Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ufisadi ni mbolea ya kuchochea ugaidi

Huko Nigeria mwanajeshi hunyongwa anapokataa kupigana dhidi ya kundi la kigaidi la Boko Haram. Na karibuni huko Kenya ilipitishwa Sheria ya Usalama, ambayo pindi busara haitatumika itaweza ikaipeleka nchi hiyo pabaya na hata kuonekana mbele ya watu wa ndani na nje kwamba ni dola ya kipolisi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ufisadi duniani ndiyo mbolea ya ugaidi

Nchini Nigeria mwanajeshi hunyongwa anapokataa kupigana dhidi ya kundi la kigaidi la Boko Haram.

 

10 years ago

Mwananchi

Rais wa Msumbiji ataka wabunge waungane dhidi ya ufisadi, ugaidi

>Rais wa Msumbiji, Filipe Nyusi amewataka wabunge kuwa kitu kimoja katika viti dhidi ya ufisadi na ugaidi na nchi yake itakuwa mstari wa mbele kushirikiana na Tanzania kupambana na maovu hayo.

 

10 years ago

GPL

MAUAJI YA POLISI 2 MKOA WA PWANI UGAIDI UGAIDI

Makongoro Oging’ na Issa Mnally
HUKU watu wakisherehekea Sikukuu ya Pasaka kwa vifijo, shangwe na nderemo, kwa familia za polisi waliouawa Vikindu wilayani Mkuranga, Pwani,  Sajenti Michael Aaron Tuheri (49) na Koplo Francis Mkinga (53) ilikuwa ni huzuni kutokana na vifo vya wapendwa wao hao. Mauaji ya polisi hayo yamewaacha ndugu na jeshi la polisi nchini katika hali ya huzuni huku yakifananishwa na yale yaliyotokea...

 

10 years ago

Vijimambo

Ufisadi, ufisadi, ufisadi TRL

Sasa yagundulika aliyeleta mabehewa feki alikuwa na bei ya juu kuliko wote, Aliruhusiwa na kufanyia marekebisho zabuni yake kinyemelaMadudu zaidi yameendelea kuibuka katika sakata la mabehewa feki 274 yaliyonunuliwa na Kampuni ya Reli Tanzania (TRL), na sasa imebainika kuwa kampuni iliyopewa zabuni ya kuleta mabehewa hayo ndiyo iliyokuwa ya bei ya juu zaidi kuliko kampuni 10 zilizokuwa zimeomba na haikuweka dhamana yoyote kama sheria ya manunuzi inavyotaka.

Aidha, imebainika pia kuwa ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ngeleja: Wachakachua mbolea kubanwa

KAMATI ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala, imekabidhiwa miswada ya marekebisho ya sheria mbalimbali zaidi ya 30 ikiwemo marekebisho ya sheria ya mbolea ambayo itaweza kusaidia kutoa adhabu kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

JK: Wakulima waelimishwe kutumia mbolea

Rais Jakaya Kikwete amesema wakulima wanapaswa kuelimishwa kuhusu umuhimu wa kutumia mbolea katika kilimo.

 

11 years ago

Mwananchi

Ng’ombe walishwa mbolea wanenepe

Baadhi ya wafugaji wa Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, wanatumia mbolea ya kupandia na kukuzia mazao kulishia mifugo yao kwa madai kuwa huinenepesha.

 

10 years ago

Vijimambo

Mkutano wa Wadau wa sekta ya Mbolea nchini

Mgeni Rasmi Mkuu wa Kitengo cha Uratibu wa Misaada ya Maendeleo na Mashirikiano ya Kimataifa ambaye pia ni Mchumi Mkuu Bi. Magret Ndaba akitoa hotuba ya ufunguzi wa mkutano wa wadau wa sekta ya mbolea nchini kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika Bibi Sophia Kaduma leo jijini Dar es salaam.Baadhi ya washiriki wa mkutano wa wadau wa sekta ya mbolea nchini wakifuatilia mkutano wa wadau hao ulifanyika leo jiji Dar es Salaam.Baadhi ya washiriki wa mkutano wa wadau wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge ahoji uteketezaji mbolea feki

MBUNGE wa Kiembe Samaki, Waride Bakari Jabu (CCM) ameihoji serikali ina utaratibu gani wa kuteketeza mbolea feki ambazo zimekuwa zikiingizwa nchini. Waride alitoa kauli hiyo bungeni jana alipokuwa akiuliza swali...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani