Askofu Dk Alex Malasusa amuingiza kazini Msaidizi wake Mch. Chediel Lwiza
Askofu Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk Alex Malasusa akimuingiza kazini Msaidizi wake Mch. Chediel Lwiza wakati wa Ibada iliyofanyika katika Kanisa Kuu la Azania Front jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na wachungaji pamoja na waumini mbalimbali wa KKKT.
Mkuu wa KKKT Askofu Dk Alex Malasusa akimuingiza kazini Katibu Mkuu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani Godfrey Nkini wakati wa Ibada iliyofanyika Kanisa Kuu la Azania Front jijini Dar es Salaam
Mkuu wa KKKT Askofu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-b35-XWzzg_8/XrwhQUTWGxI/AAAAAAALqIA/F1ZFvW5wQQ4oi_7RnYnjKd-4o72wIjVXACLcBGAsYHQ/s72-c/21e84bf2-92a7-45f9-b914-f5ac3cb2fc71.jpg)
ASKOFU MSAIDIZI EUSEBIUS NZIGILWA ATEULIWA KUWA ASKOFU MPYA JIMBO KATOLIKI LA MPANDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-b35-XWzzg_8/XrwhQUTWGxI/AAAAAAALqIA/F1ZFvW5wQQ4oi_7RnYnjKd-4o72wIjVXACLcBGAsYHQ/s640/21e84bf2-92a7-45f9-b914-f5ac3cb2fc71.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-ZQYF7RiPQ84/XrwhQahfQzI/AAAAAAALqH8/4vCHwN9pMXANFp7Ro_-PNNdHQKn6aGkPACLcBGAsYHQ/s1600/862d3a58-f452-4b4f-b121-9e9aba445835.jpg)
10 years ago
Mtanzania21 Aug
Waumini KKKT wamkataa Msaidizi wa Askofu
![kanisa](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/kkkt.jpg)
Kanisa
Na Upendo Mosha, Moshi
WAJUMBE wa Mkutano Mkuu wa 33 wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Dayosisi ya Kaskazini, wamemkataa Askofu Msaidizi wa jimbo hilo aliyekuwa amependekezwa kugombea nafasi hiyo, Mchungaji Elinganya Saria.
Tukio hilo lilitokea mjini hapa jana baada ya jina la mchungaji huyo kupendekezwa na Halmashauri Kuu ya Dayosisi kwa ajili ya kupigiwa kura.
Wakati wa tukio hilo, jina la Mchungaji Saria ndilo lilikuwa pekee lililokuwa limependekezwa, lakini...
10 years ago
Habarileo01 Feb
Mhifadhi Moyowasi na msaidizi wake wauawa
MHIFADHI wa Pori la Akiba la Moyowosi Kigosi lililopo Wilaya ya Bukombe mkoani Geita, George Kimaro na Msaidizi wake Antony Andrew, wameuawa na wananchi kwa kupigwa mawe.
9 years ago
BBCSwahili12 Nov
Msaidizi wa Lowassa achunguzwa uraia wake
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-P7TOBrfavVk/XnW8iUkVLbI/AAAAAAAC1YQ/cTX4_dI2SgwTklXHocuKxG7nv63odL3GACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
BOSI TAKUKURU NA MSAIDIZI WAKE WALIVYO DAKWA KATIKA MTEGO WA RUSHWA
![](https://1.bp.blogspot.com/-P7TOBrfavVk/XnW8iUkVLbI/AAAAAAAC1YQ/cTX4_dI2SgwTklXHocuKxG7nv63odL3GACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
(i)Christopher Mariba – Aliyekuwa Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa Tanga na
(ii) Hilton Njau – Afisa Uchunguzi Mkuu kutoka ofisi ya TAKUKURU mkoa wa Tanga, kuhusishwa na tuhuma za kuomba na kupokea rushwa kutoka kwa mmoja wa...
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
Breaking News: Mke wa marehemu Mch. Mtikila aibuka na kumuomba Rais Kikwete aunde tume ya kuchunguza kifo cha mme wake
Katibu Mkuu wa chama cha Democratic Party (DP) na Msemaji wa familia ambaye ni Mke wa marehemu Mchungaji Christopher Mtikila (katikati) akizungumza na waandishi wa Habari mepema muda katika ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo jijini Dar es Salaam. ambapo ameeleza mambo mbalimbali ikiwemo suala la kutoridhishwa na ripoti ya jeshi la Polisi ambapo amemuomba Rais Dk. Jakaya Kikwete aunde tume huru ya kuchunguza kifo hicho. (Picha na Andrew Chale, Modewjiblog).
Na Andrew Chale,Modewjiblog
[DAR ES...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tN-A-UXrq6w/U-ti-EuAW8I/AAAAAAAF_Nk/rhO-hNEW1Vk/s72-c/download.jpg)
kesi ya bosi wa bandari na msaidizi wake: upelelezi wakamilika, maelezo ya awali kusikilizwa septemba 11, 2014
![](http://2.bp.blogspot.com/-tN-A-UXrq6w/U-ti-EuAW8I/AAAAAAAF_Nk/rhO-hNEW1Vk/s1600/download.jpg)
Na Sultani Kipingo, MahakamaniUPANDE wa Jamhuri katika kesi inayomkabili aliyekuwa Mkurugenzi wa Mlamkala ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA), Ephraimu Mgawe na msaidizi wake, umedai kwamba upelelezi umekamilika dhidi ya tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka kwa kusaini mkataba wa kuipa kazi Kampuni ya Ujenzi ya China Communications Ltd bila kutangaza zabuni.Madai hayo yalitolewa leo na upande wa Jamhuri katika kesi hiyo mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Mfawidhi, Isaya Arufani kwamba...
9 years ago
Global Publishers18 Dec
Wema amuingiza mkenge Diamond
Staa wa Bongo, Wema Sepetu.
MAPYA tena! Baada ya hivi karibuni staa wa Bongo, Wema Sepetu kuuvaa msala wa kudaiwa kutumia maji na umeme kwa wizi, madai mazito yameibuka kuwa, wizi huo ulikuwa ukifanyika tangu alipokuwa na nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’, Ijumaa ‘Kubwa’ linatambaa nao.
Nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’.
Kwa mujibu wa chanzo makini ambacho kipo karibu na Diamond, baada ya Wema kubanwa na wafanyakazi wa Tanesco na Dawasa akidaiwa kutumia huduma hizo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y7WxhNqXbMa7anUzzQMYQIGQNhIgr56H1Nr-eYXQ9P58*qy4VcfzoH77rLtZwpr9n0BRaZNAw5fTx*Nfd7cYjQSqg8dknmUi/askofu.jpg)
ASKOFU GEOR DAVIE AVUNJA NDOA YA SEKRETARI WAKE