Kinana- Wanasiasa wajifunze kilichotokea Scotland
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amesema kushindwa kwa kampeni za kutaka kujitenga kwa Scotland kutoka Himaya ya Ufalme wa Uingereza ni fundisho kwa wanasiasa nchini kwa kuona wana haki ya kusema au kufanya maamuzi kwa niaba ya wananchi.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL21 Sep
KINANA ATOA MAONI YAKE KWA WAANDISHI JUU YA MUUNGANO WA SCOTLAND
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akitoa maoni yake juu ya kile kilichotokea Scotland kwa waandishi wa habari alipokuwa akihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Shule ya Msingi Mtongani.
10 years ago
Michuzi21 Sep
Maoni ya Kinana juu ya muungano baada ya wananchi wa scotland kupiga kura
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana jana kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya shule ya msingi Mtongani alitoa maoni yake juu ya kura iliyopigwa na wananchi wa Scotland kuunga mkono Muungano dhidi ya wale waliotaka kujitenga.
Kinana alisema amekuwa akipigiwa simu siku nzima na waandishi wa habari kutaka kusikia maoni yake juu ya kura iliyopigwa Scotland.
Wananchi wa Scotland wamepiga kura na kuunga mkono muungano wa miaka 307 baina ya nchi hiyo na Uingereza katika...
Kinana alisema amekuwa akipigiwa simu siku nzima na waandishi wa habari kutaka kusikia maoni yake juu ya kura iliyopigwa Scotland.
Wananchi wa Scotland wamepiga kura na kuunga mkono muungano wa miaka 307 baina ya nchi hiyo na Uingereza katika...
10 years ago
Vijimambo21 Sep
MAONI YA KINANA BAADA YA WANANCHI WA SCOTLAND KUPIGA KURA KUUNGA MKONO MUUNGANO
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana jana kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya shule ya msingi Mtongani alitoa maoni yake juu ya kura iliyopigwa na wananchi wa Scotland kuunga mkono Muungano dhidi ya wale waliotaka kujitenga.
Kinana alisema amekuwa akipigiwa simu siku nzima na waandishi wa habari kutaka kusikia maoni yake juu ya kura iliyopigwa Scotland.
Wananchi wa Scotland wamepiga kura na kuunga mkono muungano wa miaka 307 baina ya nchi hiyo na Uingereza katika...
10 years ago
Habarileo11 Jun
Kinana akemea wapambe kufitinisha wanasiasa
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amekemea wapambe katika siasa na kusema ndiyo chanzo cha kufarakanisha viongozi wakisaka riziki zao.
10 years ago
BBCSwahili14 Nov
Wanamuziki wa leo wajifunze kutumia Ala
Wanamuziki wa sasa wanashauriwa kujua kutumia vyombo vya muziki
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JKksqYJJ9YjJfUyrhdL2LvjuF39gxi2UL5*ZlmpUH-0Q5NB9wfawuXRwga5XbHN4bQpN3jwBF3ExqsBBzKtrwop-ANBAO6PG/BARUANZITO.jpg)
HONGERENI BONGO MUVI, WENGINE WAJIFUNZE KWENU!
Marehemu Adam Phillip Kuambiana. KWENU,Mastaa wa filamu za Kibongo. Najua mna simanzi nzito, bado hali zenu kisaikolojia hazipo sawa kutokana na misiba iliyowakuta hivi karibuni ya kuondokewa na Adam Kuambiana na Recho Haule. Siyo rahisi kupokea, lakini jikazeni, ni kazi ya Mungu.…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oszb1oYwZClSr*6YXgTun0-HT3Vl2WJKJ9XrqBzWvJpwuhd10mykBG*qPpMQ-TZGb3OfFxSQj5hCHksbJ6NYpykiqym4MVoJ/BARUANZITO.jpg)
NEY UNASTAHILI PONGEZI, WENGINE WAJIFUNZE KWAKO!
KWAKO,Staa wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Ney wa Mitego’. Mambo vipi kamanda? Habari za mishe za town? Bila shaka mambo yanakwenda poa kabisa na mchakamchaka wa maisha unaendelea kama kawa. Kama ndivyo ni vyema. Kwa upande wangu nakwenda sawa, changamoto za hapa na pale kama kawaida, kwenye maisha hazikosekani. Leo nimekukumbuka kwa barua. Najua kidogo utakuwa umeshtuka, maana wengi wanaamini barua zangu zina...
9 years ago
Bongo508 Oct
Wasanii wajifunze kuimba muziki wa live kwendana na mabadiliko — Barnaba
Mwimbaji na mwandishi mahiri wa nyimbo, Barnaba amewashauri wasanii wenzake kujifunza kutumbuiza muziki wa live wanapokuwa kwenye majukwaa. Barnaba anafahamika kwa uwezo wake mkubwa wa kutumia vyombo mbalimbali vya muziki na ni miongoni mwa wasanii waliolelewa na kukuzwa na nyumba ya vipaji Tanzania – THT. Akizungumza kupitia Planet Bongo ya EA Radio, Barnaba amesema kutokana […]
10 years ago
Mwananchi25 Jun
Wakulima wajifunze kutumia fursa za viwanda vinavyosindika mazao nchini
Pareto ni zao la muhimu linalostawi nchini, lakini haliliwi kwa wingi. Kwa Tanzania zao hilo linalimwa katika wilaya 16 za mikoa ya Mbeya, Njombe, Iringa, Manyara, Arusha na Kilimanjaro sehemu za Wilaya ya Hai.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania