Video: R.Kelly aondoka katikati ya Interview baada ya kuulizwa maswali ‘negative’
Hakuna msanii ambaye huwa anapenda kuulizwa maswali ‘negative’ anapokuwa kwenye mahojiano ya redio au televisheni hasa kama ni kipindi anacho-promote wimbo au album mpya.
Jumatatu wiki hii (Dec 21) , R.Kelly ambaye alikuwa ana-promote album mpya ‘Buffet’ aliyoachia hivi karibuni alijikuta akikatisha mahojiano aliyokuwa akifanyiwa na mtangazaji Caroline Modarressy-Tehrani wa Huffington Post Live.
Hali ilichafuka dakika chache toka mahojiano yaanze baada ya mtangazaji kumuuliza maswali...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo22 Dec
Tuhuma za kubaka zilivyomkasirisha R.Kelly akakatisha interview ya TV na kuondoka…(+Video)
Staa wa muziki long time Marekani, Robert Sylvester Kelly a.k.a R. Kelly yuko kwenye hatua za mwishomwisho kuachia album yake ya Buffet, katika Interview iliyofanyika jana December 21 2015 imechukua headlines mitandaoni baada ya R. Kelly kususia interview hiyo katikati na kuondoka zake !! Mtangazaji Caroline Modarressy-Tehrani alirudia kosa ambalo R. Kelly hakupenda, R. Kelly […]
The post Tuhuma za kubaka zilivyomkasirisha R.Kelly akakatisha interview ya TV na kuondoka…(+Video) appeared...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-bMkB5Q8WMu4/Vcg4uhmNXWI/AAAAAAAD3A8/Qm9hcpfKzJQ/s72-c/800px-Ibrahim_Lipumba_2003.jpg)
Prof Lipumba ndani ya Rwanda kigali sikiliza mahojiano haya kifupi anasema baada ya kuulizwa swali na mwandishi
![](http://3.bp.blogspot.com/-bMkB5Q8WMu4/Vcg4uhmNXWI/AAAAAAAD3A8/Qm9hcpfKzJQ/s640/800px-Ibrahim_Lipumba_2003.jpg)
Swali: Prof kujiuzuru kwako uenyekiti CUF kunahusishwa na wewe kutumika na CCM kuisambaratisha UKAWA,je ni kweli?majibu kifupi toka kwa Prof Lipumba."...kwanza sijakimbia nyumbani ila nitarudi baada ya wiki moja nipo hapa Kigali nafanya uchunguzi je nijinsi gani Tanzaia inaweza kujifunza toka na maendeleo wanayo yapata Rwanda...
Siwezi kutumika na CCM ila mimi na Dk Slaa na Mbatia tulikutana nyumbani kwangu na kukubaliana kuwa Dk Slaa ndio awe Mgombea urais wa Ukawa
sasa chakushangaza safari...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-m_XVvS1gIRY/VCwCQNGuXSI/AAAAAAAAOEE/Hecxlxw23pc/s72-c/1.jpg)
NDOA NDOANO:MKE AMWAGIA MUMEWE MAJI YA MOTO BAADA YA KUULIZWA NA MUMEWE KWANINI AMECHELEWA KURUDI NYUMBANI!!
![](http://1.bp.blogspot.com/-m_XVvS1gIRY/VCwCQNGuXSI/AAAAAAAAOEE/Hecxlxw23pc/s640/1.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-hPQj8TP3uJ8/XlFHpXGEIQI/AAAAAAALe1o/hXIMT6zxd38me6WiflVJTypp4Np4inxnACLcBGAsYHQ/s72-c/4fe13d19-7941-414f-9809-1362bd38223d.jpg)
MAJALIWA AONDOKA KIGOMA BAADA YA ZIARA YA SIKU MOJA
![](https://1.bp.blogspot.com/-hPQj8TP3uJ8/XlFHpXGEIQI/AAAAAAALe1o/hXIMT6zxd38me6WiflVJTypp4Np4inxnACLcBGAsYHQ/s640/4fe13d19-7941-414f-9809-1362bd38223d.jpg)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Februari 22, 2020 ameondoka mkoani Kigoma baada ya kukamilisha ziara ya kikazi ya siku moja. Pichani, Mheshimiwa Majaliwa akiwaaga viongozi kwenye uwanja wa Ndege wa Kigoma. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/02/3b228c12-68cc-43c2-8833-51d5d0ba9c18.jpg)
10 years ago
CloudsFM01 May
Picha: Interview ya Zari na Diamond ikiendelea muda huu endelea kutuma maswali yako hapa ‪#‎PB360‬ ‪#‎ZariAllWhiteParty‬
![](http://api.ning.com/files/vlKUFPodnGWNFdGEQSuZgvf8Tkwqd5A1Of4mTXBhfSUP8ymf2PyamFlzA-B258TvGKM72y2wZGgk71n4Eu6dgYR4UUsll3Yk/zari6.jpg?width=750)
![](http://api.ning.com/files/vlKUFPodnGWoOEssREugtGocRDLAmwklCnGOKduYpPZNWCagfqAOt3lhqk8fTfWBCxyzkMV92gGpWSYlewKV*OqNhajmdK9K/zari5.jpg?width=750)
9 years ago
Bongo521 Oct
Video: R. Kelly — Backyard Party
10 years ago
GPL25 Jan