Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Moyes achunguzwa na polisi

Aliyekuwa kocha wa Manchester United David Moyes anachunguzwa na polisi kusu madai alimpiga mteja kwenye baa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Polisi achunguzwa kwa kutorosha binti kidato 3

Kaimu Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro, Moita KokaJESHI la Polisi mkoani Kilimanjaro linachunguza tukio la askari wake (jina tunalo), iwapo alimtorosha na kumweka kinyumba mwanafunzi wa kidato cha tatu katika shule ya sekondari Okaoni, wilayani Moshi Vijijini.

 

9 years ago

Habarileo

Bakhresa achunguzwa

KAMPUNI ya Said Salim Bakhresa (SSB) inachunguzwa na vyombo vya dola kwa tuhuma za kushiriki kukwepa kodi na hivyo kuikosesha serikali mabilioni ya fedha kutokana na makontena yaliyohifadhiwa kwenye bandari yake ya nchi kavu (ICD) ‘kupotea’ bila kulipiwa kodi. Tayari Mamlaka ya Mapato (TRA) imepiga marufuku SSB kuingiza makontena katika bandari hiyo kavu ambako ndiko kunadaiwa kufanyika kwa vitendo hivyo vya ukwepaji wa kodi kutokana na baadhi ya makontena kupotea katika mazingira ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Hollande achunguzwa na NSA ?

Mtandao wa Wikileaks unadai kuwa chombo cha upelelezi cha Marekani NSA kimemchunguza rais Francois Hollande,

 

11 years ago

BBCSwahili

Mwanamke mbaguzi achunguzwa Australia

Polisi nchini Australia wanamchunguza mwanamke anayedaiwa kuwatusi abiria wenzake matusi ya kibaguzi mjini Sydney.

 

10 years ago

BBCSwahili

Rais wa Fifa Sepp Blatter achunguzwa

Rais Fifa Sepp Blatter amehojiwa na afisi yake kupekuliwa na viongozi wa mashtaka nchini Uswizi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mchezaji achunguzwa kwa kuchokoza mbwa

Mchezaji mmoja wa Oakland Raiders anachunguzwa na maafisa wa polisi kwa ‘kubweka’ na kujipiga kifua mbele ya mbwa wa polisi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Msaidizi wa Lowassa achunguzwa uraia wake

Maafisa wa polisi nchini Tanzania wamesema kuwa wanamzuia msaidizi wa aliyekuwa waziri mkuu wa taifa hilo Edward Lowassa ili kuchunguzwa kuhusiana na uraia wake.

 

11 years ago

BBCSwahili

Achunguzwa kwa kupewa mke kama zawadi

Uchunguzi umeanzishwa nchini Afrika Kusini kuhusu madai kuwa mkuu wa shirika la habari la SABC alikabidhiwa msichana kama zawadi.

 

9 years ago

BBCSwahili

Blatter achunguzwa na FBI kuhusu hongo ya $100m

Rais wa FIFA Sepp Blatter aliyesimamsishwa kwa muda anachunguzwa na shirika la ujajusi la Marekani FBI kuhusiana na rushwa ya $100m, uchunguzi wa BBC umebaini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani