Wananchi wenye hasira wateketeza kaya nne Chato
Nyumba ya mfanyabiashara Shabani Ramadhani ikiteketea kwa moto.
Na Alphonce Kabilondo (TRJA)
WANANCHI wenye hasira kali katika kijiji cha Beda Kinsabe kata ya Iparamasa Wilayani Chato Mkoani Geita wamebomoa nyumba za kaya nne na kuzichoma moto zikiwemo za viongozi wa serikali ya kijiji hicho na kuteketeza mali mbalmbali zikiwemo mashine za kusaga mawe ya dhahabu baada ya walinzi wa kampuni ya JOMA SECURITY LTD tawi la Katoro ...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nBD8FQWarq-Apc*2YJScwagIHbfxu0rsvqzZK0ifbIDrcaFImfe3hYbybb6grxiZrtLTeIKlwTzlegBuZxyPgvncZ64WTCBS/kkk.gif?width=650)
POLISI AUAWA NA WANANCHI WENYE HASIRA MOROGORO
9 years ago
Mtanzania24 Nov
Watu 829 wauawa na wananchi wenye hasira
ASIFIWE GEORGE NA KOKU DAVID, DAR ES SALAAM
WATU 829 wameuawa katika kipindi cha Januari hadi Oktoba mwaka huu kutokana na wananchi kujichukulia sheria mkononi.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Msemaji wa Jeshi la Polisi, Advera Bulimba, alisema matukio ya watu kujichukulia sheria mkononi yameongezeka, ikilinganishwa na mwaka jana katika kipindi kama hicho ambapo watu 785 waliuawa kwa matukio kama hayo.
Alisema takwimu zinaonyesha kuwa tabia hiyo inaendelea kujengeka na kuonekana kama ni...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ooAnbUqSltc/VCw_W6ZPyPI/AAAAAAAGnIM/MR2M1b9g8yU/s72-c/ddm.jpg)
MTU MMOJA AUWAWA NA WANANCHI WENYE HASIRA KALI MKOANI DODOMA KWA TUHUMA ZA UJAMBAZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ooAnbUqSltc/VCw_W6ZPyPI/AAAAAAAGnIM/MR2M1b9g8yU/s1600/ddm.jpg)
MTU mmoja anayedaiwa kuwa ni Jambazi ameuawa na wananchi baada ya kumpora mwananchi mmoja kiasi cha Sh. 2, 100,000= wa kijiji cha Igoji One Kata ya Mima katika Wilaya ya Mpwapwa Mkoani Dodoma.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna msaidizi mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP ameeleza kuwa tukio hilo la kumvamia mwananchi huyo huko nyumbani kwake Kijiji cha Igoji one aliyejulikana kwa jina la YARED S/O MAPATANO MSALILA limetokea mnamo...
9 years ago
MichuziChato Waufurahia Mpango wa TASAF wa Kunusuru Kaya Masikini
Baadhi ya wananchi wilayani Chato wameipongeza serikali kupitia mpango wa TASAF Awamu ya tatu wa kunusuru kaya masikini. Wakiongea kwa nyakati Tofauti wananchi hao kutoka kata ya Bwongera ambao ni wanufaika wa Mpango huo wamesema Mpango wa TASAF Awamu ya tatu ni mkombozi kwa wananchi masikini na wameahidi kutumia pesa hizo kwa manufaa ya familia na mahitaji muhimu ya huduma za afya na elimu kwa watoto wao.
“Tunaishukukuru serikali yetu kwa huu mpango mzuri ambao...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-p1tph8hfuNg/VAQJHykGlXI/AAAAAAAGZII/_labJDA7oSs/s72-c/Nasib%2BAbdul%2Baka%2BDiamond%2BPlatnumz.jpg)
POLISI UJERUMANI WAMUOKOA DIAMOND KUTOKA KWA WASHABIKI WENYE HASIRA
![](http://3.bp.blogspot.com/-p1tph8hfuNg/VAQJHykGlXI/AAAAAAAGZII/_labJDA7oSs/s1600/Nasib%2BAbdul%2Baka%2BDiamond%2BPlatnumz.jpg)
Washabiki hao waliokuwa wamelipa ticket euro 25 kwa kiingilio waliahidiwa kuwa show ingeanza saa 4.00 usiku,lakini walijikuta wakisubiri hadi majira ya saa 10 usiku au alfajiri ndipo mwanamuziki...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vD-hYj2mu0RcZVmbCZ*2UAoTWJDyUfvJkFVXzlx9y6hbb3xNsLZWfGAYkpAGYjU9o6u*Dsz69JPXrQ5b6E80qwLnxZLQPVn7/Diamond1.jpg?width=650)
POLISI UJERUMANI WAMUOKOA DIAMOND KUTOKA KWA MASHABIKI WENYE HASIRA
10 years ago
Mtanzania28 Feb
Tibaijuka atibua hasira za wananchi
NA EVANS MAGEGE
KAULI iliyotolewa na aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, mbele ya Baraza la Maadili lililoketi kumhoji juu ya mgawo wa fedha za Escrow, kuwa alitumia Sh milioni 10 kwa ajili ya kununulia mboga, imeibua hasira kutoka kwa wananchi, wasomi na viongozi wa kada mbalimbali.
Wamesema kauli hiyo ni mwendelezo wa kejeli ambazo zimewahi kutolewa kwa nyakati tofauti na wanasiasa pamoja na baadhi ya viongozi nchini.
Kauli zinazolinganishwa na...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-K3SkYxKIIQM/VNyqvYk6AnI/AAAAAAAAJlE/WaaIXC9J1Mc/s72-c/IMG-20150212-WA0001.jpg)
MWIZI AKAMATWA CHUO KIKUU MZUMBE ANUSURIKA KIFO NA WANAFUNZI WENYE HASIRA KAL
![](http://3.bp.blogspot.com/-K3SkYxKIIQM/VNyqvYk6AnI/AAAAAAAAJlE/WaaIXC9J1Mc/s640/IMG-20150212-WA0001.jpg)
9 years ago
Mwananchi04 Oct
UCHAMBUZI WA POLEPOLE :Hasira hasara, kupiga kura kwa hasira ni ujuha na si hekima, tulitazame taifa