Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sitta awarushia vijembe wanaoponda bunge

Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta jana aliwatupia vijembe watu aliodai wanamkejeli na kumtukana baada ya Bunge hilo kuendelea na vikao vyake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kapuya, Misanga wampiga vijembe Sitta

 Utani wa Simba na Yanga ni sehemu ya kukumbukwa na Watanzania katika shughuli za Bunge Maalumu la Katiba linalotarajiwa kumalizika siku chache zijazo.

 

11 years ago

GPL

KINGUNGE: WANAOPONDA UTEUZI WANGU BUNGE LA KATIBA WAMEUMBUKA

Kingunge Ngombale Mwiru. Na Mwandishi Wetu, Dodoma
Veterani wa siasa nchini, Kingunge Ngombale Mwiru, amesema kuwa wote walioponda uteuzi wake katika Bunge la Katiba, wameumbuka na sasa anachokitazama ni kuijenga nchi imara kupitia Katiba Mpya. Kigunge alisema, habebwi na Rais Jakaya Kikwete na kwamba tamko la Chama cha Waganga wa Jadi nchini kuwa yeye ndiye mwakilishi wao, limewaumbua wote waliokuwa wanaponda uteuzi...

 

11 years ago

Mwananchi

Matusi, vijembe, vyatawala Bunge

Bunge Maalumu la Katiba limeendelea kutawaliwa na vijembe na mipasho, huku baadhi ya wajumbe wakitambiana kujua misemo, mbinu na nahau na kuacha kujadili mambo ya msingi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hatutaki vijembe, kejeli Bunge la Bajeti

KESHOKUTWA vikao vya Bunge la Bajeti ya mwaka 2014/2015 vinaanza mkoani Dodoma ambapo serikali imetoa mwelekeo wa bajeti ambao unafikia sh trilioni 19.6 ikilinganishwa na sh trilioni 18.2 za mwaka...

 

11 years ago

Habarileo

Sitta na Bunge la Maridhiano

Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta (kulia) akipongezwa na Mjumbe Edward Lowassa baada ya kujieleza kuwania nafasi ya Uenyekiti wa Bunge hilo. Uchaguzi huo ulifanyika jana na Sitta alishinda. (Picha na Mroki Mroki).MWENYEKITI mteule wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta ameonesha wazi kuwa ataongoza Bunge hilo kwa maridhiano, baada ya kueleza kundi lililokuwa nyuma yake wakati wa kampeni.

 

11 years ago

Habarileo

Busara za Sitta zaokoa Bunge

MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta jana alilazimika kutumia busara ili kuepusha Bunge hilo kuvunjika kutokana na kujitokeza kwa dosari mbalimbali wakati kamati zikiwasilisha maoni ya mijadala ya sura ya kwanza na ya sita ya rasimu ya Katiba mpya.

 

10 years ago

Habarileo

Sitta- Kusitisha Bunge Maalum hasara

MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta amesema iwapo Bunge hilo litasitishwa fedha zote za wananchi zilizotumika tangu kuanza kwa mchakato huo miaka mitatu iliyopita zitakuwa zimeteketea bure.

 

11 years ago

Dewji Blog

Bunge Maalum la Katiba kuendelea — SITTA

2 (1)

Katibu wa Bunge Maalum la Katiba, Yahaya Khamis  akizungumza na waandishi wa habari  jana (hawapo pichani) kuhusu  kuendelea kwa  Bunge Maalum la Katiba kwa niaba ya Mwenyekiti  wa Bunge hilo, Samuel Sitta   katika ukumbi wa mikutano  wa ofisi ndogo za Bunge  jijini  Dares Salaam.

3

Baadhi ya waandishi wa habari wakimsikiliza  Katibu wa Bunge Maalum la Katiba, Yahaya Khamis akizungumza na waandishi wa habari jana  (hawapo pichani) kuhusu  kuendelea kwa  Bunge Maalum la Katiba kwa niaba ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vita ya Sitta, Chenge yavuruga Bunge

HARAKATI za Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta na Mwanasheria Mkuu wa zamani wa Serikali, Andrew Chenge kutaka kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, zimeelezwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani