Shikamoo Lowassa
Fredy Azzah na Pendo Fundisha, Mbeya
WATOTO wa mjini wangesema Shikamoo Lowassa. Tunasema hivyo kwani amri ya Jeshi la Polisi nchini inayopiga marufuku maandamano nchi nzima hadi baada ya Uchaguzi Mkuu, haikuweza kufua dafu wakati mgombea wa urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, alipoliteka Jiji la Mbeya kwa saa kadhaa jana.
Yalikuwa ni maandamano makubwa yasiyo rasmi pale wananchi walipojitokeza kumpokea Waziri Mkuu huyo wa zamani, wakati alipowasili...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi28 Dec
Shikamoo wapambe
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y-6c8O6EPx*Z0iDsH*EVMrorcBnLIZzFF1VnNB3PF0GydrOY98zFvgUc*w*Qs7aEC8C1itrpAekk-es7ossqalCxCM4AlhxI/b.jpg)
TUZO ZA ZIFF: FILAMU YA SHAHADA NA SHIKAMOO MZEE ZAIBUKA NA TUZO
11 years ago
Tanzania Daima04 May
JB amkabidhi Mzee Majuto tuzo ya ‘Shikamoo Mzee’
MSANII wa filamu za Bongo, Jacob Stephen ‘JB’ ameamua kumkabidhi mkongwe wa tasnia hiyo, Mzee Majuto tuzo ya ZIFF aliyoshinda mwaka huu kupitia filamu yake ya ‘Shikamoo Mzee’ kama heshima...
10 years ago
Vijimambo12 Aug
Lowassa ni mbinafsi “Watanzania mnatakiwa kufahamu kuwa mnapokutana na Lowassa, Ninyi sio kitu bali kitu ni Lowassa,”
![](http://i1.wp.com/dar24.com/wp-content/uploads/2015/08/polepole.jpg?resize=702%2C702)
HAMFREY POLEPOLE AMGALAGAZA VIBAYA MCHUNGAJI MSIGWA KWENYE MDAHARO
![](http://i2.wp.com/dar24.com/wp-content/uploads/2015/08/Msigwa.jpg?resize=595%2C300)