Mkutano wa Wadau wa sekta ya Mbolea nchini
![](http://3.bp.blogspot.com/-qjhLiWeZ-hA/Ve9XwNztiRI/AAAAAAAD6tE/djIDryqC5Pc/s72-c/01..jpg)
Mgeni Rasmi Mkuu wa Kitengo cha Uratibu wa Misaada ya Maendeleo na Mashirikiano ya Kimataifa ambaye pia ni Mchumi Mkuu Bi. Magret Ndaba akitoa hotuba ya ufunguzi wa mkutano wa wadau wa sekta ya mbolea nchini kwa niaba ya Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika Bibi Sophia Kaduma leo jijini Dar es salaam.
Baadhi ya washiriki wa mkutano wa wadau wa sekta ya mbolea nchini wakifuatilia mkutano wa wadau hao ulifanyika leo jiji Dar es Salaam.
Baadhi ya washiriki wa mkutano wa wadau wa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GBviTye4gMo/VlcXH4cbmDI/AAAAAAAAABw/vEIx6JjZ5uM/s72-c/IMG_1452.jpg)
WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YAFANYA MKUTANO NA WADAU WA SEKTA YA MALIASILI NCHINI KUJADILI MAENDELEO YA SEKTA HIYO
![](http://3.bp.blogspot.com/-GBviTye4gMo/VlcXH4cbmDI/AAAAAAAAABw/vEIx6JjZ5uM/s640/IMG_1452.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s72-c/IMG_2076.jpg)
MKUTANO WA WADAU WA UHAMASISHAJI WA UBIA BAINA YA SEKTA YA UMMA NA SEKTA BINAFSI (PPP) KATIKA SEKTA AFYA MKOANI RUKWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-GnUsR_MKBhc/U4NwzVNRxfI/AAAAAAAAFhY/Q83piHWQevw/s1600/IMG_2076.jpg)
10 years ago
Michuzi13 Nov
WADAU WA SEKTA YA USAFIRI WA ANGA WAKUTANA KUJADILI MAENDELEO YA SEKTA HIYO NCHINI
![](https://4.bp.blogspot.com/-ay8G_yplW7M/VGSHZhCggfI/AAAAAAAGw5k/5rZ7lAeR95A/s640/unnamed%2B(98).jpg)
![](https://2.bp.blogspot.com/-j5fMPNzgTq8/VGSHaPy9KvI/AAAAAAAGw5o/r5C03qkBImA/s640/unnamed%2B(99).jpg)
![](https://3.bp.blogspot.com/-cWGRtxNKf8U/VGSHcHY5H1I/AAAAAAAGw50/sNkGF-GyM1E/s640/unnamed.jpg)
9 years ago
Dewji Blog07 Dec
HDP yakutanisha wadau wa sekta ya utalii katika mkutano wa pili wa kukuza sekta ya ukarimu na utalii
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Adelhelm Meru.
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Shirika la Kimataifa la Ukarimu na Utalii (HDP) kwa kushirikiana na Wamiliki wa Hoteli Tanzania (HAT) wamefanya mkutano wa kukutanisha wadau mbalimbali wa sekta ya utalii kujadili mambo mbalimbali yanayohusu maendeleo ya sekta hiyo.
Akizungumzia mkutano huo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Adelhelm Meru amesema mashirika hayo yamefanya mkutano huo kwa awamu ya pili kwa ajili ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-B82OVzKzj0I/Xl69uxiMzuI/AAAAAAALgyQ/mXMQ51av8qA99gAtd8_LNIbfwy0WjbMLwCLcBGAsYHQ/s72-c/N-1.jpg)
MATUKIO KATIKA PICHA: MKUTANO WA MAKATIBU WAKUU, MAAFISA WAANDAMIZI NA WADAU WA UTATU WA SADC SEKTA YA KAZI NA AJIRA
![](https://1.bp.blogspot.com/-B82OVzKzj0I/Xl69uxiMzuI/AAAAAAALgyQ/mXMQ51av8qA99gAtd8_LNIbfwy0WjbMLwCLcBGAsYHQ/s640/N-1.jpg)
9 years ago
Dewji Blog09 Sep
Forum CC wakutana na wadau kujadili fedha za utafiti zinazopelekwa sekta ya Kilimo na mifugo nchini
Mwenyekiti wa bodi ya ForumCC, Euster Kibona akifungua semina ya kujadili ripoti ya matumizi ya fedha za misaada hasa kwenye mabadiliko ya tabianchi iliyofanyika jana jijini Dar.
Mratibu wa Forum CC, Rebecca Muna akitoa maelezo kuhusu ForumCC kwenye semina na wadau wa mazingira waliofika kujadili changamoto za bajeti ya mabadiliko ya tabianchi ambayo imewashirikisha baadhi ya wadau wa mazingira hapa nchini na nje ya nchi.
Judy Ndichu ambaye ni mjumbe wa mazingira kutoka nchini Kenya...
10 years ago
Dewji Blog11 Jul
Wadau wa sekta ya Bima nchini waaswa kushirikiana na TRA kutekeleza sheria mpya ya kodi
Naibu Kamishna wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Lusekelo Mwaseba akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua semina ya wadau wa bima kuhusu sheria mpya ya kodi ya mwaka 2014 ambayo imeanza kutumika Julai Mosi mwaka huu.(Picha na Eleuteri Mangi- MAELEZO).
Na Eleuteri Mangi- MAELEZO
Wadau wa sekta ya Bima nchini wameaswa kushirikiana na Serikali kutekeleza sheria mpya ya kodi ya mwaka 2014 ili waweze kutoa huduma kwa jamii yenye tija kwa wakati na kulipa kodi stahiki.
Kauli...
10 years ago
MichuziNAIBU KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI AFUNGUA MKUTANO WA WADAU WA SEKTA YA TEKNOLOJIA YA USALAMA KUTOKA UJERUMANI NA TANZANIA ULIOANZA LEO