Msaidizi wa Lowassa achunguzwa uraia wake
Maafisa wa polisi nchini Tanzania wamesema kuwa wanamzuia msaidizi wa aliyekuwa waziri mkuu wa taifa hilo Edward Lowassa ili kuchunguzwa kuhusiana na uraia wake.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo01 Feb
Mhifadhi Moyowasi na msaidizi wake wauawa
MHIFADHI wa Pori la Akiba la Moyowosi Kigosi lililopo Wilaya ya Bukombe mkoani Geita, George Kimaro na Msaidizi wake Antony Andrew, wameuawa na wananchi kwa kupigwa mawe.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-P7TOBrfavVk/XnW8iUkVLbI/AAAAAAAC1YQ/cTX4_dI2SgwTklXHocuKxG7nv63odL3GACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
BOSI TAKUKURU NA MSAIDIZI WAKE WALIVYO DAKWA KATIKA MTEGO WA RUSHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-P7TOBrfavVk/XnW8iUkVLbI/AAAAAAAC1YQ/cTX4_dI2SgwTklXHocuKxG7nv63odL3GACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
(i)Christopher Mariba – Aliyekuwa Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Tanga na
(ii) Hilton Njau – Afisa Uchunguzi Mkuu kutoka ofisi ya TAKUKURU mkoa wa Tanga, kuhusishwa na tuhuma za kuomba na kupokea rushwa kutoka kwa mmoja wa...
10 years ago
Michuzi20 Apr
Askofu Dk Alex Malasusa amuingiza kazini Msaidizi wake Mch. Chediel Lwiza
![1a](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/1a.jpg)
![2a](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/2a.jpg)
![4a](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/04/4a.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tN-A-UXrq6w/U-ti-EuAW8I/AAAAAAAF_Nk/rhO-hNEW1Vk/s72-c/download.jpg)
kesi ya bosi wa bandari na msaidizi wake: upelelezi wakamilika, maelezo ya awali kusikilizwa septemba 11, 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-tN-A-UXrq6w/U-ti-EuAW8I/AAAAAAAF_Nk/rhO-hNEW1Vk/s1600/download.jpg)
Na Sultani Kipingo, MahakamaniUPANDE wa Jamhuri katika kesi inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa Mlamkala ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Ephraimu Mgawe na msaidizi wake, umedai kwamba upelelezi umekamilika dhidi ya tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka kwa kusaini mkataba wa kuipa kazi Kampuni ya Ujenzi ya China Communications Ltd bila kutangaza zabuni.Madai hayo yalitolewa leo na upande wa Jamhuri katika kesi hiyo mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Mfawidhi, Isaya Arufani kwamba...
9 years ago
Habarileo30 Nov
Bakhresa achunguzwa
KAMPUNI ya Said Salim Bakhresa (SSB) inachunguzwa na vyombo vya dola kwa tuhuma za kushiriki kukwepa kodi na hivyo kuikosesha serikali mabilioni ya fedha kutokana na makontena yaliyohifadhiwa kwenye bandari yake ya nchi kavu (ICD) ‘kupotea’ bila kulipiwa kodi. Tayari Mamlaka ya Mapato (TRA) imepiga marufuku SSB kuingiza makontena katika bandari hiyo kavu ambako ndiko kunadaiwa kufanyika kwa vitendo hivyo vya ukwepaji wa kodi kutokana na baadhi ya makontena kupotea katika mazingira ya...
10 years ago
BBCSwahili24 Jun
Hollande achunguzwa na NSA ?
11 years ago
BBCSwahili22 May
Moyes achunguzwa na polisi
11 years ago
BBCSwahili04 Jul
Mwanamke mbaguzi achunguzwa Australia
9 years ago
BBCSwahili11 Nov
Mchezaji achunguzwa kwa kuchokoza mbwa