Takukuru: CCM ikitaka tutaiondolea rushwa
Dar es Salaam. Wakati viongozi wa CCM wanaendelea kupiga kelele bila ya kuchukua hatua dhidi ya vitendo vya rushwa wanavyodai vinafanywa na makada wanaotaka uongozi wa nchi, Takukuru iko tayari kukisaidia chama hicho kikongwe kupambana na uhalifu huo kama kitakuwa tayari kutoa ushirikiano.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Apr
CCM isaidie Takukuru kukamata wala rushwa
9 years ago
Raia Mwema23 Dec
Ikitaka kukubalika CCM izaliwe upya
WIKI iliyopita nilisoma makala ya Jenerali Ulimwengu katika gazeti hili na nikaona ni vyema nianz
Mwandishi Wetu
10 years ago
Mwananchi11 Feb
Dk Hoseah akiri Takukuru ‘kunuka’ rushwa
10 years ago
Mwananchi29 Jul
Mwigulu ahojiwa na Takukuru kwa rushwa
10 years ago
Habarileo19 Jul
Takukuru yaonya rushwa katika uchaguzi
WAKATI vyama vya siasa hapa nchini vikiendelea na mchakato wa kutafuta wanachama watakaowasimamisha kugombea nafasi mbalimbali za uongozi, jamii imeaswa kuepuka kuchagua watu kwa ushawishi wa rushwa.
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/ZleUors0eTY/default.jpg)
9 years ago
Mwananchi06 Oct
Takukuru kulipua watoa rushwa baada ya uchaguzi
10 years ago
Mwananchi17 Mar
Takukuru yatangaza majina 287 ya wala rushwa
9 years ago
StarTV05 Jan
Mapambano Dhidi Ya Rushwa Takukuru yakabiliwa na changamoto ya mashahidi
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU Mkoani Mtwara imesema bado changamoto ya upatikanaji wa mashahidi katika kesi mbalimbali imeendelea kuwepo kutokana na mashahidi wengi kushindwa kujitokeza na wengine kubadilika kutokana na kuogopa vitisho kutoka kwa watuhumiwa.
Kutokana na changamoto hiyo kesi nyingi zinalazimika kufutwa na nyingine kubadilika.
Mkuu wa Taasisi kuzuia na kupambana na Rushwa Takukuru wa Mkoa wa Mtwara Edson Makala anasema Baadhi ya kesi zilalazimika...