Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ufisadi duniani ndiyo mbolea ya ugaidi

Nchini Nigeria mwanajeshi hunyongwa anapokataa kupigana dhidi ya kundi la kigaidi la Boko Haram.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ufisadi ni mbolea ya kuchochea ugaidi

Huko Nigeria mwanajeshi hunyongwa anapokataa kupigana dhidi ya kundi la kigaidi la Boko Haram. Na karibuni huko Kenya ilipitishwa Sheria ya Usalama, ambayo pindi busara haitatumika itaweza ikaipeleka nchi hiyo pabaya na hata kuonekana mbele ya watu wa ndani na nje kwamba ni dola ya kipolisi.

 

10 years ago

Mwananchi

Rais wa Msumbiji ataka wabunge waungane dhidi ya ufisadi, ugaidi

>Rais wa Msumbiji, Filipe Nyusi amewataka wabunge kuwa kitu kimoja katika viti dhidi ya ufisadi na ugaidi na nchi yake itakuwa mstari wa mbele kushirikiana na Tanzania kupambana na maovu hayo.

 

10 years ago

GPL

HII NDIYO SINEMA KAMILI UGAIDI MORO!

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro
Wakazi wa Wilaya ya Kilombero mkoani hapa, wametoboa siri ya tukio linaloonesha picha ya ugaidi lililotokea Mei Mosi, mwaka huu huku askari mgambo Thomas Manjole (54) aliyejeruhiwa  na bomu la kurushwa akisimulia mkasa mzima jinsi alivyopambana. Askari mgambo Thomas Manjole akiwa na majeraha, hospitalini. Tukio hilo limetokea ikiwa ni takriban wiki mbili tangu Jeshi la Polisi Mkoa wa...

 

5 years ago

Raia Mwema

Chimbuko na mwenendo wa ugaidi duniani

KWA upande mwingine shambulizi la kigaidi huko Nice linaashiria kuwa wakati kwa muda mrefu magari

Evarist Chahali

 

10 years ago

BBCSwahili

Ufisadi unaua mamilioni duniani

Inakisiwa dola Trilloni 1 huporwa kutoka kwa nchi maskini kila mwaka huku maisha ya mamilioni ya watu yakihatarishwa.

 

10 years ago

KwanzaJamii

JK ATAJA CHANZO CHA UGAIDI DUNIANI

Rais Jakaya Kikwete amesema moja ya vyanzo vikubwa vya kuzalisha, kulea na kukuza ugaidi duniani ni sera mbaya za ubaguzi na zinazowanyima haki za msingi baadhi ya wanajamii ama makundi ya wanajamii. Pia amesema ni muhimu kwa mataifa mbalimbali duniani kubuni na kutunga sera, ambazo zinalenga kutoa nafasi na haki za msingi kwa kila mwanajamii na mwananchi kufurahia sehemu ya keki ya taifa. Taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu, jijini Dar es Salaam, ilitumwa kwa vyombo vya...

 

9 years ago

Mwananchi

Hofu ya ugaidi yatawala mwaka mpya duniani

Nchi mbalimbali ulimwenguni zimeukaribisha mwaka mpya kwa mchanganyiko wa matumaini, hofu na kumbukumbu za namna mwaka 2015 ulivyokubwa na matukio ya ugaidi.     

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani