Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kanda ya Jay-Z akichapwa yazua hasira

Wakuu wa Hoteli ambako kisa hicho kilifanyika mjini New York,wanachunguza ambavyo kanda hiyo inayoonyesha Jay-Z akichapwa na dadake Beyonce ilivyosambazwa

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Kanda ya watoto kuteswa yazua kero Misri

Kanda inayoonyesha msimamizi mkuu wa makao ya kuwatunza watoto mayatima akiwachapa watoto hao walio chini ya ulinzi wake imeleta kero kwa wengi

 

5 years ago

BBCSwahili

Kanda ya Tyson akifanya mazoezi yazua mshawasha duniani

Zaidi ya miaka 33 baadaye, bondia huyo wa zamani alietia fora bado anaweza kujivunia kuwa mtu hatari zaidi duniani.

 

9 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI WA POLEPOLE :Hasira hasara, kupiga kura kwa hasira ni ujuha na si hekima, tulitazame taifa

Bado nimepigwa na butwaa kwa namna ambavyo baadhi ya Watanzania wenzangu wanakosa ustahimilivu katika kipindi tunapoelekea Uchaguzi Mkuu. Nimegundua kwamba unapotoa hoja ambayo wengine hawaiungi mkono basi kumekuwa na ugumu katika kustahimiliana.

 

11 years ago

BBCSwahili

Aliyefichua kanda ya Jay-Z akishambuliwa afutwa kazi

Mfanyakazi aliyefichua kanda inayoonyesha mwanamuziki Jay Z akishambuliwa na shemeji yake , amefutwa kazi.

 

10 years ago

Mwananchi

Ielewe Hasira chimbuko lake (2)

Katika makala ya wiki iliyopita tuliangalia hasira ni nini na chimbuko lake, leo tunaendelea na sehemu ya pili ya mada hii ambapo tutaangalia nini mzizi na ukweli kuhusu hasira.

 

10 years ago

Mwananchi

JK: Maaskofu walitoa matamko ya hasira

Wakati Rais Jakaya Kikwete akisema msimamo wa Jukwaa la Wakristo Tanzania (TCF) wa kuwataka waumini wao kuipigia kura ya hapana Katiba Inayopendekezwa ni wa hasira pia usiokuwa na tija kwa maendeleo ya Taifa, baadhi ya maaskofu wameshikilia msimamo huo.

 

10 years ago

Mtanzania

Tibaijuka atibua hasira za wananchi

TibaijukaNA EVANS MAGEGE

KAULI iliyotolewa na aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, mbele ya Baraza la Maadili lililoketi kumhoji juu ya mgawo wa fedha za Escrow, kuwa alitumia Sh milioni 10 kwa ajili ya kununulia mboga, imeibua hasira kutoka kwa wananchi, wasomi na viongozi wa kada mbalimbali.
Wamesema kauli hiyo ni mwendelezo wa kejeli ambazo zimewahi kutolewa kwa nyakati tofauti na wanasiasa pamoja na baadhi ya viongozi nchini.
Kauli zinazolinganishwa na...

 

10 years ago

Habarileo

Ajiua kwa moto hasira za mapenzi

MKAZI mmoja wa kijiji cha Malolwa wilaya ya Sumbawanga mkoani Rukwa, Ndikile Sunguli (38) amejichoma ndani ya nyumba hadi kufa baada ya kumjeruhi mke wake katika ugomvi unaoaminika ni wa mapenzi.

 

11 years ago

Habarileo

Chadema yahamishia hasira za Zitto CUF

Mwenyekiti wa taifa wa Chadema, Freeman MboweMGOGORO unaoendelea Chadema umefikia hatua ya kuanza kutafuta mchawi ndani na nje ya chama hicho, ambapo sasa kimeishika CUF na Mbunge wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono kwa madai ya kumwunga mkono aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu wa Chama hicho, Kabwe Zitto.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani