Takukuru yaonya rushwa katika uchaguzi
WAKATI vyama vya siasa hapa nchini vikiendelea na mchakato wa kutafuta wanachama watakaowasimamisha kugombea nafasi mbalimbali za uongozi, jamii imeaswa kuepuka kuchagua watu kwa ushawishi wa rushwa.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi06 Oct
Takukuru kulipua watoa rushwa baada ya uchaguzi
Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru) imesema itashughulikia kesi za viongozi waliojihusisha na rushwa wakati wa kura za maoni ndani vyama baada ya kukamilika kwa Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 25.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-EBJ1yp29dWQ/XteUpv3dVNI/AAAAAAALsdQ/s0qr_BZpbWYlJOhC_e6H3pxyqhWmO-jFgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-03%2Bat%2B10.24.34%2BAM.jpeg)
TAKUKURU DODOMA YAWAONYA WATAKAOTOA NA KUPOKEA RUSHWA UCHAGUZI CHAMA CHA WALIMU
![](https://1.bp.blogspot.com/-EBJ1yp29dWQ/XteUpv3dVNI/AAAAAAALsdQ/s0qr_BZpbWYlJOhC_e6H3pxyqhWmO-jFgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-03%2Bat%2B10.24.34%2BAM.jpeg)
Charles James, Michuzi TVZIKIWA zimebaki siku mbili kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa Viongozi wa kitaifa wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT) Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Mkoani Dodoma imetoa onyo kwa wale wote watakaotoa na kupokea Rushwa.
Uchaguzi huo wa CWT utafanyika Juni 5 jijini Dodoma ambapo utachagua Rais, Makamu wa Rais,...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-P7TOBrfavVk/XnW8iUkVLbI/AAAAAAAC1YQ/cTX4_dI2SgwTklXHocuKxG7nv63odL3GACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
BOSI TAKUKURU NA MSAIDIZI WAKE WALIVYO DAKWA KATIKA MTEGO WA RUSHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-P7TOBrfavVk/XnW8iUkVLbI/AAAAAAAC1YQ/cTX4_dI2SgwTklXHocuKxG7nv63odL3GACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
(i)Christopher Mariba – Aliyekuwa Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Tanga na
(ii) Hilton Njau – Afisa Uchunguzi Mkuu kutoka ofisi ya TAKUKURU mkoa wa Tanga, kuhusishwa na tuhuma za kuomba na kupokea rushwa kutoka kwa mmoja wa...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-AR-hRWEL2bQ/VfQN02J9daI/AAAAAAAH4No/U4Nv6s1YiaE/s72-c/New%2BPicture.png)
BASATA YAONYA LUGHA CHAFU, MAADILI HUSUSAN KATIKA KIPINDI HIKI CHA KUELEKEA UCHAGUZI MKUU
![](http://4.bp.blogspot.com/-AR-hRWEL2bQ/VfQN02J9daI/AAAAAAAH4No/U4Nv6s1YiaE/s320/New%2BPicture.png)
Lugha hiyo chafu ambayo inajidhihirisha kwa matusi ya wazi, maneno ya uchochezi, kashfa, kejeli, dharau na udhalilishaji wa kada mbalimbali za kijamii wakiwemo viongozi wa kitaifa inaonesha wazi kulenga katika kuigawa jamii na kufifisha...
10 years ago
Mwananchi23 Apr
Takukuru: CCM ikitaka tutaiondolea rushwa
Dar es Salaam. Wakati viongozi wa CCM wanaendelea kupiga kelele bila ya kuchukua hatua dhidi ya vitendo vya rushwa wanavyodai vinafanywa na makada wanaotaka uongozi wa nchi, Takukuru iko tayari kukisaidia chama hicho kikongwe kupambana na uhalifu huo kama kitakuwa tayari kutoa ushirikiano.
10 years ago
Mwananchi11 Feb
Dk Hoseah akiri Takukuru ‘kunuka’ rushwa
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) imekiri kuwapo kwa baadhi ya watumishi wake wanaojihusisha na vitendo vya kupokea rushwa, hivyo kuchafua sifa ya taasisi hiyo.
10 years ago
Mwananchi29 Jul
Mwigulu ahojiwa na Takukuru kwa rushwa
>Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani Singida, inamhoji Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba kwa tuhuma za kukiuka Sheria ya Gharama za Uchaguzi na Sheria ya Kupambana na Rushwa namba 11 ya mwaka 2007.
10 years ago
Mwananchi23 Apr
CCM isaidie Takukuru kukamata wala rushwa
Makamu Mwenyekiti wa CCM, Philip Mangula yuko katika ziara ya kichama mkoani Dar es Salaam. Moja ya ajenda ya ziara hiyo ni kukemea rushwa ndani ya chama hicho tawala. Kwa msisitizo alitamka kuwa yeyote anayetafuta uongozi kwa kutumia fedha, kununua wanachama ili apigiwe kura au apitishwe, akiona jina lake halikutoka ajue limemezwa na kanuni na sheria za uchaguzi.
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/ZleUors0eTY/default.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania