Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kinana akemea wapambe kufitinisha wanasiasa

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman KinanaKATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amekemea wapambe katika siasa na kusema ndiyo chanzo cha kufarakanisha viongozi wakisaka riziki zao.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mkuu wa majeshi Burundi akemea wanasiasa

Mkuu wa majeshi ya Burundi Meja Jenerali Prime Niyongabo amewaonya wanasiasa kutotumia majeshi hayo kwa faida yao

 

10 years ago

Habarileo

Kinana akemea wapimaji viwanja wanaokula rushwa

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman KinanaKATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amekemea watu wanaotumia upimaji na ugawaji viwanja kama fursa ya kutengeneza ulaji.

 

11 years ago

Habarileo

Kinana- Wanasiasa wajifunze kilichotokea Scotland

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana amesema kushindwa kwa kampeni za kutaka kujitenga kwa Scotland kutoka Himaya ya Ufalme wa Uingereza ni fundisho kwa wanasiasa nchini kwa kuona wana haki ya kusema au kufanya maamuzi kwa niaba ya wananchi.

 

10 years ago

Mwananchi

Shikamoo wapambe

Napenda sana vipindi vya redio wakati wa Krismasi au sherehe zingine kubwa. Eti watangazaji wanazunguka na kuwauliza watu wamejiandaa vipi kwa ajili ya sikukuu yenyewe. Kila mahali wahojiwa wanatamba kwamba wamejiandaa vilivyo hivyo pilao na kuku, au mbuzi au nini sijui haiwezi kukosekana.

 

11 years ago

Mwananchi

Zitto: Wapambe wametufitini na Mbowe

Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe ameeleza tofauti yake na mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, akisema imesababishwa na watu aliowaita wapambe.

 

10 years ago

Mwananchi

Wapambe wanogesha kampeni Lowassa, Magufuli

Wakati wagombea urais wa vyama vya CCM na Chadema wakijikita kwenye ahadi za mambo watakayofanya iwapo watachaguliwa, wapambe wao wameendelea kufanya kazi ya kujibu kutuma mashambulizi kwenye kampeni kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu zinazoendelea kote nchini.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanaume wapambe.Je wewe ni mmoja wao?

Kumekuwa na hii kasumba ya wanaume kujipamba kuhu sekta ya urembo ikiendelea kukuwa sio duniani kote tu bali mabadiliko mengi yanashuhudiwa Afrika

 

11 years ago

GPL

WAPAMBE WAMFUATA VICKY KAMATA WODINI

Stori: Waandishi Wetu
MAMBO yanazidi kuwa mambo kuhusu ile ndoa ya Mbunge Vicky Kamata iliyoyeyuka katika dakika za majeruhi, safari hii Risasi Mchanganyiko limefanikiwa kuwanasa baadhi ya wapambe ambao walitakiwa kuwa kwenye msafara wa harusi hiyo kutoka kanisani hadi ukumbini. Baadhi ya wapambe waliotakiwa kuwepo katika harusi ya Vicky Kamata walipomtembelea wodini Wapambe hao walitia timu kwenye wodi aliyokuwa amelazwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Vijembe, kejeli za wapambe vitaweza kuisaidia Zanzibar?

Ikiwa ni miaka miwili tangu kuundwa kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK), Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amefanya ziara ya kwanza ya kichama visiwani humo akianzia Wilaya ya Mjini

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani