Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ngeleja: Wachakachua mbolea kubanwa

KAMATI ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala, imekabidhiwa miswada ya marekebisho ya sheria mbalimbali zaidi ya 30 ikiwemo marekebisho ya sheria ya mbolea ambayo itaweza kusaidia kutoa adhabu kwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

JK: Wakulima waelimishwe kutumia mbolea

Rais Jakaya Kikwete amesema wakulima wanapaswa kuelimishwa kuhusu umuhimu wa kutumia mbolea katika kilimo.

 

10 years ago

Mwananchi

Ng’ombe walishwa mbolea wanenepe

Baadhi ya wafugaji wa Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, wanatumia mbolea ya kupandia na kukuzia mazao kulishia mifugo yao kwa madai kuwa huinenepesha.

 

10 years ago

Mwananchi

Ufisadi ni mbolea ya kuchochea ugaidi

Huko Nigeria mwanajeshi hunyongwa anapokataa kupigana dhidi ya kundi la kigaidi la Boko Haram. Na karibuni huko Kenya ilipitishwa Sheria ya Usalama, ambayo pindi busara haitatumika itaweza ikaipeleka nchi hiyo pabaya na hata kuonekana mbele ya watu wa ndani na nje kwamba ni dola ya kipolisi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge ahoji uteketezaji mbolea feki

MBUNGE wa Kiembe Samaki, Waride Bakari Jabu (CCM) ameihoji serikali ina utaratibu gani wa kuteketeza mbolea feki ambazo zimekuwa zikiingizwa nchini. Waride alitoa kauli hiyo bungeni jana alipokuwa akiuliza swali...

 

9 years ago

Vijimambo

Mkutano wa Wadau wa sekta ya Mbolea nchini

Mgeni Rasmi Mkuu wa Kitengo cha Uratibu wa Misaada ya Maendeleo na Mashirikiano ya Kimataifa ambaye pia ni Mchumi Mkuu Bi. Magret Ndaba akitoa hotuba ya ufunguzi wa mkutano wa wadau wa sekta ya mbolea nchini kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika Bibi Sophia Kaduma leo jijini Dar es salaam.Baadhi ya washiriki wa mkutano wa wadau wa sekta ya mbolea nchini wakifuatilia mkutano wa wadau hao ulifanyika leo jiji Dar es Salaam.Baadhi ya washiriki wa mkutano wa wadau wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Ufisadi duniani ndiyo mbolea ya ugaidi

Nchini Nigeria mwanajeshi hunyongwa anapokataa kupigana dhidi ya kundi la kigaidi la Boko Haram.

 

11 years ago

Habarileo

RC: Kutumia mbolea ya Minjingu Mazao ni hiari

 Dk Christine IshengomaWAKATI msimu wa kilimo wa 2013/2014 ukianza, Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dk Christine Ishengoma amesema hakuna mkulima anayelazimishwa kutumia mbolea ya Minjungu Mazao.

 

11 years ago

Mwananchi

Wachakachuaji pembejeo kubanwa

>Serikali imeanza mchakato wa marekebisho ya Sheria ya Mbegu, Mbolea na Dawa itakayosaidia kuwabana ama kuwafilisi mawakala wa pembejeo za kilimo watakaobainika kufanya biashara kwa kuzichakachua.

 

11 years ago

Mtanzania

Sitta azidi kubanwa

Samuel Sitta

Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba ambaye pia ni Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta

NA WAANDISHI WETU

MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, amezidi kuandamwa baada ya Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kumtaka kusitisha mara moja mchakato wa Katiba unaoendelea.

Kituo hicho, kimesema Bunge hilo linapaswa kusitishwa hadi muafaka utakapofikiwa kati ya makundi mawili yanayosigana.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mkurugenzi wa  LHRC,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani