SERIKALI YAWAKATA WAKULIMA SHINYAGA KUCHANGAMKIA FURSA ZA VIWANDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ye2h3bm12ZY/XsPMGzLorlI/AAAAAAALqw8/0SIudsWR7b0XK3nZE6VCsmGMEGfGPsQnQCLcBGAsYHQ/s72-c/23d4b458-5646-4ea1-a6e7-a74fa83b72e6.jpg)
Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe katikati akiangalia mashine ya kuoka mikate iliyobuniwa na Shirika la Viwanda Vidogo Vidogo (SIDO) Tawi la Shinyanga kulia kwake ni Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Bw.Ludovick Nduhiye na Kushoto kwake ni Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Bw. Albert Msovela.
Katibu Mkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Prof. Riziki Shemdoe amoja na Mkurugenzi wa kiwanda kinachozalisha mafuta ya alizeti Gilitu Enterprises Bw....
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziWANAWAKE MKOANI TANGA WATAKIWA KUCHANGAMKIA FURSA YA UCHUMI WA VIWANDA
Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Tanga Specioza Owure akizungumza na waandishi wa habari wakati wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani ambapo kimkoa ilifanyika kwenye viwanja vya Mkwakwani mjini Tanga
Sehemu ya watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Tanga wakiwa kwenye maandamano kuelekea viwanja vya Mkwakwani mjini Tanga
Sehemu ya watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) mkoa wa Tanga wakiwa kwenye maandamano kuelekea viwanja vya Mkwakwani mjini...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-gtxgqskCrYc/XvZEccPtVWI/AAAAAAALvnw/56XQbyLNCXY3PUVVyV_k2SiaBCX4jO4egCLcBGAsYHQ/s72-c/N3.jpg)
WAKULIMA WAASWA KUCHANGAMKIA FURSA YA KILIMO CHA PARACHICHI
![](https://1.bp.blogspot.com/-gtxgqskCrYc/XvZEccPtVWI/AAAAAAALvnw/56XQbyLNCXY3PUVVyV_k2SiaBCX4jO4egCLcBGAsYHQ/s640/N3.jpg)
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Uwekezaji) Mhe. Angellah Kairuki akipata maelezo kuhusu mitambo inayotumika kutengeneza na kusaga zao la parachichi kutoka kwa Meneja Uzalishaji wa kiwanda cha Olivado Bw. Ngukula Lihuluku wakati wa ziara yake katika kiwanda hicho kilichopo Wilaya ya Wanging’ombe Mkoani Njombe.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/N4.jpg)
10 years ago
Mwananchi25 Jun
Wakulima wajifunze kutumia fursa za viwanda vinavyosindika mazao nchini
9 years ago
Habarileo14 Oct
JK aitaka Tanesco kuchangamkia fursa
RAIS Jakaya Kikwete amezindua kituo cha kufua umeme kwa mitambo ya gesi asilia cha Kinyerezi I na kutaka Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), kuchangamkia fursa ya upungufu wa umeme Afrika ili kuwa na uhakika wa mapato.
10 years ago
Habarileo24 Feb
Vijana watakiwa kuchangamkia fursa
VIJANA wametakiwa kuchangamkia fursa mbalimbali za kujiajiri kupitia lugha ya Kiswahili ili kukikuza ndani na nje ya nchi.
10 years ago
Uhuru Newspaper22 Apr
Vijana washauriwa kuchangamkia fursa
Na Genofeva Matemu, Maelezo
VIJANA katika Halmashauri ya Wilaya ya Monduli mkoani Arusha, wametakiwa kuimarisha miradi ya mfano inayokopesheka.
Rai hiyo ilitolewa na mhamasishaji kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Ester Riwa, katika semina ya ujasiriamali iliyofanyika katika Kata ya Monduli Juu.
Alisema Mfuko wa Maendeleo ya Vijana umekuwa ukiwawezesha vijana, hivyo wanatakiwa kubuni miradi ili waweze kukopesheka.
Ester aliwataka vijana kuwa na mwamko utakaowawezesha...
10 years ago
Tanzania Daima31 Oct
Wafanyabiashara wadogo watakiwa kuchangamkia fursa
WAFANYABIASHARA wadogo wadogo wametakiwa kutumia fursa wanazozipata ili kujiendeleza katika biashara zao kwa lengo la kupanua wigo ndani na nje ya nchi. Rai hiyo imetolewa jijini Dar es Salaam jana...
11 years ago
Tanzania Daima21 Jun
Mtwara, Lindi wahimizwa kuchangamkia fursa
WANANCHI wa mikoa ya Lindi na Mtwara, wametakiwa kuchangamkia fursa zinazotokana na kuongezeka kwa uwekezaji katika mikoa hiyo kutokana na kugundulika kwa gesi asilia. Akizungumza na Waandishi wa Habari katika...
11 years ago
Tanzania Daima28 May
Wanawake Mtwara watakiwa kuchangamkia fursa
WANAWAKE mkoani Mtwara wametakiwa kuchangamkia fursa za ujasiriliamali kutokana na wingi wa watu na makampuni ya uwekezaji. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake jana, Mwenyekiti wa muda wa Taasisi...