Jan
Baba, mwana kizimbani kwa kosa la unyang’anyi
WATU wanne akiwamo baba mzazi na mwanawe wa kiume wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa kwa makosa ya unyang’anyi wa kutumia silaha.
10 years ago
Mwananchi28 Dec
Afungwa jela miaka 30 kwa unyang’anyi wa kutumia silaha
10 years ago
Habarileo15 Aug
Jela miaka 30 unyang’anyi wa silaha
MKAZI wa Magomeni Makuti, Omary Ayub (25) amehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela baada ya kupatikana na hatia ya unyang’anyi kwa kutumia silaha.
10 years ago
Mtanzania05 Jun
Matukio ya unyang’anyi 653 yatokea nchini
Na Debora Sanja, Dodoma
JUMLA ya matukio 653 ya unyang’anyi wa kutumia silaha yametokea katika kipindi cha mwaka 2010 hadi Februari, mwaka huu.
Taarifa hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Pereira Ame Silima, wakati akijibu swali la Mbunge wa Muhambwe, Felix Mkosamali (NCCR-Mageuzi).
Katika swali lake, Mkosamali alitaka kujua idadi ya matukio hayo tangu kipindi hicho, sababu zake na hatua zinazochukuliwa na Serikali.
Silima alisema matukio hayo ya kutumia silaha ni...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-U1qibVnzsLw/Xpp-X3QzURI/AAAAAAALnS0/Db0ppJ7w4MQaznyK6rnKZBgJ_dsOviCywCLcBGAsYHQ/s72-c/images%2B%252821%2529.jpg)
Maafisa watendaji 7 wafikishwa mahakamani kwa tuhuma ya wizi wa kutumia mashine za POS
Takukuru mkoa wa Njombe imewafikisha mahakamani wilaya ya Makete maafisa 7 watendaji wa vijiji kwa tuhuma ya wizi wa fedha Tshs.99,321,466/- za halmashauri ya wilaya ya Makete,ambazo zilikuwa ni makusanyo ya mapato ya halmashauri kwa kutumia mashine za POS (Point of Sale electronic Machine)
Mkuu wa Takukuru mkoa wa Njombe Bi.Domina Mukama, amesema kesi zilizofunguliwa mahakamani za maafisa watendaji hao wa vijiji ni.
1.CC.12/2020 Jamhuri dhidi ya Chrispin...