Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hatutaki vijembe, kejeli Bunge la Bajeti

KESHOKUTWA vikao vya Bunge la Bajeti ya mwaka 2014/2015 vinaanza mkoani Dodoma ambapo serikali imetoa mwelekeo wa bajeti ambao unafikia sh trilioni 19.6 ikilinganishwa na sh trilioni 18.2 za mwaka...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Bunge la Bajeti 2014/2015: lisiwe la Vurugu, Matusi na Kejeli

Waziri Mkuu Mizengo Pinda akifunga Bunge  leo twasira ya muono wa Mandhari ilivyokuwa.

Tamko Vikao Vya Bajeti 20142015 by moblog

 

10 years ago

Mwananchi

Vijembe, kejeli za wapambe vitaweza kuisaidia Zanzibar?

Ikiwa ni miaka miwili tangu kuundwa kwa Serikali ya Umoja wa Kitaifa (SUK), Rais wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amefanya ziara ya kwanza ya kichama visiwani humo akianzia Wilaya ya Mjini

 

11 years ago

Mwananchi

Mjadala huu wa matusi, kejeli, vijembe, hauna tija

Lugha ya Kiswahili ina utajiri mkubwa wa misemo, nami ambaye ni mswahili kindakindaki, hupenda kuitumia misemo hiyo ninapotaka kujenga hoja.

 

11 years ago

Mwananchi

Matusi, vijembe, vyatawala Bunge

Bunge Maalumu la Katiba limeendelea kutawaliwa na vijembe na mipasho, huku baadhi ya wajumbe wakitambiana kujua misemo, mbinu na nahau na kuacha kujadili mambo ya msingi.

 

10 years ago

Mwananchi

Sitta awarushia vijembe wanaoponda bunge

Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta jana aliwatupia vijembe watu aliodai wanamkejeli na kumtukana baada ya Bunge hilo kuendelea na vikao vyake.

 

11 years ago

Mwananchi

Mzimu wa Bunge la Katiba watikisa Bunge la Bajeti

Bunge Maalumu la Katiba liko katika mapumziko hadi Agosti 5 mwaka huu, hatua ambayo ilifikiwa kwa lengo la kupisha uendeshaji wa Bunge la Bajeti.

 

11 years ago

Michuzi

KAMATI YA UONGOZI YA BUNGE YAKUTANA NA SERIKALI PAMOJA NA KAMATI YA BUNGE YA BAJETI MJINI DODOMA LEO

 Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiongoza kikao cha pamoja baina ya Serikali, Kamati ya Uongozi pamoja na Kamati ya Bunge ya Bajeti ikiwa ni kikao cha maridhiano kuhusu Bajeti ya Serikali kwa mwaka 2014/2014. kikao hicho kiliudhuriwa pia na Waziri Mkuu Mhe. Mizengo Kayanza Pinda, Mwanasheria Mkuu wa Serikali na Waziri wa Fedha Mhe. Saada Mkuya. Picha kwa hisani ya Bunge  Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiongoza kikao cha pamoja baina ya Serikali, Kamati ya Uongozi pamoja na Kamati ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Bunge la Bajeti mchakamchaka

Bunge la Bajeti ya Serikali ya 2015/16 linaanza leo mjini Dodoma kwa mwendo wa mchakamchaka kutokana na kuongezwa saa mbili kila siku ili limalizike Juni 27.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani