Mwandishi jela baada ya aliyemdhamini kutoroka
Mwandishi wa habari wa siku nyingi, Peter Temba amehukumiwa kifungo cha miezi sita jela baada ya kushindwa kumpeleka mahakamani mshtakiwa aliyemdhamini katika kesi ya kutorosha twiga kwenda Uarabuni.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili19 Sep
Wakamatwa baada ya Guzman kutoroka jela
9 years ago
BBCSwahili29 Dec
Afutwa kazi baada ya wafungwa kutoroka
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mHxNACy53nU/Xmew_6FmfCI/AAAAAAALiew/B7EnXP565_UnZWFFo653UNGhkhqs_DuWQCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv65d4f31b0851lcxt_800C450.jpg)
Hofu yatanda baada ya mshukiwa wa Corona kutoroka karantini Zimbabwe
![](https://1.bp.blogspot.com/-mHxNACy53nU/Xmew_6FmfCI/AAAAAAALiew/B7EnXP565_UnZWFFo653UNGhkhqs_DuWQCLcBGAsYHQ/s640/4bv65d4f31b0851lcxt_800C450.jpg)
Gazeti la serikali la Herald limeripoti kuwa, mshukiwa huyo wa Corona alikuwa ametengwa katika chumba maalumu akisubiri kufanyiwa vipimo katika Hospitali ya Magonjwa ya Kuambukiza ya Wilkins katika mji mkuu Harare kabla ya kukimbia.
Vyombo vya dola nchini humo vimesema vimeanzisha msako mkali wa kumtafuta raia huyo wa...
10 years ago
Mtanzania27 Mar
Mwandishi atakayepotosha jela miaka mitatu
Na Fredy Azzah, Dodoma
BUNGE limetuma salamu kwa vyombo vya habari na waandishi wa habari kwa kupitisha Muswada wa Takwimu wa Mwaka 2013, ambao pamoja na mambo mengine unataka mwandishi atakayefanya makosa kwenye kuripoti taarifa za takwimu kufungwa jela miaka mitatu ama kutozwa faini ya Sh milioni 10.
Muswada huo umepitisha wakati ambapo, Machi 31, mwaka huu Serikali inatarajiwa kuwasilisha muswada wa Sheria ya Kupata Habari wa Mwaka 2015 na ule wa Vyombo vya Habari wa Mwaka 2015, yote kwa...
10 years ago
BBCSwahili23 Feb
Misri yamhukumu mwandishi miaka 5 jela
5 years ago
MichuziMwandishi wa habari ahukumiwa jela mwaka mmoja au faini ya shilingi milioni tano kwa kosa la kutoa maudhui kwenye mtandao wa youtube bila leseni
Mahakama ya Hakimu Mkazi Njombe imemtia hatiani na kumhukumu kulipa faini ya Shilingi Milioni 5 au kifungo Cha Mwaka mmoja jela Mwandishi wa habari Prosper Mfugale baada ya mwandishi huyo kukiri kutoa maudhui Katika Mtandao wa YouTube bila ya kuwa na leseni kutoka mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA), hata hivyo Mfugale amelipa faini hiyo na kuachiwa huru.
Mfugale alikamatwa mnamo Februari 29 Mwaka huu na kushikiliwa kwa siku nne kituo cha polisi Njombe na tarehe 4 Machi alifunguliwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-bMkB5Q8WMu4/Vcg4uhmNXWI/AAAAAAAD3A8/Qm9hcpfKzJQ/s72-c/800px-Ibrahim_Lipumba_2003.jpg)
Prof Lipumba ndani ya Rwanda kigali sikiliza mahojiano haya kifupi anasema baada ya kuulizwa swali na mwandishi
![](http://3.bp.blogspot.com/-bMkB5Q8WMu4/Vcg4uhmNXWI/AAAAAAAD3A8/Qm9hcpfKzJQ/s640/800px-Ibrahim_Lipumba_2003.jpg)
Swali: Prof kujiuzuru kwako uenyekiti CUF kunahusishwa na wewe kutumika na CCM kuisambaratisha UKAWA,je ni kweli?majibu kifupi toka kwa Prof Lipumba."...kwanza sijakimbia nyumbani ila nitarudi baada ya wiki moja nipo hapa Kigali nafanya uchunguzi je nijinsi gani Tanzaia inaweza kujifunza toka na maendeleo wanayo yapata Rwanda...
Siwezi kutumika na CCM ila mimi na Dk Slaa na Mbatia tulikutana nyumbani kwangu na kukubaliana kuwa Dk Slaa ndio awe Mgombea urais wa Ukawa
sasa chakushangaza safari...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/afJNJUtdOc6ry6pcKHXg3wFhmrXDTR2nYam7Pnt8vBAyy5KZTceS-XzrMyiVDAygXNUXJEABOAWhC1Twl*LgIlDh*YxQDBfr/1.jpg?width=650)
TID JELA YAMUITA BAADA YA KUHUSISHWA NA MSALA MWINGINE