POLISI UJERUMANI WAMUOKOA DIAMOND KUTOKA KWA WASHABIKI WENYE HASIRA
![](http://3.bp.blogspot.com/-p1tph8hfuNg/VAQJHykGlXI/AAAAAAAGZII/_labJDA7oSs/s72-c/Nasib%2BAbdul%2Baka%2BDiamond%2BPlatnumz.jpg)
Stuttgart,Ujerumani,Usiku wa Jumamosi ya Tarehe 30.Augost 2014, majira ya saa 10 alfajiriMwanamuziki nyota wa Bongo Flaver Nasib Abdul aka Diamond Platnumz alijikuta katika hali ya hatari hadi kuokolewa na Polisi mjini Stuttgart,Ujerumani,baada ya washabiki waliokuwa na hasira kuchoka kusubiri show.
Washabiki hao waliokuwa wamelipa ticket euro 25 kwa kiingilio waliahidiwa kuwa show ingeanza saa 4.00 usiku,lakini walijikuta wakisubiri hadi majira ya saa 10 usiku au alfajiri ndipo mwanamuziki...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vD-hYj2mu0RcZVmbCZ*2UAoTWJDyUfvJkFVXzlx9y6hbb3xNsLZWfGAYkpAGYjU9o6u*Dsz69JPXrQ5b6E80qwLnxZLQPVn7/Diamond1.jpg?width=650)
POLISI UJERUMANI WAMUOKOA DIAMOND KUTOKA KWA MASHABIKI WENYE HASIRA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/nBD8FQWarq-Apc*2YJScwagIHbfxu0rsvqzZK0ifbIDrcaFImfe3hYbybb6grxiZrtLTeIKlwTzlegBuZxyPgvncZ64WTCBS/kkk.gif?width=650)
POLISI AUAWA NA WANANCHI WENYE HASIRA MOROGORO
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-urF2im2wU5U/U8Wfgb2TwpI/AAAAAAAF2ls/StuWspg6NNQ/s72-c/unnamed+(9).jpg)
NGOMA AFRICA BAND AKA FFU-UGHAIBUNI JINO KWA JINO NA WASHABIKI WA TUBINGEN, UJERUMANI MWISHO MWA WIKI HII !
![](http://1.bp.blogspot.com/-urF2im2wU5U/U8Wfgb2TwpI/AAAAAAAF2ls/StuWspg6NNQ/s1600/unnamed+(9).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ooAnbUqSltc/VCw_W6ZPyPI/AAAAAAAGnIM/MR2M1b9g8yU/s72-c/ddm.jpg)
MTU MMOJA AUWAWA NA WANANCHI WENYE HASIRA KALI MKOANI DODOMA KWA TUHUMA ZA UJAMBAZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ooAnbUqSltc/VCw_W6ZPyPI/AAAAAAAGnIM/MR2M1b9g8yU/s1600/ddm.jpg)
MTU mmoja anayedaiwa kuwa ni Jambazi ameuawa na wananchi baada ya kumpora mwananchi mmoja kiasi cha Sh. 2, 100,000= wa kijiji cha Igoji One Kata ya Mima katika Wilaya ya Mpwapwa Mkoani Dodoma.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna msaidizi mwandamizi wa Polisi DAVID MISIME – SACP ameeleza kuwa tukio hilo la kumvamia mwananchi huyo huko nyumbani kwake Kijiji cha Igoji one aliyejulikana kwa jina la YARED S/O MAPATANO MSALILA limetokea mnamo...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-VKPFv9JaGVA/U84iNIIqgcI/AAAAAAAF4pU/o_G9HtJlo5w/s72-c/unnamed+(50).jpg)
FFU wa Ngoma Africa Band wawatia wazimu washabiki Tubingen,Ujerumani
![](http://2.bp.blogspot.com/-VKPFv9JaGVA/U84iNIIqgcI/AAAAAAAF4pU/o_G9HtJlo5w/s1600/unnamed+(50).jpg)
Bendi hiyo iliyobatizwa majina mengi ya utani na washabiki wake imejikuta inaongeza idadi ya maelfu ya washabiki katika maonyesho yake.
Katika hali isiyo ya kawaida usiku wa jumamosi 19 Julai 2014 Ngoma Africa...
11 years ago
Habarileo27 Mar
Mfanyabiashara atekwa, Polisi wamuokoa
POLISI mkoani Singida inashikilia watu watatu, akiwemo mganga wa tiba asilia kutoka Tanga, kwa tuhuma za kumteka nyara mfanyabiashara mkazi wa Manyoni.
9 years ago
Mwananchi04 Oct
UCHAMBUZI WA POLEPOLE :Hasira hasara, kupiga kura kwa hasira ni ujuha na si hekima, tulitazame taifa
9 years ago
Mtanzania24 Nov
Watu 829 wauawa na wananchi wenye hasira
ASIFIWE GEORGE NA KOKU DAVID, DAR ES SALAAM
WATU 829 wameuawa katika kipindi cha Januari hadi Oktoba mwaka huu kutokana na wananchi kujichukulia sheria mkononi.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Msemaji wa Jeshi la Polisi, Advera Bulimba, alisema matukio ya watu kujichukulia sheria mkononi yameongezeka, ikilinganishwa na mwaka jana katika kipindi kama hicho ambapo watu 785 waliuawa kwa matukio kama hayo.
Alisema takwimu zinaonyesha kuwa tabia hiyo inaendelea kujengeka na kuonekana kama ni...