Afutwa kazi baada ya wafungwa kutoroka
Mkuu wa huduma ya magereza katika mji Buenos Aires Argentina amefutwa kazi baada ya wafungwa watatu mashuhuri kutoroka kutoka gereza lenye ulinzi mkali siku ya Jumapili.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili19 Sep
Wakamatwa baada ya Guzman kutoroka jela
Mexico imewakamata watu 13 ambao wamehusishwa na kutoroka jela kwa mlanguzi mkubwa wa madawa ya kulevya Joachim Guzman
11 years ago
Mwananchi22 May
Mwandishi jela baada ya aliyemdhamini kutoroka
Mwandishi wa habari wa siku nyingi, Peter Temba amehukumiwa kifungo cha miezi sita jela baada ya kushindwa kumpeleka mahakamani mshtakiwa aliyemdhamini katika kesi ya kutorosha twiga kwenda Uarabuni.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mHxNACy53nU/Xmew_6FmfCI/AAAAAAALiew/B7EnXP565_UnZWFFo653UNGhkhqs_DuWQCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv65d4f31b0851lcxt_800C450.jpg)
Hofu yatanda baada ya mshukiwa wa Corona kutoroka karantini Zimbabwe
![](https://1.bp.blogspot.com/-mHxNACy53nU/Xmew_6FmfCI/AAAAAAALiew/B7EnXP565_UnZWFFo653UNGhkhqs_DuWQCLcBGAsYHQ/s640/4bv65d4f31b0851lcxt_800C450.jpg)
Gazeti la serikali la Herald limeripoti kuwa, mshukiwa huyo wa Corona alikuwa ametengwa katika chumba maalumu akisubiri kufanyiwa vipimo katika Hospitali ya Magonjwa ya Kuambukiza ya Wilkins katika mji mkuu Harare kabla ya kukimbia.
Vyombo vya dola nchini humo vimesema vimeanzisha msako mkali wa kumtafuta raia huyo wa...
9 years ago
BBCSwahili31 Oct
Kocha wa Cameroon afutwa kazi
Kocha wa timu ya taifa ya soka ya Cameroon Volke Finke amefutwa kazi baada ya taifa hilo kuandikisha msururu wa matokeo mabaya.
11 years ago
BBCSwahili27 Dec
11 years ago
BBCSwahili05 Feb
Laudrup afutwa kazi na Swansea
Uvumi wasambaa kuhusu hatma ya Laudrup baada ya Swansea kushindwa 2-0 na West Ham .
10 years ago
BBCSwahili29 Jul
Miguel Herrera afutwa kazi
Kocha kutoka Mexico, Miguel Herrera amefukuzwa kazi baada ya kumshambulia mwandishi wa habari wa kituo kimoja cha luninga.
9 years ago
BBCSwahili17 Dec
Jose Mourinho afutwa kazi Chelsea
Meneja wa klabu ya Chelsea ya Uingereza amefutwa kazi baada ya klabu hiyo kuandikisha msururu wa matokeo mabaya.
10 years ago
BBCSwahili23 Dec
Anna Tibaijuka afutwa kazi hadharani
Kashfa ya uchotwaji wa fedha za akaunti ya Escrow imemwondoa kigogo wa pili nchini Tanzania na Rais Kikwete kutangaza kwamba atateua mtu mwingine kuchukua nafasi hiyo.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania