Chimbuko na mwenendo wa ugaidi duniani
KWA upande mwingine shambulizi la kigaidi huko Nice linaashiria kuwa wakati kwa muda mrefu magari
Evarist Chahali
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
10 years ago
KwanzaJamii04 Sep
JK ATAJA CHANZO CHA UGAIDI DUNIANI
Rais Jakaya Kikwete amesema moja ya vyanzo vikubwa vya kuzalisha, kulea na kukuza ugaidi duniani ni sera mbaya za ubaguzi na zinazowanyima haki za msingi baadhi ya wanajamii ama makundi ya wanajamii.
Pia amesema ni muhimu kwa mataifa mbalimbali duniani kubuni na kutunga sera, ambazo zinalenga kutoa nafasi na haki za msingi kwa kila mwanajamii na mwananchi kufurahia sehemu ya keki ya taifa.
Taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu, jijini Dar es Salaam, ilitumwa kwa vyombo vya...
10 years ago
Mwananchi18 Feb
Ufisadi duniani ndiyo mbolea ya ugaidi
Nchini Nigeria mwanajeshi hunyongwa anapokataa kupigana dhidi ya kundi la kigaidi la Boko Haram.
9 years ago
Mwananchi02 Jan
Hofu ya ugaidi yatawala mwaka mpya duniani
Nchi mbalimbali ulimwenguni zimeukaribisha mwaka mpya kwa mchanganyiko wa matumaini, hofu na kumbukumbu za namna mwaka 2015 ulivyokubwa na matukio ya ugaidi. Â Â Â
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6xzDXLZEGutO9vx3lEh5wtOstOP24B9me-e2PcfG8l1JEOjuImcue0t0QV9D6eFNEniUJXpgqP4qmFAic9IdiMjbT10b01dQ/BACKUWAZI.gif?width=650)
MAUAJI YA POLISI 2 MKOA WA PWANI UGAIDI UGAIDI
Makongoro Oging’ na Issa Mnally
HUKU watu wakisherehekea Sikukuu ya Pasaka kwa vifijo, shangwe na nderemo, kwa familia za polisi waliouawa Vikindu wilayani Mkuranga, Pwani, Sajenti Michael Aaron Tuheri (49) na Koplo Francis Mkinga (53) ilikuwa ni huzuni kutokana na vifo vya wapendwa wao hao. Mauaji ya polisi hayo yamewaacha ndugu na jeshi la polisi nchini katika hali ya huzuni huku yakifananishwa na yale yaliyotokea...
10 years ago
Mwananchi14 Mar
ASILI NA CHIMBUKO LA KISWAHILI
Inafahamika kuwa lugha ya Kiswahili ni lugha kamili na wala si lugha chotara kwa maana ya mchanganyiko wa lugha ya Kiarabu na lugha ya Kibantu kama watu wengi wanavyodhani. Lugha ya Kiswahili ina chimbuko lake na pia ina asili yake.
10 years ago
BBCSwahili12 Jan
Chimbuko la michuano ya AFCON
Hii ni historia ya michuano ya kombe la mataifa ya Afrika ambayo inatajariwa kwa hamu na mashabiki wa soka kote barani Afrika
10 years ago
Mwananchi17 Mar
ASILI NA CHIMBUKO LA KISWAHILI
Tambua kuwa lugha ya Kiswahili ni lugha kamili na wala si lugha chotara kwa maana ya mchanganyiko wa lugha ya Kiarabu na lugha ya Kibantu kama watu wengi wanavyodhani.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/pBrEDFyKDmOsdP8Fm8HLvEyaFNuBu-fg-1GIr-xdMKoA*LtPiiCAlC8*r50XISAXsFqvDb1fLgtdyxhZuBQWlgNWxurr3*TJ/10reasonsyoushouldbecomeafreemason.jpg?width=650)
HILI NDILO CHIMBUKO LA FREEMASONS - 2
Mpenzi msomaji wiki iliyopita nilidokeza kuwa katika simulizi hii nitahakikisha najibu maswali yote ambayo yamekuwa yakiulizwa sana na wasomaji.
SASA ENDELEA… Je, mtu anawezaje kujiunga nao na kwamba kuna ukweli kuwa atapata utajiri kwa kufumba na kufumbua macho? Je, ni masharti au vigezo gani ambavyo lazima uvitimize ndiyo ujiunge nao? Fomu za kujiunga zinapatikanaje na wapi? Je, wana makao yao hapa nchini au Afrika...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/o1QX7UF1Vt6svx-XznesETyOEBxk8m8ttJNzj8cwbYInzfpp8qfl6BK8l7Zt8q-mw8-fc-kXN0*mYjLxUR-dBUXTlY62OCXO/TedHoldCelebratesfiftyyearsinfreemasonry021.jpg?width=650)
HILI NDILO CHIMBUKO LA FREEMASONS - 3
Mpenzi msomaji, baada ya utambulisho juu ya hawa jamaa ni akina nani, wiki iliyopita nilianza kuangalia chimbuko lao. Nilieleza namna Freemasons walivyokuwa wakijenga mahekalu na kujumuika humo wakisimikana katika madaraja ya kimasoni, zama hizo kulikuwa na madaraja matatu tu, yaani Apprentices (wanafunzi wa mwanzo), Journeymen (wanafunzi wa kati kuelekea kuiva) na Grandmaster (waliofuzu). SASA ENDELEA… Kuchimba na kusoma...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania