Wakamatwa baada ya Guzman kutoroka jela
Mexico imewakamata watu 13 ambao wamehusishwa na kutoroka jela kwa mlanguzi mkubwa wa madawa ya kulevya Joachim Guzman
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi22 May
Mwandishi jela baada ya aliyemdhamini kutoroka
Mwandishi wa habari wa siku nyingi, Peter Temba amehukumiwa kifungo cha miezi sita jela baada ya kushindwa kumpeleka mahakamani mshtakiwa aliyemdhamini katika kesi ya kutorosha twiga kwenda Uarabuni.
10 years ago
BBCSwahili12 Jul
El Chapo Guzman atoroka jela Mexico
Aliyekuwa kiongozi wa kundi linaloendesha biashara ya madawa ya kulevya nchini Mexico El Chapo Guzman ametoroka jela
9 years ago
BBCSwahili29 Dec
Afutwa kazi baada ya wafungwa kutoroka
Mkuu wa huduma ya magereza katika mji Buenos Aires Argentina amefutwa kazi baada ya wafungwa watatu mashuhuri kutoroka kutoka gereza lenye ulinzi mkali siku ya Jumapili.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mHxNACy53nU/Xmew_6FmfCI/AAAAAAALiew/B7EnXP565_UnZWFFo653UNGhkhqs_DuWQCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv65d4f31b0851lcxt_800C450.jpg)
Hofu yatanda baada ya mshukiwa wa Corona kutoroka karantini Zimbabwe
![](https://1.bp.blogspot.com/-mHxNACy53nU/Xmew_6FmfCI/AAAAAAALiew/B7EnXP565_UnZWFFo653UNGhkhqs_DuWQCLcBGAsYHQ/s640/4bv65d4f31b0851lcxt_800C450.jpg)
Gazeti la serikali la Herald limeripoti kuwa, mshukiwa huyo wa Corona alikuwa ametengwa katika chumba maalumu akisubiri kufanyiwa vipimo katika Hospitali ya Magonjwa ya Kuambukiza ya Wilkins katika mji mkuu Harare kabla ya kukimbia.
Vyombo vya dola nchini humo vimesema vimeanzisha msako mkali wa kumtafuta raia huyo wa...
11 years ago
BBCSwahili01 Apr
200 wakamatwa baada ya shambulizi Kenya
Polisi nchini kenya wamewakamata zaidi ya watu 200 kufuatia mashambulizi ya hapo jana jijni Nairobi ambapo watu 6 waliuawa.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/afJNJUtdOc6ry6pcKHXg3wFhmrXDTR2nYam7Pnt8vBAyy5KZTceS-XzrMyiVDAygXNUXJEABOAWhC1Twl*LgIlDh*YxQDBfr/1.jpg?width=650)
TID JELA YAMUITA BAADA YA KUHUSISHWA NA MSALA MWINGINE
ISSA MNALLY/Amani11
HAJAKOMA? Staa wa Bongo Fleva anayesumbua na wimbo wa Chumvini, Khaleed Mohamed ‘TID’ amehusishwa na msala mwingine baada ya kudaiwa ku kumjeruhi James Richard, mkazi wa Jiji la Dar. Staa wa Bongo Fleva anayesumbua na wimbo wa Chumvini, Khaleed Mohamed ‘TID’. Endapo itathibitika kama ni kweli ametenda kosa hilo, TID atakuwa yupo katika hatari ya kuswekwa gerezani kwa mara ya pili...
11 years ago
Michuzi06 May
MKE AZIRAI BAADA YA KUHUKUMIWA KWENDA JELA MIAKA MITANO YEYE NA MUMEWE
baada ya kuhukumiwa miaka mitano jela
Watu wawili wa familia moja Frank Charles na mkewe Asia Khamis wamehukumiwa kifungo cha miaka mitano jela au kulipa faini ya shilingi milioni moja kila mmoja kwa kosa la kukutwa na madawa ya kulevya aina ya bangi. Hakimu wa mahakama ya wilaya ya Mbeya Maria Batulaine amewatia hatiani wanandoa hao baada ya kuridhishwa na ushahidi usio shaka wa mashahidi wanne wa upande wa mashitaka. Imedaiwa na Mwendesha mashitaka...
10 years ago
MichuziSABA WAKAMATWA KWA KUJIHUSISHA NA UTENGENEZAJI WA NOTI BANDIA ZA DOLA ZA KIMAREKANI WAKAMATWA
Watuhumiwa hao walikamatwa mnamo tarehe 04/8/2014 wakiwa na noti bandia zipatazo 10,640 za dola mia (100) ambazo ni sawa na dola 1,064,000 ambazo ni zaidi ya shilingi za Kitanzania...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania