TIBAIJUKA: KWAKUWA RAIS AMETENGUA UTEUZI WANGU, SASA NIPO JIMBONI NATATUA KERO ZA WANANCHI
Wananchi mkoani kagera wamepinga uamuzi wa Rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania Dk Jakaya Mrisho Kikwete kwa kumuondoa madarakani waziri wa ardhi nyumba na makazi na kuwaweka kiporo viongozi wengine walioshiri kuhujumu pesa za akaunti ya Tegeta Escrow.Wakiongea na ITV wananchi wa mkoa huo wamesema hawajajua nini hatima ya Rais wa jamuhuri ya muungano wa tanzania Dk. kikwete kwa kuwaweka Kiporo mawaziri wengine waliohusika katika sakata hilo na kumuuondoa waziri Tibaijuka napia wamebaki...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies25 Sep
Sasa nipo teyari kuolewa- Jackline Wolper, Naamini kabisa huu sasa ni muda muafaka kwangu
Star wa filamu nchini Jackline Wolper amesema kuwa kwasasa yupo tayari kuolewa baada ya kupitia mambo mengi zikiwemo starehe za ujana ambazo wengi wanaokuwa kwenye ndoa huzikimbilia na kuvunja ndoa zao kwa kuwa hawakuzifanya kipindi wapo nje ya ndoa.
"Naamini kabisa huu sasa ni muda muafaka kwangu, niko tayari kabisa kuwa mke nimepitia vitu vingi ambavyo mara nyingi wengi wao huwa wanakimbilia kwenye ndoa wakiwa bado hawajavimaliza halafu mwisho wa siku wanazishindwa, mimi nishamaliza...
11 years ago
Tanzania Daima02 Apr
Rais wangu Kikwete, Bunge la Katiba limewatumbukia nyongo wananchi
RAIS wangu, katika kutaka kuboresha ustawi wao wa hapa duniani wanadamu hujiundia mambo yao kwa nia njema kabisa! Wakati mwingine hayo hayo waliyojiundia wakiwa na nia njema, hugeuka kuwa majanga...
10 years ago
Mtanzania11 Mar
Flora Mbasha: Nipo tayari kurudiana na mume wangu
Veronica Romwald na Jacqueline Swai (RCT), Dar es Salaam
MUIMBAJI wa muziki wa Injili, Flora Mbasha amesema yupo tayari kurudiana na mume wake Emmanuel Mbasha, ikiwa atakwenda kumuangukia miguuni na kumuomba msamaha.
Flora alisema hayo jana alipozungumza na waandishi wa habari baada ya kumaliza kutoa ushahidi wake juu ya kesi ya ubakaji inayomkabili Mbasha ambayo inasikilizwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala.
“Mbasha nimemsamehe siku nyingi na nipo tayari kuishi naye iwapo atakuja...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-wvkDXzhTopc/VQVlaHUi3OI/AAAAAAAAqGw/AYWbKcyI0wc/s72-c/flora%2Bna%2Bmumewe_full%2B(1).jpg)
Florah mbasha: Nipo Tayari Kurudiana na Mume Wangu.
![](http://3.bp.blogspot.com/-wvkDXzhTopc/VQVlaHUi3OI/AAAAAAAAqGw/AYWbKcyI0wc/s640/flora%2Bna%2Bmumewe_full%2B(1).jpg)
"Mbasha nimeshamsamehe siku nyingi na nipo tayari kuishi naye iwapo atakuja kuniangukia miguuni na kuniomba msamaha..lakini hili la...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-hgVQFQ0fSl8/VVd8CjLjuuI/AAAAAAABOkg/6sE6f9_4_rs/s72-c/anna-tibaijuka.jpg)
PROF. TIBAIJUKA ACHANGIA MIL 60 KUKUZA MITAJI YA WANAWAKE JIMBONI MWAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-hgVQFQ0fSl8/VVd8CjLjuuI/AAAAAAABOkg/6sE6f9_4_rs/s640/anna-tibaijuka.jpg)
Profesa Tibaijuka amesema kuwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-Q_TN5ijYKcM/VLPu0tCsYHI/AAAAAAADLy0/oA77cFNV8dc/s72-c/aaaaa.jpg)
PROFESA ANNA TIBAIJUKA AWATEMBELEA WAPIGA KURA WENYE KERO YA MAKAZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-Q_TN5ijYKcM/VLPu0tCsYHI/AAAAAAADLy0/oA77cFNV8dc/s640/aaaaa.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_53fZ85yHlc/VLPuz3bIn9I/AAAAAAADLys/F9ly9NRJ_4w/s640/aaaa.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4sx_K5iTzTw/Xm9DUVMhYeI/AAAAAAAC8gw/2AouE5bmZVgwG87BydYxr1lGRT1jxavMwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS DKT. MAGUFULI AKAGUA UJENZI WA DARAJA LA JUU UBUNGO NA BARABARA, AONGEA NA KUSIKIL|IZA KERO ZA WANANCHI MBEZI MWISHO, MLOGANZILA, MLANDIZI,CHALINZE
![](https://1.bp.blogspot.com/-4sx_K5iTzTw/Xm9DUVMhYeI/AAAAAAAC8gw/2AouE5bmZVgwG87BydYxr1lGRT1jxavMwCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-CPPTFg0190Q/Xm9DUa7ZR7I/AAAAAAAC8g0/qD2088gCYhw20uVxkxjYtyBMCF-HjqHwgCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-MSps4ZB6XlM/Xm9DTtifBsI/AAAAAAAC8gs/B8MCzfAO41gxX-Z62qFvSMeSYP4BMU-WwCLcBGAsYHQ/s640/3...jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-wEa9UhIk1_c/Xm9DVBx4lfI/AAAAAAAC8g4/hUwjLl8p0pslqFUZMtljMqxYf3paf4pFQCLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
10 years ago
Vijimambo13 Aug
DIAMOND SASA NIPO TAYARI KWA KIFO
![diamond mtoto](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/08/diamond-mtoto.png)
SIKU chache baada ya staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond’ kupata binti na kumwita Latifah ‘Princess Tiffah’ na kuanza maisha mapya ya familia na mzazi mwenzake, Zarina Hassan ‘Zari’, nyota huyo anadaiwa kutoa ya moyoni kwa kusema kuwa sasa yupo tayari kwa kifo kwa vile ndoto yake kubwa ya kupata mtoto imekamilika na ana chata duniani.
KWANZA ANAMSHUKURU MUNGU
Kwa mujibu wa chanzo chetu makini,...
11 years ago
GPLKINGUNGE: WANAOPONDA UTEUZI WANGU BUNGE LA KATIBA WAMEUMBUKA