Shikamoo wapambe
Napenda sana vipindi vya redio wakati wa Krismasi au sherehe zingine kubwa. Eti watangazaji wanazunguka na kuwauliza watu wamejiandaa vipi kwa ajili ya sikukuu yenyewe. Kila mahali wahojiwa wanatamba kwamba wamejiandaa vilivyo hivyo pilao na kuku, au mbuzi au nini sijui haiwezi kukosekana.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania15 Aug
Shikamoo Lowassa
Fredy Azzah na Pendo Fundisha, Mbeya
WATOTO wa mjini wangesema Shikamoo Lowassa. Tunasema hivyo kwani amri ya Jeshi la Polisi nchini inayopiga marufuku maandamano nchi nzima hadi baada ya Uchaguzi Mkuu, haikuweza kufua dafu wakati mgombea wa urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, alipoliteka Jiji la Mbeya kwa saa kadhaa jana.
Yalikuwa ni maandamano makubwa yasiyo rasmi pale wananchi walipojitokeza kumpokea Waziri Mkuu huyo wa zamani, wakati alipowasili...
10 years ago
Mwananchi08 Sep
Zitto: Wapambe wametufitini na Mbowe
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx*Z0iDsH*EVMrorcBnLIZzFF1VnNB3PF0GydrOY98zFvgUc*w*Qs7aEC8C1itrpAekk-es7ossqalCxCM4AlhxI/b.jpg)
TUZO ZA ZIFF: FILAMU YA SHAHADA NA SHIKAMOO MZEE ZAIBUKA NA TUZO
9 years ago
Mwananchi27 Sep
Wapambe wanogesha kampeni Lowassa, Magufuli
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/uxLbwSVx3LuODjBO6Ur5tQvUxUwWX-GbzkaYQ5UTSPXAQRBfnqKw9aHgXHO4QWjpqivU4SggHtfAnTXgemIv*55eME3-Umab/vicky.jpg)
WAPAMBE WAMFUATA VICKY KAMATA WODINI
10 years ago
Habarileo11 Jun
Kinana akemea wapambe kufitinisha wanasiasa
KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana, amekemea wapambe katika siasa na kusema ndiyo chanzo cha kufarakanisha viongozi wakisaka riziki zao.
10 years ago
BBCSwahili05 Dec
Wanaume wapambe.Je wewe ni mmoja wao?
10 years ago
Mwananchi22 Apr
Vijembe, kejeli za wapambe vitaweza kuisaidia Zanzibar?
11 years ago
Tanzania Daima04 May
JB amkabidhi Mzee Majuto tuzo ya ‘Shikamoo Mzee’
MSANII wa filamu za Bongo, Jacob Stephen ‘JB’ ameamua kumkabidhi mkongwe wa tasnia hiyo, Mzee Majuto tuzo ya ZIFF aliyoshinda mwaka huu kupitia filamu yake ya ‘Shikamoo Mzee’ kama heshima...