Ielewe Hasira chimbuko lake (2)
Katika makala ya wiki iliyopita tuliangalia hasira ni nini na chimbuko lake, leo tunaendelea na sehemu ya pili ya mada hii ambapo tutaangalia nini mzizi na ukweli kuhusu hasira.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi04 Oct
UCHAMBUZI WA POLEPOLE :Hasira hasara, kupiga kura kwa hasira ni ujuha na si hekima, tulitazame taifa
Bado nimepigwa na butwaa kwa namna ambavyo baadhi ya Watanzania wenzangu wanakosa ustahimilivu katika kipindi tunapoelekea Uchaguzi Mkuu. Nimegundua kwamba unapotoa hoja ambayo wengine hawaiungi mkono basi kumekuwa na ugumu katika kustahimiliana.
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/uCnlOHH_zaE/default.jpg)
10 years ago
BBCSwahili12 Jan
Chimbuko la michuano ya AFCON
Hii ni historia ya michuano ya kombe la mataifa ya Afrika ambayo inatajariwa kwa hamu na mashabiki wa soka kote barani Afrika
10 years ago
Mwananchi14 Mar
ASILI NA CHIMBUKO LA KISWAHILI
Inafahamika kuwa lugha ya Kiswahili ni lugha kamili na wala si lugha chotara kwa maana ya mchanganyiko wa lugha ya Kiarabu na lugha ya Kibantu kama watu wengi wanavyodhani. Lugha ya Kiswahili ina chimbuko lake na pia ina asili yake.
10 years ago
Mwananchi17 Mar
ASILI NA CHIMBUKO LA KISWAHILI
Tambua kuwa lugha ya Kiswahili ni lugha kamili na wala si lugha chotara kwa maana ya mchanganyiko wa lugha ya Kiarabu na lugha ya Kibantu kama watu wengi wanavyodhani.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/o1QX7UF1Vt6svx-XznesETyOEBxk8m8ttJNzj8cwbYInzfpp8qfl6BK8l7Zt8q-mw8-fc-kXN0*mYjLxUR-dBUXTlY62OCXO/TedHoldCelebratesfiftyyearsinfreemasonry021.jpg?width=650)
HILI NDILO CHIMBUKO LA FREEMASONS - 3
Mpenzi msomaji, baada ya utambulisho juu ya hawa jamaa ni akina nani, wiki iliyopita nilianza kuangalia chimbuko lao. Nilieleza namna Freemasons walivyokuwa wakijenga mahekalu na kujumuika humo wakisimikana katika madaraja ya kimasoni, zama hizo kulikuwa na madaraja matatu tu, yaani Apprentices (wanafunzi wa mwanzo), Journeymen (wanafunzi wa kati kuelekea kuiva) na Grandmaster (waliofuzu). SASA ENDELEA… Kuchimba na kusoma...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pBrEDFyKDmOsdP8Fm8HLvEyaFNuBu-fg-1GIr-xdMKoA*LtPiiCAlC8*r50XISAXsFqvDb1fLgtdyxhZuBQWlgNWxurr3*TJ/10reasonsyoushouldbecomeafreemason.jpg?width=650)
HILI NDILO CHIMBUKO LA FREEMASONS - 2
Mpenzi msomaji wiki iliyopita nilidokeza kuwa katika simulizi hii nitahakikisha najibu maswali yote ambayo yamekuwa yakiulizwa sana na wasomaji.
SASA ENDELEA… Je, mtu anawezaje kujiunga nao na kwamba kuna ukweli kuwa atapata utajiri kwa kufumba na kufumbua macho? Je, ni masharti au vigezo gani ambavyo lazima uvitimize ndiyo ujiunge nao? Fomu za kujiunga zinapatikanaje na wapi? Je, wana makao yao hapa nchini au Afrika...
5 years ago
Raia Mwema12 Mar
Chimbuko na mwenendo wa ugaidi duniani
KWA upande mwingine shambulizi la kigaidi huko Nice linaashiria kuwa wakati kwa muda mrefu magari
Evarist Chahali
9 years ago
Dewji Blog02 Nov
Fahamu chimbuko la siku ya Maruhani “Halloween”
Na Swahilivilla blog. Washington D.C
Jana ililkuwa ni “Siku ya Maruhani” nchini Marekani. Siku hii ijulikanayo kama “Halloween” husherehekewa kila tarehe 31 Oktoba, na ina historia ndefu.
Siku ya Maruhani ilianzia huko barani Ulaya kiasi miaka 2,000 iliyopita ikifungamana na imani za kishirikina. Wazung walipoyavamia mabara ya Amerika walihamia pia na utamaduni mila, desturi, dini, na silka zao – na sema upendavyo. Miongoni mwa hayo ilikuwa ndiyo hii siku ya Maruhani ambayo jina lake la...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania