Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vijembe, kejeli za wapambe vitaweza kuisaidia Zanzibar?

Ikiwa ni miaka miwili tangu kuundwa kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK), Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amefanya ziara ya kwanza ya kichama visiwani humo akianzia Wilaya ya Mjini

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Hatutaki vijembe, kejeli Bunge la Bajeti

KESHOKUTWA vikao vya Bunge la Bajeti ya mwaka 2014/2015 vinaanza mkoani Dodoma ambapo serikali imetoa mwelekeo wa bajeti ambao unafikia sh trilioni 19.6 ikilinganishwa na sh trilioni 18.2 za mwaka...

 

11 years ago

Mwananchi

Mjadala huu wa matusi, kejeli, vijembe, hauna tija

Lugha ya Kiswahili ina utajiri mkubwa wa misemo, nami ambaye ni mswahili kindakindaki, hupenda kuitumia misemo hiyo ninapotaka kujenga hoja.

 

10 years ago

Habarileo

China yaahidi kuendelea kuisaidia Zanzibar

SERIKALI ya Jamhuri ya Watu wa China, imeahidi kuendelea kuunga mkono Zanzibar katika kuimarisha miradi yake ya maendeleo na ushirikiano wa muda mrefu ulioasisiwa na viongozi wake wakuu.

 

10 years ago

Vijimambo

UNODC KUISAIDIA ZANZIBAR KUPAMBANA NA DAWA ZA KULEVYA KWA JAMII

Kiongozi wa ujumbe kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la Kupambana na Dawa za Kulevya na Uhalifu, Jose Vila Del Castillo akimsikiliza kwa umakini Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad alipofika ofisini kwake Migombani.

Shirika la Umoja wa Mataifa la Kupambana na Dawa za Kulevya na Uhalifu (UNODC) limesema litafanya tathmini ya kina kupata njia muafaka za kuisaidia Zanzibar kukabiliana na biashara, matumizi na athari za dawa za kulevya kwa jamii. 

Hayo yamesema...

 

10 years ago

Dewji Blog

Balozi Seif Iddi aipongeza USAID kwa kuisaidia Zanzibar katika kukabiliana na majanga

653

Kamanda Philip Knightsheen akitoa salamu za Shirika lake linalosimamia huduma za Kibinaadamu  na Afya la Usafricom  kwenye mafunzo ya siku tano ya zoaezi la kukabiliana na maafa Zanzibar katika Zanzibar Beach Resort Mazizini.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi ameipongeza Serikali ya Watu wa Marekani kupitia Shirika lake la Misaada ya Maendeleo la Us aid kwa jitihada zake za kuisaidia Zanzibar katika mipango yake ya kutafuta mbinu za kuwa tayari kwa kukabilana na maafa...

 

9 years ago

Habarileo

Wapuuza kejeli uteuzi makatibu

WADAU wa masuala ya siasa nchini wameeleza kuridhishwa na uteuzi wa idadi kubwa ya makatibu wakuu huku wakisisitiza kwamba Rais John Magufuli apewe muda pamoja na Baraza lake la Mawaziri wafanye kazi hatimaye wapimwe kwa ufanisi wao na si kwa ukubwa au udogo wa baraza.

 

10 years ago

Mwananchi

Shikamoo wapambe

Napenda sana vipindi vya redio wakati wa Krismasi au sherehe zingine kubwa. Eti watangazaji wanazunguka na kuwauliza watu wamejiandaa vipi kwa ajili ya sikukuu yenyewe. Kila mahali wahojiwa wanatamba kwamba wamejiandaa vilivyo hivyo pilao na kuku, au mbuzi au nini sijui haiwezi kukosekana.

 

11 years ago

Mwananchi

Makamba aonya kejeli, kashfa kwa wabunge

>Naibu Waziri wa Sayansi, Mawasiliano na Teknolojia, January Makamba amesema wapo mawaziri wana maumbile ya kobe hata wacheze namna gani hawaonekani, huku akiwataka wabunge wenzake kuheshimiana badala ya kukejeliana na kukashifiana.

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI : Akidi kupimwa kwa jicho la Spika ni kejeli

Gazeti hili toleo la jana lilikuwa na habari iliyosema wabunge 33 ndiyo waliopitisha Muswada wa Benki ya Posta Tanzania. Idadi hiyo ni ndogo ikilinganishwa na idadi ya wabunge wote ambao ni 356 na nusu yao ni 178. Mahudhurio duni bungeni yameanza kukithiri katika Bunge hili la 10 na kuzoeleka kama tabia au utamaduni mpya wa wabunge.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani