Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HII NDIYO SINEMA KAMILI UGAIDI MORO!

Stori: Dustan Shekidele, Morogoro
Wakazi wa Wilaya ya Kilombero mkoani hapa, wametoboa siri ya tukio linaloonesha picha ya ugaidi lililotokea Mei Mosi, mwaka huu huku askari mgambo Thomas Manjole (54) aliyejeruhiwa  na bomu la kurushwa akisimulia mkasa mzima jinsi alivyopambana. Askari mgambo Thomas Manjole akiwa na majeraha, hospitalini. Tukio hilo limetokea ikiwa ni takriban wiki mbili tangu Jeshi la Polisi Mkoa wa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Droo ya makundi ya Euro 2016 yafanyika, hii ndiyo listi kamili ya makundi hayo

uefa euro 2016

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Chama cha Soka cha Ulaya kimefanya droo ya makundi ya mashindano ya Euro 2016 ambayo yanashirikisha nchi 24 kutoka Ulaya na yanatarajiwa kufanyika nchini Ufaransa kuanzia mwezi Juni mwakani. Modewjiblog imekuandalia listi kamili ya hatua hiyo ya makundi;

GROUP A;

Ufaransa

Romania

Albania

Switzerland

GROUP B;

Uingereza

Urusi

Wales

Slovakia

GROUP C;

Ujerumani

Ukraine

Poland

Northern Ireland

GROUP D;

Hispania

Jamhuri ya Czech

Uturuki

Croatia

GROUP E;

Belgium

Italia

Jamhuri...

 

10 years ago

GPL

A-Z UGAIDI WA MORO

Na Waandishi Wetu
HII ndiyo A-Z ya wale watu tisa wanaoshikiliwa na polisi jijini Dar baada ya kukamatwa msikitini wakiwa na milipuko 30, sare za jeshi na bendera nyeusi inayodaiwa kutumiwa na kundi la wapiganaji wa Al Shabaab. Mmoja kati ya watu hao (wa kumi), Hamad Makweka aliuawa. Polisi wakimjulia hali mwenzao aliyekatwa na sime shingoni. Watu hao walikamatwa Aprili 14, mwaka huu saa 3:30 usiku katika Kitongoji cha...

 

10 years ago

Habarileo

Watuhumiwa 25 wa ugaidi kortini Moro

Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Morogoro, Leonard Paulo.WATU 25 wanaotuhumiwa kwa vitendo vya ugaidi katika Tarafa ya Kidatu wilayani Kilombero mkoa wa Morogoro, wamepandishwa kizimbani.

 

10 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI: Tumechoka na sinema hii ya wabunge

>Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni mhimili mmojawapo kati ya mihimili mitatu ya dola.

 

10 years ago

Mwananchi

Ufisadi duniani ndiyo mbolea ya ugaidi

Nchini Nigeria mwanajeshi hunyongwa anapokataa kupigana dhidi ya kundi la kigaidi la Boko Haram.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani