Wakulima wajifunze kutumia fursa za viwanda vinavyosindika mazao nchini
Pareto ni zao la muhimu linalostawi nchini, lakini haliliwi kwa wingi. Kwa Tanzania zao hilo linalimwa katika wilaya 16 za mikoa ya Mbeya, Njombe, Iringa, Manyara, Arusha na Kilimanjaro sehemu za Wilaya ya Hai.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV17 Jan
Wakulima Bunda waaswa kuhifadhi mazao kwa kutumia teknolojia ya kisasa.
Na Ahmed Makongo,
Bunda.
Wakulima wa mazao ya nafaka wilayani Bunda mkoani Mara wameshauriwa kutumia teknolojia ya kisasa ya mifuko ya Pics kuhifadhi vyakula ili visiharibike.
Katika uzinduzi wa teknolojia hiyo uliofanyika kijiji cha guta afisa kilimo wa Wilaya ya Bunda Serapion Rujuguru amlisema itawasaidia wakulima kukabiliana na njaa pamoja na kuuza vyakula hivyo kwa bei nzuri.
where to get student loans with no credit
Rujuguru alisema kuwa wakulima wengi wamekuwa wakipoteza...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Ye2h3bm12ZY/XsPMGzLorlI/AAAAAAALqw8/0SIudsWR7b0XK3nZE6VCsmGMEGfGPsQnQCLcBGAsYHQ/s72-c/23d4b458-5646-4ea1-a6e7-a74fa83b72e6.jpg)
SERIKALI YAWAKATA WAKULIMA SHINYAGA KUCHANGAMKIA FURSA ZA VIWANDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ye2h3bm12ZY/XsPMGzLorlI/AAAAAAALqw8/0SIudsWR7b0XK3nZE6VCsmGMEGfGPsQnQCLcBGAsYHQ/s640/23d4b458-5646-4ea1-a6e7-a74fa83b72e6.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe katikati akiangalia mashine ya kuoka mikate iliyobuniwa na Shirika la Viwanda Vidogo Vidogo (SIDO) Tawi la Shinyanga kulia kwake ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Bw.Ludovick Nduhiye na Kushoto kwake ni Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Bw. Albert Msovela.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/71417183-de6b-4530-9da3-fe78a970259b.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe amoja na Mkurugenzi wa kiwanda kinachozalisha mafuta ya alizeti Gilitu Enterprises Bw....
9 years ago
MichuziWADAU WA MAENDELEO YA VIWANDA WATANGAZA VYEMA FURSA ZA UWEKEZAJI NCHINI
10 years ago
BBCSwahili14 Nov
Wanamuziki wa leo wajifunze kutumia Ala
11 years ago
Mwananchi18 Jun
Wakulima nchini waaswa kutumia kilimo cha mseto
10 years ago
MichuziBenki ya Exim yawaasa wateja wake kutumia fursa zilizopo katika sekta ya gesi nchini
Wito huo ulitolewa na Afisa Mtendaji Mkuu (CEO) wa benki hiyo, Bw. Dinesh Arora wakati wa hafla fupi iliyoandaliwa na benki hiyo jijini Dar es Salaam hivi karibuni...
11 years ago
Mwananchi07 Mar
Wataka viwanda vya mazao ya mifugo
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-_j80aL6SEzg/Xqp0e6yviqI/AAAAAAALonE/hqREiCXKPwgPQZG7DmarR5PKycUH7xKPACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_2007-2048x1365.jpg)
SIMIYU INA FURSA YA KUZALISHA MAZAO MENGI YA BIASHARA
![](https://1.bp.blogspot.com/-_j80aL6SEzg/Xqp0e6yviqI/AAAAAAALonE/hqREiCXKPwgPQZG7DmarR5PKycUH7xKPACLcBGAsYHQ/s640/IMG_2007-2048x1365.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/IMG-2619-1-rotated.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya akinawa mikono kwa maji na dawa alipowasili katika ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Simiyu kuanza ziara ya kukagua shughuli zinazofanywa na wizara ya kilimo
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/04/IMG_2060.jpg)
Katibu Mkuu wizara ya Kilimo Bw.Gerald Kusaya ( aliyevaa tai) akitoa maelekezo kwa Maj.E. Buberwa msimamizi wa...
10 years ago
Dewji Blog04 Jun
Wamiliki wa viwanda watakiwa kutoa ushirikiano kwa wadadisi wanaokusanya taarifa za sensa ya viwanda nchini
Waziri wa Viwanda na Biashara Mhe. Dkt. Abdallah Kigoda (kulia) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo mkoani Dodoma kuhusu maendeleo ya zoezi la Sensa ya Viwanda linalofanyika nchini. Kushoto kwake ni Idd Mruke, Meneja Takwimu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu, mkoa wa Dodoma.
Meneja wa Takwimu za Biashara na Utalii kutoka Ofisi ya Taifa ya Takwimu, ambaye ni Msimamizi wa Sensa ya Viwanda nchini akiwaelezea waandishi wa habari leo mkoani Dodoma kuhusu vigezo vilivyotumika...