Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanamuziki wa leo wajifunze kutumia Ala

Wanamuziki wa sasa wanashauriwa kujua kutumia vyombo vya muziki

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Wakulima wajifunze kutumia fursa za viwanda vinavyosindika mazao nchini

Pareto ni zao la muhimu linalostawi nchini, lakini haliliwi kwa wingi. Kwa Tanzania zao hilo linalimwa katika wilaya 16 za mikoa ya Mbeya, Njombe, Iringa, Manyara, Arusha na Kilimanjaro sehemu za Wilaya ya Hai.

 

9 years ago

CCM Blog

VIDEO: DK. MAGUFULI ALA KIAPO LEO JIJINI DAR ES SALAAM

Rais wa awamu ya tano, Dk. John Magufuli akiapishwa, kuona tafadhali>BOFYA HAPA

 

10 years ago

Habarileo

Kinana- Wanasiasa wajifunze kilichotokea Scotland

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amesema kushindwa kwa kampeni za kutaka kujitenga kwa Scotland kutoka Himaya ya Ufalme wa Uingereza ni fundisho kwa wanasiasa nchini kwa kuona wana haki ya kusema au kufanya maamuzi kwa niaba ya wananchi.

 

11 years ago

GPL

HONGERENI BONGO MUVI, WENGINE WAJIFUNZE KWENU!

Marehemu Adam Phillip Kuambiana. KWENU,Mastaa wa filamu za Kibongo. Najua mna simanzi nzito, bado hali zenu kisaikolojia hazipo sawa kutokana na misiba iliyowakuta hivi karibuni ya kuondokewa na Adam Kuambiana na Recho Haule. Siyo rahisi kupokea, lakini jikazeni, ni kazi ya Mungu.…

 

11 years ago

GPL

NEY UNASTAHILI PONGEZI, WENGINE WAJIFUNZE KWAKO!

KWAKO,Staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Ney wa Mitego’. Mambo vipi kamanda? Habari za mishe za town? Bila shaka mambo yanakwenda poa kabisa na mchakamchaka wa maisha unaendelea kama kawa. Kama ndivyo ni vyema. Kwa upande wangu nakwenda sawa, changamoto za hapa na pale kama kawaida, kwenye maisha hazikosekani. Leo nimekukumbuka kwa barua. Najua kidogo utakuwa umeshtuka, maana wengi wanaamini barua zangu zina...

 

9 years ago

Bongo5

Wasanii wajifunze kuimba muziki wa live kwendana na mabadiliko — Barnaba

Mwimbaji na mwandishi mahiri wa nyimbo, Barnaba amewashauri wasanii wenzake kujifunza kutumbuiza muziki wa live wanapokuwa kwenye majukwaa. Barnaba anafahamika kwa uwezo wake mkubwa wa kutumia vyombo mbalimbali vya muziki na ni miongoni mwa wasanii waliolelewa na kukuzwa na nyumba ya vipaji Tanzania – THT. Akizungumza kupitia Planet Bongo ya EA Radio, Barnaba amesema kutokana […]

 

10 years ago

Michuzi

WANANCHI WAANZA KUTUMIA MV KIGAMBONI LEO

Hatimaye Serikali imetimiza ahadi yake mapema leo mara baada ya Kivuko cha Mv. Kigamboni kuanza rasmi safari zake za usafirishaji.
Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dar es Salaam na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Mhandisi Mussa Iyombe wakati akizindua kivuko hicho ambacho kilikuwa kikikarabatiwa na Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) Kikosi cha Wanamaji.
Mhandisi Iyombe amesema Kivuko hicho ambacho kinategemewa na wananchi walio wengi waishio Kigamboni na maeneo jirani kimeanza kutoa ...

 

10 years ago

Vijimambo

Rais Kikwete ajiandikisha Kupiga kura kwa kutumia BVR Msoga leo

Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akijiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura kwa kutumia mfumo mpya wa kielektoniki(Biometric Voters Register( BVR) katika kijiji cha Msoga,kata ya Msoga wilayani Bagamoyo leo.Kulia akiangalia kwa makini ni mwandikishaji msaidizi Bi.Happyness Thomas Misana na katikati ni Afisa TEHAMA kutoka ofisi Tume ya Taifa Uchaguzi Bi.Mariam Rajabu.Kushoto aliyesimama akishuhudia ni Mbunge wa Chalinze Ridhwani Kikwete.Afisa TEHAMA kutoka ofisi ya Tume ya Uchaguzi...

 

11 years ago

Michuzi

WADAU WAKUTANA LEO KUJADILI UTAYARI WA TANZANIA KATIKA KUPOKEA NA KUTUMIA FEDHA ZA KUPAMBANA NA MABADILIKO YA TABIANCHI

 Meneja Mradi wa Mazingira UNDP, Helene Gichenje akifafanua jambo kwa wadau wa mazingira wakati wa mkutano wa kujadili ripoti ya awali juu utayari wa Tanzania katika kupokea na kutumia fedha za misaada za kupambana na mabadiliko ya tabianchi Msimamizi wa masuala ya mabadiliko ya tabinachi wa UNDP, Abbas Kitogo akizungumza na waandishi wa habari wakati wa mkutano wa kujadili ripoti ya awali juu utayari wa Tanzania katika kupokea na kutumia fedha za misaada za kupambana na mabadiliko...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani