Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanaume wapambe.Je wewe ni mmoja wao?

Kumekuwa na hii kasumba ya wanaume kujipamba kuhu sekta ya urembo ikiendelea kukuwa sio duniani kote tu bali mabadiliko mengi yanashuhudiwa Afrika

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Nape; Wanaotaka urais CCM, wapambe wao wanaoneza taarifa za uongo kuadhibiwa

IMG_7140

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari, Katika Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar, kuhusu moja ya maamuzi ya Kamati Kuu ya CCM, ya kuwataka wanaotaka kuwania urais kupitia CCM na wapambe wao kuacha kueneza taarifa za uongo kwenye vyombo vya habari na kwamba atakayebainika kufanya hivyo atachukulia hatua kali za kinidhamu.

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akisisitiza jambo katika mkutano huo na waandishi uliofanyika katika Ofisi...

 

10 years ago

Vijimambo

CCM HAITARUHUSU WANUNUA URAIS 2015 WAPAMBE WAO WANAOENEZA TAARIFA ZA UONGO KUADHIBIWA

Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Ndg, Nape Mnauye, akisisitiza jambo wakati akizungumza na waandishi wa habari wa vyombo mbalimbali Zanzibar, katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Zanziba.Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Ndugu Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari leo asubuhi katika ofisi kuu ya CCM Kisiwandui Zanzibar juu ya ratiba ya mchakato wa kupata wagombea ndani ya chama katika uchaguzi ujao na kikao cha kamati ndogo ya maadili ya CCM iliyofanya kikao chake jana na...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Ukiwa na itikadi tafauti na ccm basi wewe ni Adui wao

Watch “21 August 2015″ on YouTube – https://youtu.be/3PnfVjEiVr4 Watch “23 August 2015″ on YouTube – https://youtu.be/PdpXnAaVdfg

The post Ukiwa na itikadi tafauti na ccm basi wewe ni Adui wao appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Mwananchi

Wanaume kuwakacha wapenzi wao

Wanawake nchini England na duniani wanajiandaa kwa ajili ya mapumziko ya kimapenzi kutoka kwa waume na wapenzi wao, ambao sasa watazigeukia runinga zao kwa ajili ya Kombe la Dunia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanaume zaidi ya mmoja hulipia ngono UK

Zaidi ya mwanaume mmoja kati ya 10 wanaelezwa kulipia vitendo vya ngono, utafiti kuhusu tabia za ngono nchini Uingereza.

 

10 years ago

Raia Mwema

Ni mmoja wao

WAZIRI wa Ujenzi, Dk.

Ezekiel Kamwaga

 

10 years ago

Mwananchi

Wanaume nao wanaweza kunyonyesha watoto wao

Unaingia katika nyumba ya rafiki yako Jumanne Mwesiga na macho yako yanakutana ana kwa ana na Mwesiga akimnyonyesha mtoto wake mchanga mwenye umri wa miezi miwili.

 

10 years ago

Habarileo

Tuhuma za wanaume Rombo zamfadhaisha mbunge wao

Mbunge wa Rombo, Joseph Selasini.MADAI ya wanawake wa wilaya ya Rombo, Kilimanjaro, kukodi wanaume kutoka nchini Kenya, baada ya kukosa huduma za ndoa kutoka kwa waume zao kwa muda mrefu, kutokana na ulevi wa gongo uliopindukia, zimemfadhaisha Mbunge wao, Joseph Selasini (Chadema).

 

11 years ago

Habarileo

Wanaume waaswa kusindikiza wenza wao kliniki

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel BenderaWANAUME wamehimizwa kuwasindikiza wenza wao ambao ni wajawazito kliniki wakati wa kupima afya zao na kuwa nao karibu wakati wote wa malezi ya watoto wao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani