Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


RC: Kutumia mbolea ya Minjingu Mazao ni hiari

 Dk Christine IshengomaWAKATI msimu wa kilimo wa 2013/2014 ukianza, Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dk Christine Ishengoma amesema hakuna mkulima anayelazimishwa kutumia mbolea ya Minjungu Mazao.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WAZIRI WA KILIMO JAPHET HASUNGA ATEMBELEA KIWANDA CHA MBOLEA CHA MINJINGU MKOANI MANYARA

Waziri wa kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) akikagua uzalishaji wa mbolea mara baada ya kutembelea kiwanda cha mbolea cha Minjingu (Minjingu Mines and Fertilizer Ltd) kilichopo katika eneo na Kata ya Minjingu Mkoani Manyara tarehe 19 Aprili 2020. (Picha Zote Na Mathias Canal, Wizara ya Kilimo)Waziri wa kilimo Mhe Japhet Hasunga (Mb) akisisitiza jambo mara baada ya kutembelea kiwanda cha mbolea cha Minjingu (Minjingu Mines and Fertilizer Ltd) kilichopo katika eneo na Kata ya Minjingu Mkoani...

 

9 years ago

Mwananchi

JK: Wakulima waelimishwe kutumia mbolea

Rais Jakaya Kikwete amesema wakulima wanapaswa kuelimishwa kuhusu umuhimu wa kutumia mbolea katika kilimo.

 

10 years ago

Dewji Blog

Serikali kutumia Teknolojia ya Jeni katika kuendeleza mazao

pic 9

Naibu Waziri, wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na watoto Mhe. Pindi Chana (Mb) akijibu swali leo Bungeni Dodoma, kwa niaba ya Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika kuhusu mpango wa Serikali  kutumia teknolojia ya jeni katika kuboresha mbegu za mazao.

Pic 1

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Mhe. Hawa Ghasia (Mb), akijibu swali katika kipindi cha maswali na majibu leo Bungeni Dododma.

pic 2

Naibu Waziri, Wizara ya Ushirikiano wa Afika Mashariki, Mhe. Dkt. Abdullah...

 

10 years ago

Mwananchi

Njia rahisi ya kutumia taka za mazao ili kuzalisha uyoga

Watanzania wanaweza kujiongezea kipato kwa kujiingiza katika kilimo cha uyoga, ambacho hakihitaji teknolojia ya juu ili kukifanikisha.

 

10 years ago

Mwananchi

Wakulima wajifunze kutumia fursa za viwanda vinavyosindika mazao nchini

Pareto ni zao la muhimu linalostawi nchini, lakini haliliwi kwa wingi. Kwa Tanzania zao hilo linalimwa katika wilaya 16 za mikoa ya Mbeya, Njombe, Iringa, Manyara, Arusha na Kilimanjaro sehemu za Wilaya ya Hai.

 

10 years ago

StarTV

Wakulima Bunda waaswa kuhifadhi mazao kwa kutumia teknolojia ya kisasa.

Na Ahmed Makongo,

Bunda.

 

Wakulima wa mazao ya nafaka wilayani Bunda mkoani Mara wameshauriwa kutumia teknolojia ya kisasa ya mifuko ya Pics kuhifadhi vyakula ili visiharibike.

 

Katika uzinduzi wa teknolojia hiyo uliofanyika kijiji cha guta afisa kilimo wa Wilaya ya Bunda Serapion Rujuguru amlisema itawasaidia wakulima kukabiliana na njaa pamoja na kuuza vyakula hivyo kwa bei nzuri.

 

where to get student loans with no credit

Rujuguru alisema kuwa wakulima wengi wamekuwa wakipoteza...

 

10 years ago

Michuzi

Watanzania waaswa kutumia teknolojia mpya na za kisasa kuzalisha mazao na sekta nzima ya kilimo

 Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira, Mhe. Dkt Injinia Binilith Satano Mahenge akifungua rasmi Kongamano la ukuaji wa uchumi unaohimili mabadiliko ya Tabia Nchi  kwa niaba ya Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Mohammed Gharib Bilal,itakayofanyika kwa muda wa  siku mbili katika hoteli ya Hyatt Regency jijini Dar es Salaam leo. Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais - Mazingira, Mhe. Dkt Injinia Binilith Satano Mahenge (wa pili kushoto), akizungumza na...

 

10 years ago

Dewji Blog

Makala ya kuongeza uzalishaji mazao ya Nyuki kwa kutumia mizinga ya kisasa na kuondokana na mizinga ya asili katika mkoa wa Singida

bidhaa[1]

Na Jumbe Ismailly, Singida      

HALMASHAURI ya wilaya ya Singida ina ukubwa wa kilomita za mraba 3,787 ambazo wananchi wake hujishughulisha na kilimo na ufugaji.

Mazao ya chakula na biashara yanayolimwa na wananchi hao ni pamoja na mtama,uwele,alzeti,vitunguu na dengu na zao la kipaumbele ni asali kwa ajili ya chakula na biashara.

Halmashauri ya wilaya ya Singida ina maeneo mapana ya ufugaji nyuki ikiwemo misitu ya watu binafsi na misitu ya ardhi ya Kijiji ukiwemo msitu wa Hifadhi wa...

 

10 years ago

Michuzi

WAKALA WA TAIFA WA HIFADHI YA CHAKULA (NFRA) KANDA YA DODOMA INAKABILIWA NA UFINYU WA ENEO LA KUHIFADHIA MAZAO MSIMU HUU WA UNUNUZI WA MAZAO

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr. Rehema Nchimbi ameitaka Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) Kanda ya Dodoma kuhakikisha inatafuta suluhisho la haraka la changamoto ya maghala na mifumo ya kuhifadhia mazao inayoikabili taasisi hiyo wakati huu wa msimu wa kununua mazao.
Vilevile Dr. Nchimbi ameelekeza ukarabati wa Maghala ya hifadhi ya “National Milling” yaliyopo eneo la Makole ambayo uwezo wake ni kuhifadhi takribani tani elfu 10 kwa ghala uwekewe mkakati ili kusaidia kuleta suluhisho la...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani