Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Miguel Herrera afutwa kazi

Kocha kutoka Mexico, Miguel Herrera amefukuzwa kazi baada ya kumshambulia mwandishi wa habari wa kituo kimoja cha luninga.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Laudrup afutwa kazi na Swansea

Uvumi wasambaa kuhusu hatma ya Laudrup baada ya Swansea kushindwa 2-0 na West Ham .

 

11 years ago

BBCSwahili

Kocha wa Cardiff afutwa Kazi

Baada ya klabu hiyo kunykwa magoli matatu kwa yai na Southampton

 

9 years ago

BBCSwahili

Kocha wa Cameroon afutwa kazi

Kocha wa timu ya taifa ya soka ya Cameroon Volke Finke amefutwa kazi baada ya taifa hilo kuandikisha msururu wa matokeo mabaya.

 

9 years ago

BBCSwahili

Afutwa kazi baada ya wafungwa kutoroka

Mkuu wa huduma ya magereza katika mji Buenos Aires Argentina amefutwa kazi baada ya wafungwa watatu mashuhuri kutoroka kutoka gereza lenye ulinzi mkali siku ya Jumapili.

 

10 years ago

BBCSwahili

Makamu wa rais wa S Leone afutwa kazi

Rais wa Sierra Leone Ernest Bai Koroma amemfuta kazi makamu wa rais kwa kutafuta hifadhi katika ubalozi wa kigeni nchini humo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Waziri wa ulinzi afutwa kazi CAR

Mawaziri 2 waliotuhumiwa kwa kuchochea mapigano yaliyosababisha vifo vya watu 40 mwezi uliopita katika jamhuri ya Afrika ya Kati wamefutwa kazi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Anna Tibaijuka afutwa kazi hadharani

Kashfa ya uchotwaji wa fedha za akaunti ya Escrow imemwondoa kigogo wa pili nchini Tanzania na Rais Kikwete kutangaza kwamba atateua mtu mwingine kuchukua nafasi hiyo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Askari aliyeburura mweusi afutwa kazi

Askari mzungu aliyemburura mwanafunzi mweusi huko Marekani alipokaidi amri ya mwalimu apeana simu yake amefutwa kazi

 

9 years ago

BBCSwahili

Jose Mourinho afutwa kazi Chelsea

Meneja wa klabu ya Chelsea ya Uingereza amefutwa kazi baada ya klabu hiyo kuandikisha msururu wa matokeo mabaya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani