Ufisadi duniani ndiyo mbolea ya ugaidi
Nchini Nigeria mwanajeshi hunyongwa anapokataa kupigana dhidi ya kundi la kigaidi la Boko Haram.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi31 Dec
Ufisadi ni mbolea ya kuchochea ugaidi
Huko Nigeria mwanajeshi hunyongwa anapokataa kupigana dhidi ya kundi la kigaidi la Boko Haram. Na karibuni huko Kenya ilipitishwa Sheria ya Usalama, ambayo pindi busara haitatumika itaweza ikaipeleka nchi hiyo pabaya na hata kuonekana mbele ya watu wa ndani na nje kwamba ni dola ya kipolisi.
10 years ago
Mwananchi20 May
Rais wa Msumbiji ataka wabunge waungane dhidi ya ufisadi, ugaidi
>Rais wa Msumbiji, Filipe Nyusi amewataka wabunge kuwa kitu kimoja katika viti dhidi ya ufisadi na ugaidi na nchi yake itakuwa mstari wa mbele kushirikiana na Tanzania kupambana na maovu hayo.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ytz*1w0-YzC4nR7wbXHYVOcNKPB897YbvLDV5O*wyVPGdRJAzbfGpZbN21ZPhKHRYFCCfOB0ws-yP3OdluVuNPfBa-9ZrDYn/FRONTUWAZI.jpg)
HII NDIYO SINEMA KAMILI UGAIDI MORO!
Stori: Dustan Shekidele, Morogoro
Wakazi wa Wilaya ya Kilombero mkoani hapa, wametoboa siri ya tukio linaloonesha picha ya ugaidi lililotokea Mei Mosi, mwaka huu huku askari mgambo Thomas Manjole (54) aliyejeruhiwa na bomu la kurushwa akisimulia mkasa mzima jinsi alivyopambana. Askari mgambo Thomas Manjole akiwa na majeraha, hospitalini. Tukio hilo limetokea ikiwa ni takriban wiki mbili tangu Jeshi la Polisi Mkoa wa...
5 years ago
Raia Mwema12 Mar
Chimbuko na mwenendo wa ugaidi duniani
KWA upande mwingine shambulizi la kigaidi huko Nice linaashiria kuwa wakati kwa muda mrefu magari
Evarist Chahali
10 years ago
BBCSwahili04 Sep
Ufisadi unaua mamilioni duniani
Inakisiwa dola Trilloni 1 huporwa kutoka kwa nchi maskini kila mwaka huku maisha ya mamilioni ya watu yakihatarishwa.
10 years ago
KwanzaJamii04 Sep
JK ATAJA CHANZO CHA UGAIDI DUNIANI
Rais Jakaya Kikwete amesema moja ya vyanzo vikubwa vya kuzalisha, kulea na kukuza ugaidi duniani ni sera mbaya za ubaguzi na zinazowanyima haki za msingi baadhi ya wanajamii ama makundi ya wanajamii.
Pia amesema ni muhimu kwa mataifa mbalimbali duniani kubuni na kutunga sera, ambazo zinalenga kutoa nafasi na haki za msingi kwa kila mwanajamii na mwananchi kufurahia sehemu ya keki ya taifa.
Taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu, jijini Dar es Salaam, ilitumwa kwa vyombo vya...
9 years ago
Mwananchi02 Jan
Hofu ya ugaidi yatawala mwaka mpya duniani
Nchi mbalimbali ulimwenguni zimeukaribisha mwaka mpya kwa mchanganyiko wa matumaini, hofu na kumbukumbu za namna mwaka 2015 ulivyokubwa na matukio ya ugaidi. Â Â Â
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/qnXigDolgdM/default.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania