Prof Lipumba ndani ya Rwanda kigali sikiliza mahojiano haya kifupi anasema baada ya kuulizwa swali na mwandishi
![](http://3.bp.blogspot.com/-bMkB5Q8WMu4/Vcg4uhmNXWI/AAAAAAAD3A8/Qm9hcpfKzJQ/s72-c/800px-Ibrahim_Lipumba_2003.jpg)
Swali: Prof kujiuzuru kwako uenyekiti CUF kunahusishwa na wewe kutumika na CCM kuisambaratisha UKAWA,je ni kweli?majibu kifupi toka kwa Prof Lipumba."...kwanza sijakimbia nyumbani ila nitarudi baada ya wiki moja nipo hapa Kigali nafanya uchunguzi je nijinsi gani Tanzaia inaweza kujifunza toka na maendeleo wanayo yapata Rwanda...
Siwezi kutumika na CCM ila mimi na Dk Slaa na Mbatia tulikutana nyumbani kwangu na kukubaliana kuwa Dk Slaa ndio awe Mgombea urais wa Ukawa
sasa chakushangaza safari...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo13 Nov
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-H2VnfbRnnyo/VcHbRbky-RI/AAAAAAABTLE/ZuBFuuMHJzs/s72-c/breaking%2Bnews.jpg)
BREAKING NEWS: MKUTANO WA PROF. LIPUMBA WAHAIRISHWA BAADA YA WANACHAMA KUZINGIRA OFISI YA CHAMA HICHO
![](http://4.bp.blogspot.com/-H2VnfbRnnyo/VcHbRbky-RI/AAAAAAABTLE/ZuBFuuMHJzs/s640/breaking%2Bnews.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-FAyUBzOM-9I/VXeO_Wbb5UI/AAAAAAADq7o/zV1LufxyouE/s72-c/Tibaijuka.jpg)
UNANINI CHA KUSEMA JUU YA MANENO HAYA YA PROF ANNA TIBAIJUKA KWA WAPIGA KULA WAKE BAADA KUZOMEWA MBELE YA KINANA HUKO BUKOBA.
![](http://4.bp.blogspot.com/-FAyUBzOM-9I/VXeO_Wbb5UI/AAAAAAADq7o/zV1LufxyouE/s640/Tibaijuka.jpg)
10 years ago
Raia Tanzania10 Aug
Profesa Lipumba aibukia Kigali
ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amesema Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu unawanyima demokrasia wananchi kwa kuwa watakuwa na wagombea urais wawili kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Akizungumza na kituo cha runinga cha Azam juzi baada ya vyombo kadhaa vya habari kuandika uvumi kwamba ametoweka nchini kwa shinikizo huku akiwa amefadhaika, Profesa Lipumba alikanusha taarifa hizo na kuonyesha masikitiko yake jinsi Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa)...
9 years ago
Bongo522 Dec
Video: R.Kelly aondoka katikati ya Interview baada ya kuulizwa maswali ‘negative’
![r-kelly-huffpost](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/r-kelly-huffpost-300x194.jpg)
Hakuna msanii ambaye huwa anapenda kuulizwa maswali ‘negative’ anapokuwa kwenye mahojiano ya redio au televisheni hasa kama ni kipindi anacho-promote wimbo au album mpya.
Jumatatu wiki hii (Dec 21) , R.Kelly ambaye alikuwa ana-promote album mpya ‘Buffet’ aliyoachia hivi karibuni alijikuta akikatisha mahojiano aliyokuwa akifanyiwa na mtangazaji Caroline Modarressy-Tehrani wa Huffington Post Live.
Hali ilichafuka dakika chache toka mahojiano yaanze baada ya mtangazaji kumuuliza maswali...
10 years ago
Michuzi07 Mar
11 years ago
Michuzi07 Aug
Sikiliza Mahojiano na Mtaalamu wa Uchumaji Asumini Bi Kijakazi Hassan
![](https://scontent-b-cdg.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/t1.0-9/10371469_10154387508055247_6617155694007688427_n.jpg)
Katika Mahojiano haya na mtaalamu wa utunzaji wa Miasumini Kijakazi Hassan Mustafa ambae ni mkaazi wa Mwembetanga...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Jr5O7ehUNAE/VHK-RQlhJHI/AAAAAAAAPio/0xqnfRQ_DZ8/s72-c/10813798_10154815395640247_1759680729_o.jpg)
Sikiliza Audio ya Mahojiano na Ernest Napoleon, Muigizaji wa filamu ya ‘Going Bongo
![](http://3.bp.blogspot.com/-Jr5O7ehUNAE/VHK-RQlhJHI/AAAAAAAAPio/0xqnfRQ_DZ8/s1600/10813798_10154815395640247_1759680729_o.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-zknhA4ik6bE/VHK-RXBzKKI/AAAAAAAAPik/nusuVzL6W8Q/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
11 years ago
TheCitizen25 Jan
M23 recruits in Rwanda as Kigali says report ‘flawed’