BOSI TAKUKURU NA MSAIDIZI WAKE WALIVYO DAKWA KATIKA MTEGO WA RUSHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-P7TOBrfavVk/XnW8iUkVLbI/AAAAAAAC1YQ/cTX4_dI2SgwTklXHocuKxG7nv63odL3GACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa – TAKUKURU inapenda kuufahamisha umma kwamba, watumishi wake wawili akiwemo Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Tanga, wamesimamishwa kazi kuanzia Machi 20, 2020 ili kupisha uchunguzi dhidi yao. Hatua hii imefikiwa leo baada ya watumishi hao:
(i)Christopher Mariba – Aliyekuwa Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Tanga na
(ii) Hilton Njau – Afisa Uchunguzi Mkuu kutoka ofisi ya TAKUKURU mkoa wa Tanga, kuhusishwa na tuhuma za kuomba na kupokea rushwa kutoka kwa mmoja wa...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tN-A-UXrq6w/U-ti-EuAW8I/AAAAAAAF_Nk/rhO-hNEW1Vk/s72-c/download.jpg)
kesi ya bosi wa bandari na msaidizi wake: upelelezi wakamilika, maelezo ya awali kusikilizwa septemba 11, 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-tN-A-UXrq6w/U-ti-EuAW8I/AAAAAAAF_Nk/rhO-hNEW1Vk/s1600/download.jpg)
Na Sultani Kipingo, MahakamaniUPANDE wa Jamhuri katika kesi inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa Mlamkala ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Ephraimu Mgawe na msaidizi wake, umedai kwamba upelelezi umekamilika dhidi ya tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka kwa kusaini mkataba wa kuipa kazi Kampuni ya Ujenzi ya China Communications Ltd bila kutangaza zabuni.Madai hayo yalitolewa leo na upande wa Jamhuri katika kesi hiyo mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Mfawidhi, Isaya Arufani kwamba...
10 years ago
Habarileo19 Jul
Takukuru yaonya rushwa katika uchaguzi
WAKATI vyama vya siasa hapa nchini vikiendelea na mchakato wa kutafuta wanachama watakaowasimamisha kugombea nafasi mbalimbali za uongozi, jamii imeaswa kuepuka kuchagua watu kwa ushawishi wa rushwa.
10 years ago
Mwananchi23 Apr
Takukuru: CCM ikitaka tutaiondolea rushwa
10 years ago
Mwananchi11 Feb
Dk Hoseah akiri Takukuru ‘kunuka’ rushwa
10 years ago
Mwananchi29 Jul
Mwigulu ahojiwa na Takukuru kwa rushwa
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/ZleUors0eTY/default.jpg)
10 years ago
Mwananchi17 Mar
Takukuru yatangaza majina 287 ya wala rushwa
10 years ago
Mwananchi23 Apr
CCM isaidie Takukuru kukamata wala rushwa
9 years ago
Mwananchi06 Oct
Takukuru kulipua watoa rushwa baada ya uchaguzi