Aliyefichua kanda ya Jay-Z akishambuliwa afutwa kazi
Mfanyakazi aliyefichua kanda inayoonyesha mwanamuziki Jay Z akishambuliwa na shemeji yake , amefutwa kazi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili31 Oct
Kocha wa Cameroon afutwa kazi
Kocha wa timu ya taifa ya soka ya Cameroon Volke Finke amefutwa kazi baada ya taifa hilo kuandikisha msururu wa matokeo mabaya.
10 years ago
BBCSwahili29 Jul
Miguel Herrera afutwa kazi
Kocha kutoka Mexico, Miguel Herrera amefukuzwa kazi baada ya kumshambulia mwandishi wa habari wa kituo kimoja cha luninga.
11 years ago
BBCSwahili05 Feb
Laudrup afutwa kazi na Swansea
Uvumi wasambaa kuhusu hatma ya Laudrup baada ya Swansea kushindwa 2-0 na West Ham .
11 years ago
BBCSwahili27 Dec
9 years ago
BBCSwahili06 Nov
Makamu wa rais wa Maldives afutwa kazi
Bunge nchini Maldives limepiga kura kumfuta kazi Makamu wa Rais Ahmed Adeeb ambaye alikamatwa majuzi kwa tuhuma za uhaini.
10 years ago
BBCSwahili23 Dec
Anna Tibaijuka afutwa kazi hadharani
Kashfa ya uchotwaji wa fedha za akaunti ya Escrow imemwondoa kigogo wa pili nchini Tanzania na Rais Kikwete kutangaza kwamba atateua mtu mwingine kuchukua nafasi hiyo.
10 years ago
BBCSwahili18 Mar
Makamu wa rais wa S Leone afutwa kazi
Rais wa Sierra Leone Ernest Bai Koroma amemfuta kazi makamu wa rais kwa kutafuta hifadhi katika ubalozi wa kigeni nchini humo.
9 years ago
BBCSwahili29 Dec
Afutwa kazi baada ya wafungwa kutoroka
Mkuu wa huduma ya magereza katika mji Buenos Aires Argentina amefutwa kazi baada ya wafungwa watatu mashuhuri kutoroka kutoka gereza lenye ulinzi mkali siku ya Jumapili.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania