Vijembe, kejeli za wapambe vitaweza kuisaidia Zanzibar?
Ikiwa ni miaka miwili tangu kuundwa kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK), Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amefanya ziara ya kwanza ya kichama visiwani humo akianzia Wilaya ya Mjini
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima04 May
Hatutaki vijembe, kejeli Bunge la Bajeti
KESHOKUTWA vikao vya Bunge la Bajeti ya mwaka 2014/2015 vinaanza mkoani Dodoma ambapo serikali imetoa mwelekeo wa bajeti ambao unafikia sh trilioni 19.6 ikilinganishwa na sh trilioni 18.2 za mwaka...
11 years ago
Mwananchi20 Apr
Mjadala huu wa matusi, kejeli, vijembe, hauna tija
10 years ago
Habarileo28 Mar
China yaahidi kuendelea kuisaidia Zanzibar
SERIKALI ya Jamhuri ya Watu wa China, imeahidi kuendelea kuunga mkono Zanzibar katika kuimarisha miradi yake ya maendeleo na ushirikiano wa muda mrefu ulioasisiwa na viongozi wake wakuu.
10 years ago
VijimamboUNODC KUISAIDIA ZANZIBAR KUPAMBANA NA DAWA ZA KULEVYA KWA JAMII
Shirika la Umoja wa Mataifa la Kupambana na Dawa za Kulevya na Uhalifu (UNODC) limesema litafanya tathmini ya kina kupata njia muafaka za kuisaidia Zanzibar kukabiliana na biashara, matumizi na athari za dawa za kulevya kwa jamii.
Hayo yamesema...
10 years ago
Dewji Blog09 Feb
Balozi Seif Iddi aipongeza USAID kwa kuisaidia Zanzibar katika kukabiliana na majanga
Kamanda Philip Knightsheen akitoa salamu za Shirika lake linalosimamia huduma za Kibinaadamu na Afya la Usafricom kwenye mafunzo ya siku tano ya zoaezi la kukabiliana na maafa Zanzibar katika Zanzibar Beach Resort Mazizini.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi ameipongeza Serikali ya Watu wa Marekani kupitia Shirika lake la Misaada ya Maendeleo la Us aid kwa jitihada zake za kuisaidia Zanzibar katika mipango yake ya kutafuta mbinu za kuwa tayari kwa kukabilana na maafa...
9 years ago
Habarileo04 Jan
Wapuuza kejeli uteuzi makatibu
WADAU wa masuala ya siasa nchini wameeleza kuridhishwa na uteuzi wa idadi kubwa ya makatibu wakuu huku wakisisitiza kwamba Rais John Magufuli apewe muda pamoja na Baraza lake la Mawaziri wafanye kazi hatimaye wapimwe kwa ufanisi wao na si kwa ukubwa au udogo wa baraza.
10 years ago
Mwananchi28 Dec
Shikamoo wapambe
11 years ago
Mwananchi21 Dec
Makamba aonya kejeli, kashfa kwa wabunge
10 years ago
Mwananchi01 Jul
MAONI : Akidi kupimwa kwa jicho la Spika ni kejeli