Moyes achunguzwa na polisi
Aliyekuwa kocha wa Manchester United David Moyes anachunguzwa na polisi kusu madai alimpiga mteja kwenye baa
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo01 Oct
Polisi achunguzwa kwa kutorosha binti kidato 3
JESHI la Polisi mkoani Kilimanjaro linachunguza tukio la askari wake (jina tunalo), iwapo alimtorosha na kumweka kinyumba mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari Okaoni, wilayani Moshi Vijijini.
9 years ago
Habarileo30 Nov
Bakhresa achunguzwa
KAMPUNI ya Said Salim Bakhresa (SSB) inachunguzwa na vyombo vya dola kwa tuhuma za kushiriki kukwepa kodi na hivyo kuikosesha serikali mabilioni ya fedha kutokana na makontena yaliyohifadhiwa kwenye bandari yake ya nchi kavu (ICD) ‘kupotea’ bila kulipiwa kodi. Tayari Mamlaka ya Mapato (TRA) imepiga marufuku SSB kuingiza makontena katika bandari hiyo kavu ambako ndiko kunadaiwa kufanyika kwa vitendo hivyo vya ukwepaji wa kodi kutokana na baadhi ya makontena kupotea katika mazingira ya...
10 years ago
BBCSwahili24 Jun
Hollande achunguzwa na NSA ?
11 years ago
BBCSwahili04 Jul
Mwanamke mbaguzi achunguzwa Australia
10 years ago
BBCSwahili25 Sep
Rais wa Fifa Sepp Blatter achunguzwa
9 years ago
BBCSwahili11 Nov
Mchezaji achunguzwa kwa kuchokoza mbwa
9 years ago
BBCSwahili12 Nov
Msaidizi wa Lowassa achunguzwa uraia wake
11 years ago
BBCSwahili20 Jun
Achunguzwa kwa kupewa mke kama zawadi
9 years ago
BBCSwahili07 Dec
Blatter achunguzwa na FBI kuhusu hongo ya $100m