Tibaijuka atibua hasira za wananchi
NA EVANS MAGEGE
KAULI iliyotolewa na aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, mbele ya Baraza la Maadili lililoketi kumhoji juu ya mgawo wa fedha za Escrow, kuwa alitumia Sh milioni 10 kwa ajili ya kununulia mboga, imeibua hasira kutoka kwa wananchi, wasomi na viongozi wa kada mbalimbali.
Wamesema kauli hiyo ni mwendelezo wa kejeli ambazo zimewahi kutolewa kwa nyakati tofauti na wanasiasa pamoja na baadhi ya viongozi nchini.
Kauli zinazolinganishwa na...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania24 Nov
Watu 829 wauawa na wananchi wenye hasira
ASIFIWE GEORGE NA KOKU DAVID, DAR ES SALAAM
WATU 829 wameuawa katika kipindi cha Januari hadi Oktoba mwaka huu kutokana na wananchi kujichukulia sheria mkononi.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Msemaji wa Jeshi la Polisi, Advera Bulimba, alisema matukio ya watu kujichukulia sheria mkononi yameongezeka, ikilinganishwa na mwaka jana katika kipindi kama hicho ambapo watu 785 waliuawa kwa matukio kama hayo.
Alisema takwimu zinaonyesha kuwa tabia hiyo inaendelea kujengeka na kuonekana kama ni...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nBD8FQWarq-Apc*2YJScwagIHbfxu0rsvqzZK0ifbIDrcaFImfe3hYbybb6grxiZrtLTeIKlwTzlegBuZxyPgvncZ64WTCBS/kkk.gif?width=650)
POLISI AUAWA NA WANANCHI WENYE HASIRA MOROGORO
10 years ago
Dewji Blog27 Sep
Wananchi wenye hasira wateketeza kaya nne Chato
Nyumba ya mfanyabiashara Shabani Ramadhani ikiteketea kwa moto.
Na Alphonce Kabilondo (TRJA)
WANANCHI wenye hasira kali katika kijiji cha Beda Kinsabe kata ya Iparamasa Wilayani Chato Mkoani Geita wamebomoa nyumba za kaya nne na kuzichoma moto zikiwemo za viongozi wa serikali ya kijiji hicho na kuteketeza mali mbalmbali zikiwemo mashine za kusaga mawe ya dhahabu baada ya walinzi wa kampuni ya JOMA SECURITY LTD tawi la Katoro ...
9 years ago
Mwananchi04 Oct
UCHAMBUZI WA POLEPOLE :Hasira hasara, kupiga kura kwa hasira ni ujuha na si hekima, tulitazame taifa
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ooAnbUqSltc/VCw_W6ZPyPI/AAAAAAAGnIM/MR2M1b9g8yU/s72-c/ddm.jpg)
MTU MMOJA AUWAWA NA WANANCHI WENYE HASIRA KALI MKOANI DODOMA KWA TUHUMA ZA UJAMBAZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ooAnbUqSltc/VCw_W6ZPyPI/AAAAAAAGnIM/MR2M1b9g8yU/s1600/ddm.jpg)
MTU mmoja anayedaiwa kuwa ni Jambazi ameuawa na wananchi baada ya kumpora mwananchi mmoja kiasi cha Sh. 2, 100,000= wa kijiji cha Igoji One Kata ya Mima katika Wilaya ya Mpwapwa Mkoani Dodoma.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna msaidizi mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP ameeleza kuwa tukio hilo la kumvamia mwananchi huyo huko nyumbani kwake Kijiji cha Igoji one aliyejulikana kwa jina la YARED S/O MAPATANO MSALILA limetokea mnamo...
10 years ago
Vijimambo24 Dec
TIBAIJUKA: KWAKUWA RAIS AMETENGUA UTEUZI WANGU, SASA NIPO JIMBONI NATATUA KERO ZA WANANCHI
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/thumb/8/89/Anna_Tibaijuka_-_World_Economic_Forum_on_Africa_2010.jpg/220px-Anna_Tibaijuka_-_World_Economic_Forum_on_Africa_2010.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima11 Jun
Mkosamali atibua Bunge
MBUNGE wa Mhambwe, Felix Mkosamali (NCCR-Mageuzi), amezua mjadala mkali bungeni kwa kuishambulia Serikali ya CCM akidai kuwa mawaziri wake wamekuwa wakitoa majibu mepesi yasiyo na mashiko. Mkosamali alitoa kauli hiyo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ja6gu*i0lR6iG9-Zi4U-jApsGatM-IO5ITf*kA-IhWVWc-6aHvz3Gka1t0bQWPNx*hgbCak5rnoLGNePp0CXUyYor4S116Vi/1h.jpg?width=650)
Lowassa atibua mazoezi Simba SC
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/BY6VWIVrp23fp0mC8Di3mPRWlOnlnv6UJ9Wd6DecEXHczXUmYKWGplyv3SEPnJ8syYs3lnVl*Zboa*mJA6fGNK8ugXbzJ9am/wolperfull.jpg?width=650)
WOLPER ATIBUA UCHUMBA WA NAY